• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mtama

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Maendeleo ya jamii, Jinsia na Watoto
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Ardhi na Mali Asili
      • Afya
      • Utawala na Utumishi
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Nyuki
      • Ununuzi na ugavi
  • Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • PICHA
    • MATUKIO
    • HOTUBA
    • HABARI
  • Mifumo
    • ffars
    • National Sanitation Compaign
      • E-learning
    • Sensa Elimu Msingi
    • Wajasiliamali
    • Government mail System
    • Madeni-Demo

WAZIRI NAPE AKABIDHI "AMBULANCE" MBILI HOSPITAL YA NYANGAO.

Posted on: April 27th, 2024

WAZIRI NAPE AKABIDHI "AMBULANCE" MBILI HOSPITAL YA NYANGAO.

Waziri wa Habari, Mawasaliano na Teknolojia ya Habari na Mbunge wa jimbo la Mtama Mheshiwa Nape M. Nnauye leo tarehe 27 Aprili 2024 amekabidhi magari mawili ya kubebea wagonjwa "ambulance"  kwa uongozi wa Hospital ya Nyangao. Hafla hiyo imefanyika Hospital ya Nyangao.

Mheshiwa Nape aliishukuru Serikali ya awumu ya sita chini ya Mheshiwa Rais Daktari Samia Suluhu Hassani kwa kutoa magari hayo kwani ni yataongeza chachu na ufanisi wa huduma za Afya kwa wananchi na Hospitali kwa ujumla akiongeza kuwa kwa miaka mitatu ya Mama Samia Halmashauri ya Mtama imepokea fedha Bilioni 8 kwa ajili ya huduma za afya.

Katika Hafla hiyo Ndugu Dismas Masulubu Mganga Mkuu wa Halmashauri ya Wilaya ya Mtama alisema kuwa maboresho ya huduma za afya ndani ya Halmashauri yanadhihilika kwa kupunguza 50% ya vifo vya mama wajawazito, kupungua kwa watoto wanazaliwa chini ya uzito kutoka 11.8% mwaka 2020 hadi 5.8% mwaka 2023 na ongezeko la matumizi ya choo bora kutoka 25% mwaka 2020 hadi 65% mwaka 2023.

Pia Padre Silvanus Kessy kwa niaba ya Askofu wa Jimbo katoliki Lindi aliishukuru Serikali kwa kazi kubwa iliyofanyika ya kuboresha huduma za afya pia aliwakilisha changamoto kama vile ukosefu wa vifaa tiba kama Ventilator na CTC scana, changamoto ya malipo mapya ya bima ya afya na aliongeza kuwa Mamba wa mto Lukuledi ni changamoto kwa jamii ya Nyangao.

Aidha Waziri Nape alipokea changamoto hizo na kuahidi kuzifanyia kazi  akisisitiza kuwa  atamleta Waziri wa Afya kwa lengo la kumalizia changamoto hizo na aliongeza kuwa Serikali itaangalia namna ya kupunguza mamba mto Lukuledi.

Yote ya yote Mheshiwa Nape alisema Serikali itaendelea kushirikiana na Hospital ya Nyangao, akaendelea akisema Serikali imewekeza sana katika sekta ya Afya na mpango wa Serikali kila mtu awe na bima ya Afya, aliongeza kuwa kutokana na kasi ya maboresho ya huduma za afya anaamini  ipo siku wananchi wa  Mtama watapata matibabu ya magonjwa yote ndani ya Halmashauri yao, Mwisho alitoa pole kwa wananchi wa nyangao kufuatia mahafa ya mafuriko na Mwanafunzi kuliwa na Mamba.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA KUITWA KWQENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA MIPAKA YA KATA, VIJIJI NA VITONGOJI HALMASHAURI YA WILAYA YA MTAMA. September 16, 2024
  • MATOKEO YA USAILI KWA KADA ZOTE September 09, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA WATENDAJI MTAMA DC September 09, 2023
  • Angalia yote

Habari mpya

  • KAMATI YA SIASA MKOA WA LINDI YATEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI HALMASHAURI YA MTAMA

    May 09, 2025
  • DC MWANZIVA AMEITAKA KAMATI YA AFYA HALMASHAURI YA MTAMA KUONGEZA UHAMASISHAJI KWA WANAUME KUHUSU UMUHIMU WA LISHE

    April 29, 2025
  • DC MWANZIVA ASISITIZA KUDUMISHA MUUNGANO LINDI

    April 26, 2025
  • KAMATI YA AFYA YA MSINGI YATOA ELIMU KUHUSU NYONGEZA YA DOZI YA CHANJO YA POLIO HALMASHAURI YA MTAMA

    April 24, 2025
  • Angalia yote

Video

Risala ya utii kwa Mhe. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Youtube
  • Mfumo wa Elimu Msingi na Sekondari
  • FOMU YA MAOMBI YA LESENI YA BIASHARA
  • Watumishi Portal

Tovuti Mashuhuri

  • Presidential office and Regional Secretariety
  • Electronic Goverment Agent
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Ofisi ya Raisi-UTUMISHI
  • Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya mahali

Wasiliana nasi

    Box 328 Lindi

    Sanduku la Barua: 328 Lindi Dc

    Simu ya mezani: 0222061

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@lindidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya ndani
    • Katazo
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Mtama District Council All rights reserved.