• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mtama

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Maendeleo ya jamii, Jinsia na Watoto
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Ardhi na Mali Asili
      • Afya
      • Utawala na Utumishi
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Nyuki
      • Ununuzi na ugavi
  • Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • PICHA
    • MATUKIO
    • HOTUBA
    • HABARI
  • Mifumo
    • ffars
    • National Sanitation Compaign
      • E-learning
    • Sensa Elimu Msingi
    • Wajasiliamali
    • Government mail System
    • Madeni-Demo

Utawala na Utumishi

Majukumu ya Idara ya Utawala na Raslimali Watu

  • Kuandaa na kuwasilisha kwenye Mamlaka lengwa Ikama na  bajeti ya  watumishi   wa  Halmashauri (PE
  • Kuandaa na kuwasilisha kwenye Mamlaka lengwa bajeti ya matumizi mengineyo ya utumishi na utawala
  • Kuandaa malipo mbalimbali ya watumishi na watoa huduma kwa mujibu wa sheria na kanuni za fedha.
  • Kusimamia nidhamu kwa watumishi wa umma ili wazingatie mwenendo wa kimaadili na uadilifu katika utumishi wa umma
  • Kusimamia utendaji kazi wa WEOs na VEOs, wasaidizi watunza kumbukumbu, wasaidizi wa ofisi, madereva na makatibu mahsusi.
  • Kutoa maelekezo, tafsiri/ufafanuzi wa Sheria, Kanuni za Utumishi wa Umma kwa Watumishi wote katika Halmashauri.
  • Kuandaa/kuhuisha tange na kuwasilisha   mamlaka lengwa pamoja na kuitumia katika upandishwaji vyeo
  • Kushughulikia vibali, ajira, mikataba, upandishwaji vyeo na kuthibitisha watumishi.
  • Kuandaa na kuwasilisha taarifa mbalimbali za utekelezaji za utumishi na utawala (CBG,  TUU, Rushwa na utawala bora)
  • Kuratibu upimaji wa utendaji kazi kwa watumishi wote na kutoa taarifa kila robo mwaka na nusu mwaka  (OPRAS)
  • Kuandaa na kuwasilisha kwenye Mamlaka husika taarifa ya utelezaji wa   Ilani ya Uchaguzi ya Chama Tawala
  • Kuratibu na kusimamia shughuli za usafiri na usafishaji kwenye idara na masuala ya utawala.
  • Kushughulikia stahili mbalimbali za watumishi (likizo, matibabu, mazishi, mafao, ruhusa na usafiri). 
  • Kuratibu utekelezaji wa vikao vya kisheria ngazi ya makao makuu, Kata, Vijiji na vitongoji na baraza la wafanyakazi.
  • Kushughulikia uingizaji na marekebisho mbalimbali ya watumishi kwenye mfumo shirikishi wa taarifa za kiutumishi na mishahara.
  • Kuratibu shughuli za uchaguzi ngazi ya Vijiji na vitongoji na uchaguzi mkuu wa rais, wabunge na madiwani
  • Kuratibu nyumba za Halmashauri ngazi ya makao makuu, Kata na vijiji.
  • Kuratibu kero mbalimbali zinazojitokeza na kushughulikia kiidara na kutoa taarifa ya utekelezaji kila robo mwaka.
  • Kusimamia mafunzo ya watumishi ya muda mfupi na mrefu kulingana na mahitaji ya mafunzo na mpango wa mafunzo
  • Kuratibu mafunzo kazini kwa watumishi ngazi ya wilaya na idara.
  • Kuratibu ziara za viongozi ngazi ya Wilaya, Mkoa, Wizara  na Taifa.
  • Kusimamia matumizi salama ya nyaraka za serikali na vifaa vya ofizi kwa mujibu wa sheria na kanuni.
  • Kuagiza vifaa na huduma  mbalimbali kwa ajili ya matumizi ya ofisi kwa mujibu wa bajeti.
  • Kuratibu sherehe na matamasha mbalimbali ya kitaifa, kimkoa na wilaya kwa mujibu wa ratiba
  • Kusimamia mawasiliano ya kiofisi kwa ngazi zote za kiutendaji ndani ya wilaya na nje ya wilaya.
  • Kuwa Katibu wa vikao vya menejimneti na kamati ya maadili ya madiwani, kamati ya watumishi, Katibu wa Bodi ya Ajira

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA ZABUNI YA UENDESHAJI WA GHALA LA MTAMA KWA MSIMU WA MWAKA 2022/2023 September 07, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 30, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MAHOJIANO KWA MADEREVA HALMASHAURI YA MTAMA July 29, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE MAFUNZO YA SENSA July 26, 2022
  • Angalia yote

Habari mpya

  • DED MTAMA DC ATEMBELEA ZAHANATI YA MAHIWA

    February 24, 2023
  • DED MTAMA DC ATEMBELEA SHULE YA MSINGI NANG'AKA

    February 23, 2023
  • Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Mtama Ndg.George Mbilinyi, Anawatakia Wahitimu wote wa Darasa la Saba Mtihani Mwema.

    October 05, 2022
  • Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Mtama Ndg.George Mbilinyi Ameshiriki kampeni ya umezaji wa dawa za Kinga Tiba dhidi ya Ngili maji na Matende.

    September 21, 2022
  • Angalia yote

Video

GIRLS GUIDE LISHE BORA
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Youtube
  • Mfumo wa Elimu Msingi na Sekondari
  • FOMU YA MAOMBI YA LESENI YA BIASHARA
  • Watumishi Portal

Tovuti Mashuhuri

  • Presidential office and Regional Secretariety
  • Electronic Goverment Agent
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Ofisi ya Raisi-UTUMISHI
  • Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya mahali

Wasiliana nasi

    Box 328 Lindi

    Sanduku la Barua: 328 Lindi Dc

    Simu ya mezani: 0222061

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@lindidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya ndani
    • Katazo
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Mtama District Council All rights reserved.