• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mtama

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Maendeleo ya jamii, Jinsia na Watoto
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Ardhi na Mali Asili
      • Afya
      • Utawala na Utumishi
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Nyuki
      • Ununuzi na ugavi
  • Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • PICHA
    • MATUKIO
    • HOTUBA
    • HABARI
  • Mifumo
    • ffars
    • National Sanitation Compaign
      • E-learning
    • Sensa Elimu Msingi
    • Wajasiliamali
    • Government mail System
    • Madeni-Demo

Mkuu wa Wilaya ya Lindi Awasilisha Mfumo Mpya Tarehe ya Kusajili Wanafunzi Elimu ya Msingi.

Posted on: September 16th, 2022

Mkuu wa Wilaya ya Lindi Mkoani Lindi, Shaibu Ndemanga amewataka wazazi wa Mkoa huo kuwapeleka watoto katika usajili wa masomo ya awali na darasa la kwanza Mapema mwezi wa kumi, kumi na moja na kumi na mbili ili kuepusha uchelewaji unaofanywa na wazazi katika kuwapeleka watoto shuleni suala linalodhorotesha utendaji wa walimu madarasani kwani muda mwingi huwa wakiutumia kufanya usajili ilhali elimu ya awali na darasa la kwanza ni muhimu na humtaka mwalimu kuwa makini darasani.


Akizungumza kwa Niaba ya mkuu wa Mkoa wa Lindi, katika kilele cha siku ya maadhimisho ya elimu ya watu wazima, siku iliyoadhimishwa katika Halmashauri ya Wilaya ya Mtama Mkoani Lindi, Ndemanga amewataka wataalamu katika sekta hiyo kushiriki katika usajili wa wanafunzi wa darasa la kwanza ili waweze kutambua ni aina gani wa watoto wanatakiwa kujiunga na elimu ya watu wazima.


Aidha, kutokana na Mkoa kutokuwa na Afisa Elimu wa Elimu ya Watu Wazima, Mkuu wa Wilaya ya Lindi ameiomba TAMISEMI kuwapatia mtaalamu huyo kwani Mkoa umejiandaa kujenga misingi mizuri katika elimu ya watu wazima hivyo mtaalamu huyo akipatikana atasaidia katika mipango ya awali iliyodhamiriwa kupangwa na Mkoa hivi sasa.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA ZABUNI YA UENDESHAJI WA GHALA LA MTAMA KWA MSIMU WA MWAKA 2022/2023 September 07, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 30, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MAHOJIANO KWA MADEREVA HALMASHAURI YA MTAMA July 29, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE MAFUNZO YA SENSA July 26, 2022
  • Angalia yote

Habari mpya

  • DED MTAMA DC ATEMBELEA ZAHANATI YA MAHIWA

    February 24, 2023
  • DED MTAMA DC ATEMBELEA SHULE YA MSINGI NANG'AKA

    February 23, 2023
  • Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Mtama Ndg.George Mbilinyi, Anawatakia Wahitimu wote wa Darasa la Saba Mtihani Mwema.

    October 05, 2022
  • Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Mtama Ndg.George Mbilinyi Ameshiriki kampeni ya umezaji wa dawa za Kinga Tiba dhidi ya Ngili maji na Matende.

    September 21, 2022
  • Angalia yote

Video

GIRLS GUIDE LISHE BORA
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Youtube
  • Mfumo wa Elimu Msingi na Sekondari
  • FOMU YA MAOMBI YA LESENI YA BIASHARA
  • Watumishi Portal

Tovuti Mashuhuri

  • Presidential office and Regional Secretariety
  • Electronic Goverment Agent
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Ofisi ya Raisi-UTUMISHI
  • Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya mahali

Wasiliana nasi

    Box 328 Lindi

    Sanduku la Barua: 328 Lindi Dc

    Simu ya mezani: 0222061

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@lindidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya ndani
    • Katazo
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Mtama District Council All rights reserved.