• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Lindi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Maendeleo ya jamii, Jinsia na Watoto
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Ardhi na Mali Asili
      • Afya
      • Utawala na Utumishi
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Nyuki
      • Ununuzi na ugavi
  • Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Video
  • Mifumo
    • ffars
    • National Sanitation Compaign
      • E-learning
    • Sensa Elimu Msingi
    • Wajasiliamali
    • Government mail System
    • Madeni-Demo

Upanuzi wa Zahanati ya Mnolela katika kata ya Mnolela

Start Date: 2017-03-03
End Date: 2017-06-30

Wananchi wa Kata ya Mnolela inayojumuisha vijiji 6 pamojana vitongoji vyake, wanatarajia kunufaika na huduma za afya zinatolewa katika zahanati ya Mnolela ifikapo mwezi June 2017. Hali hiyo imetokana na usaidizi wa Mh. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli ambaye alitoa mchango wake binafsi kwa zahanati hiyo pamoja michango mingine iliyotolewa na Mh. Mbunge wa Jimbo la Mtama Mh. Nape M. Nnauye pamoja na wadau wengine ikiwemo Halmashauri ya Wilaya ya Lindi.

Zahanati ya Mnolela ilipata bahati ya kutembelewa na msafara wa Mh. Rais akiwa katika ziara za kikazi kutembelea mikoa ya Lindi na Mtwara na kuweza kusimamishwa na wananchi wa eneo hilo na kusikiliza kero zao hasa huduma za afya zinazotokana na kukosekana kwa huduma bora za uzazi ikiwemo kukwama kwa ujenzi wa jengo la kujifungulia akina mama wajawazito. Pia ujenzi huo unahusisha jengo la upasuaji mdogo, jengo la uzazi, choo pamoja na korido.

Ujenzi na upanuzi wa zahanati hiyo unatekelezwa na kusimamiwa na Wakala wa Ujenzi wa Majengo Tanzania (TBA) kwa kushirikiana na Mhandisi wa Ujenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Lindi pamoja na Kamati ya Afya ya zahanati hiyo. Ujenzi unaendelea vizuri na inategemewa kufunguliwa na kuanza kufanya kutoa huduma mwishoni mwa mwezi Juni 2017.


Matangazo ya Kawaida

  • JOINING INSTRUCTIONS December 14, 2020
  • Athali za Upungufu wa Madini joto Mwilini April 10, 2018
  • Mapokezi ya Mbio za Mwenge wa Uhuru June 18, 2018
  • Halmashauri ya Wilaya ya Lindi ikishilikiana na USAID Boresha Afya yamwaga nafasi za kazi za kutosha December 02, 2018
  • Angalia yote

Taarifa mpya

  • BARAZA LAPITISHA BAJETI YA MTAMA DC KWA MWAKA 2021/2022.

    January 29, 2021
  • RC LINDI AKAGUA MIUNDO MBINU NA SAMANI SHULENI

    January 16, 2021
  • KIKUNDI CHA UCHUKUZI MTAMA MTAMA BOYS EXPERIENCE WATOA MIFUKO YA SARUJI

    February 16, 2021
  • KIJIJI CHA MIHIMA WAJENGA OFISI

    January 07, 2021
  • Angalia yote

Video

Mhe
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Youtube
  • Mfumo wa Elimu Msingi na Sekondari
  • FOMU YA MAOMBI YA LESENI YA BIASHARA
  • Watumishi Portal

Tovuti Mashuhuri

  • Presidential office and Regional Secretariety
  • Electronic Goverment Agent
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Ofisi ya Raisi-UTUMISHI
  • Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya mahali

Wasiliana nasi

    Box 328 Lindi

    Sanduku la Barua: 328 Lindi Dc

    Simu ya mezani: 0222061

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@lindidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya ndani
    • Katazo
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2018 Lindi District Council All rights reserved.