• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mtama

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Maendeleo ya jamii, Jinsia na Watoto
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Ardhi na Mali Asili
      • Afya
      • Utawala na Utumishi
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Nyuki
      • Ununuzi na ugavi
  • Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • PICHA
    • MATUKIO
    • HOTUBA
    • HABARI
  • Mifumo
    • ffars
    • National Sanitation Compaign
      • E-learning
    • Sensa Elimu Msingi
    • Wajasiliamali
    • Government mail System
    • Madeni-Demo

WAZIRI MKUU AONGOZA HAFLA YA UWASILISHWAJI NA UHAMASISHAJI WA MATUMIZI YA MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI YA MWAKA 2022.

Posted on: February 21st, 2024

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mheshimiwa Nape Moses Nnauye Kwa niaba ya Waziri Mkuu Mheshimiwa Kassim Majaliwa Majaliwa ameongoza hafla ya  Uwasilishwaji na Uhamasishaji wa matumizi ya matokeo ya sensa ya watu na makazi ya Mwaka 2022 kwa viongozi, watendaji na wadau wa ngazi mbalimbambali katika Mkoa wa Lindi, Hafla hiyo  imefanyika leo tarehe 21 February 2024 ndani ya uwanja wa ILULU uliopo  Manispaa ya Lindi.

Akizungumza na wadau wa hafla hiyo Mh. Nape alisema Sensa ya mwaka 2022 imekuwa ya kihistoria kwani ilifanyika sensa ya watu na makazi pamoja na anuwani ya makazi ambapo imepelekea kuwa kivutio kwa nchi jirani, na hayo yote yamefanikiwa kutokana na utashi wa Serikali ya awamu ya sita chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan.

Lakini pia Mh. Nape alielezea takwimu za sensa katika mkoa wa Lindi kama ifuatavyo: idadi ya watu katika mkoa wa Lindi iliongezeka kutoka watu 864652 (sensa 2012) hadi watu 1194028 (sensa 2022) sawa na  ongezeko la watu 329376 katika kipindi Cha miaka kumi (2012 -2022). Aidha kati ya watu1194028 wanawake ni 611908 na wanaume ni 582120.

Kwa mujibu wa matokeo ya sensa ya watu na makazi ya Mwaka 2022, Halmashauri ya Wilaya ya Mtama ina jumla ya watu 166,493 ambapo idadi ya wanaume ni 79425 na wanawake ni 87068, Halmashauri hii ina jumla ya kaya 50,708 na kata yenye watu wengi ni kata ya kiwalala na kata yenye watu wachache ni kata ya Mtumbya.

Aidha Mh. Nape alikabidhi picha ya ramani inayoonesha idadi ya watu katika Kila kata ndani ya Halmashauri, picha hizo zilipokelewa na wakurugenzi wa Halmashauri husika. Mwisho hafla hiyo iliudhuliwa na viongozi mbalimbali wa Serikali kama vile spika wa bunge mstaafu mama Anna Makinda, Mkuu wa mkoa wa Lindi, katibu Tawala mkoa Lindi, wakuu wa Wilaya, madiwani, viongozi wa dini, viongozi wa chama Cha mapinduzi na wajumbe mbalimbali.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA KUITWA KWQENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA MIPAKA YA KATA, VIJIJI NA VITONGOJI HALMASHAURI YA WILAYA YA MTAMA. September 16, 2024
  • MATOKEO YA USAILI KWA KADA ZOTE September 09, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA WATENDAJI MTAMA DC September 09, 2023
  • Angalia yote

Habari mpya

  • KAMATI YA SIASA MKOA WA LINDI YATEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI HALMASHAURI YA MTAMA

    May 09, 2025
  • DC MWANZIVA AMEITAKA KAMATI YA AFYA HALMASHAURI YA MTAMA KUONGEZA UHAMASISHAJI KWA WANAUME KUHUSU UMUHIMU WA LISHE

    April 29, 2025
  • DC MWANZIVA ASISITIZA KUDUMISHA MUUNGANO LINDI

    April 26, 2025
  • KAMATI YA AFYA YA MSINGI YATOA ELIMU KUHUSU NYONGEZA YA DOZI YA CHANJO YA POLIO HALMASHAURI YA MTAMA

    April 24, 2025
  • Angalia yote

Video

Risala ya utii kwa Mhe. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Youtube
  • Mfumo wa Elimu Msingi na Sekondari
  • FOMU YA MAOMBI YA LESENI YA BIASHARA
  • Watumishi Portal

Tovuti Mashuhuri

  • Presidential office and Regional Secretariety
  • Electronic Goverment Agent
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Ofisi ya Raisi-UTUMISHI
  • Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya mahali

Wasiliana nasi

    Box 328 Lindi

    Sanduku la Barua: 328 Lindi Dc

    Simu ya mezani: 0222061

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@lindidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya ndani
    • Katazo
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Mtama District Council All rights reserved.