• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mtama

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Maendeleo ya jamii, Jinsia na Watoto
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Ardhi na Mali Asili
      • Afya
      • Utawala na Utumishi
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Nyuki
      • Ununuzi na ugavi
  • Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • PICHA
    • MATUKIO
    • HOTUBA
    • HABARI
  • Mifumo
    • ffars
    • National Sanitation Compaign
      • E-learning
    • Sensa Elimu Msingi
    • Wajasiliamali
    • Government mail System
    • Madeni-Demo

RAS LINDI AIPONGEZA HALMASHAURI YA MTAMA KWA KUPATA HATI SAFI

Posted on: June 18th, 2025


Katibu Tawala Mkoa wa Lindi Bi:Zuwena Omari ametoa pongezi za dhati kwa Menejimenti nzima ya Halmashauri ya Wilaya ya  Mtama kwa kupata hati safi kwa miaka mitano mfululizo, Ameyasema hayo leo juni 18 ,2025 katika kikao maalumu cha Baraza kwa lengo la kujadili Taarifa ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Serikali(CAG), Kikso hiko kimefanyika katika ukumbi wa mikutano uliopo Halmashauri ya Mtama.

Akiongea na wajumbe wa kikao Bi:Zuwena Omari alisema kuwa kupata hati safi siyo jambo dogo bali ni jambo kubwa ambalo limehusisha umakini wa watu, utekelezaji wa majukumu, uwajibikaji pamoja na ushirikiano mkubwa, lakini pia ameitaka Menejimenti ya Halmashauri ya Mtama kuhakikisha inalinda hati safi zilizopatikana kwa miaka mitano mfululizo.

Nae Mkuu wa Wilaya ya Lindi Mhe: Victoria Mwanziva amewapongeza waheshimiwa madiwani na timu nzima ya CMT Halmashauri ya Mtama  kwa kufanya kazi kwa bidii ya kuhakikisha kero za wananchi zinatatuliwa kwa wakati lakini pia kwa kuhakikisha miradi yote ya maendeleo inaenda vizuri na viwango vinavyostahili ili kuleta maendeleo.

 Hata hivyo Mwenyekiti wa kikao hiko Mhe: Yusufu Tippu amewapongeza Waheshimiwa madiwani, Katibu Tawala Mkoa wa Lindi, Mkuu wa Wilaya ya Lindi, Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Serikali, Mkurugenzi Mtendaji na wataalamu wa Halmashauri kwa kushiriki ipasavyo kikao hiko maalumu lakini pia amesisitiza kila kiongozi kutimiza wajibu wake ili kujenga na kuboresha Halmashauri ya Mtama.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA KUITWA KWQENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA MIPAKA YA KATA, VIJIJI NA VITONGOJI HALMASHAURI YA WILAYA YA MTAMA. September 16, 2024
  • MATOKEO YA USAILI KWA KADA ZOTE September 09, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA WATENDAJI MTAMA DC September 09, 2023
  • Angalia yote

Habari mpya

  • RAS LINDI AIPONGEZA HALMASHAURI YA MTAMA KWA KUPATA HATI SAFI

    June 18, 2025
  • DKT CHILUMBA AWAASA WAUGUZIBKUZINGATIA MAADILI YAO YA KAZI

    June 13, 2025
  • KAMATI YA LISHE YAFANYA KIKAO CHA TATHMINIYA UTEKELEZAJI WA AFUA ZA LISHE KWA ROBO YA TATU HALMASHAURI YA MTAMA

    June 04, 2025
  • MIRADI 7 YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 2.7 YAPITIWA NA MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA MTAMA

    May 27, 2025
  • Angalia yote

Video

Risala ya utii kwa Mhe. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Youtube
  • Mfumo wa Elimu Msingi na Sekondari
  • FOMU YA MAOMBI YA LESENI YA BIASHARA
  • Watumishi Portal

Tovuti Mashuhuri

  • Presidential office and Regional Secretariety
  • Electronic Goverment Agent
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Ofisi ya Raisi-UTUMISHI
  • Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya mahali

Wasiliana nasi

    Box 328 Lindi

    Sanduku la Barua: 328 Lindi Dc

    Simu ya mezani: 0222061

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@lindidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya ndani
    • Katazo
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Mtama District Council All rights reserved.