• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mtama

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Maendeleo ya jamii, Jinsia na Watoto
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Ardhi na Mali Asili
      • Afya
      • Utawala na Utumishi
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Nyuki
      • Ununuzi na ugavi
  • Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • PICHA
    • MATUKIO
    • HOTUBA
    • HABARI
  • Mifumo
    • ffars
    • National Sanitation Compaign
      • E-learning
    • Sensa Elimu Msingi
    • Wajasiliamali
    • Government mail System
    • Madeni-Demo

Maji

Majukumu ya Idara Maji

  • Kupanga, kusanii mradi, kujenga na kusimamia uendeshaji na matengenezo ya miradi ambayo imeshajengwa.
  • Kufanya ukaguzi wa miradi ya maji ambayo imejengwa
  • Kutoa Elimu ya uvunaji wa maji ya mvua
  • Kusimamia mapato na matumizi ya mfuko wa maji
  • Kutoa mafunzo ya mafundi wa vijijini ili wawe na uwezo wa kufanya matengnezo madogo pindi inapobidi.
  • Kutoa elimu pamoja na kusimamia upandaji wa miti rafiki ya maji katika vyanzo vya maji
  • Kuandika mapendekezo (Project proposal) ya miradi ya maji kama uvunaji wa maji ya mvua, ujenzi wa visima virefu, maji ya kutega (gravity scheme) na kukinga maji ya chemichemi (spring protection).
  • Kusimamia uanzishwajni wa jumuiya za watumiaji maji na kufanya maandalizi na maadhimisho ya wiki ya maji
  • Kufanya ukaguzi wa visima virefu na vifupi vijijini kila baada ya miezi mitatu (Quarterly Inspection).
  • Kufanya mikutano ya Hadhara, ili kutoa maelekezo ya sera ya maji juu ya uanzishwaji wa jumuiya za watumiaji maji na michango ya maji yenye tija kwa ajili ya matengenezo ya miraid ya maji.
  • Kusimamia mafunzo ya mafundi wa vijijini (Pump Attendants) ili wawe na uwezo wa kufanya matengenezo madogo pindi yanapotokea.
  • Kusimamia mapato na matumizi ya mfuko wa maji.
  • Kusimamia uendeshaji na matengenezo ya miradi ya maji iliyokwisha jengwa.
  • Kusimamia uendeshaji na matengenezo ya miradi ya maji iliyokwisha jengwa.
  • Kusimamia ufunguaji wa Akaunti za maji Benki
  • Kusimamia miundombinu mipya ya maji-: Matanki ya maji (Water storage tank) Intakes, Vituo vya kuchotea maji (Water points), Matanki ya chini ya kupunguza msukumo wa maji (Break pressure tank) na Utandikaji wa mabomba kutoka kitega maji.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA KUITWA KWQENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA MIPAKA YA KATA, VIJIJI NA VITONGOJI HALMASHAURI YA WILAYA YA MTAMA. September 16, 2024
  • MATOKEO YA USAILI KWA KADA ZOTE September 09, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA WATENDAJI MTAMA DC September 09, 2023
  • Angalia yote

Habari mpya

  • DC MWANZIVA AMEITAKA KAMATI YA AFYA HALMASHAURI YA MTAMA KUONGEZA UHAMASISHAJI KWA WANAUME KUHUSU UMUHIMU WA LISHE

    April 29, 2025
  • DC MWANZIVA ASISITIZA KUDUMISHA MUUNGANO LINDI

    April 26, 2025
  • KAMATI YA AFYA YA MSINGI YATOA ELIMU KUHUSU NYONGEZA YA DOZI YA CHANJO YA POLIO HALMASHAURI YA MTAMA

    April 24, 2025
  • WWF NA TaTEDO-SESO (Sustainable Energy Services Organization) WATOA MAFUNZO KUHUSU MATUMIZI YA NISHATI MBADALA MTAMA

    March 26, 2025
  • Angalia yote

Video

Risala ya utii kwa Mhe. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Youtube
  • Mfumo wa Elimu Msingi na Sekondari
  • FOMU YA MAOMBI YA LESENI YA BIASHARA
  • Watumishi Portal

Tovuti Mashuhuri

  • Presidential office and Regional Secretariety
  • Electronic Goverment Agent
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Ofisi ya Raisi-UTUMISHI
  • Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya mahali

Wasiliana nasi

    Box 328 Lindi

    Sanduku la Barua: 328 Lindi Dc

    Simu ya mezani: 0222061

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@lindidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya ndani
    • Katazo
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Mtama District Council All rights reserved.