• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mtama

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Maendeleo ya jamii, Jinsia na Watoto
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Ardhi na Mali Asili
      • Afya
      • Utawala na Utumishi
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Nyuki
      • Ununuzi na ugavi
  • Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • PICHA
    • MATUKIO
    • HOTUBA
    • HABARI
  • Mifumo
    • ffars
    • National Sanitation Compaign
      • E-learning
    • Sensa Elimu Msingi
    • Wajasiliamali
    • Government mail System
    • Madeni-Demo

WATUMISHI MTAMA DC WATAKIWA KUONGEZA KASI YA KIUENDAJI 2022

Posted on: January 16th, 2022


Rai hiyo imetolewa  na Mkuu wa Wilaya ya Lindi Mhe. Shaibu Ndemanga kwenye hotuba yake tarehe 15, Januari, 2022 alipokuwa katika sherehe maalumu ya kuaga mwaka 2021 na kukaribisha mwaka 2022 iliyofanyika katika Kata ya Nyangao ambapo amesema kuwa ili kuhakikisha Halmashauri ya Mtama inakuwa na mabadiliko ya kimaendeleo ni lazima watumishi waongeze kasi ya kiutendaji hususani katika usimamiaji na utekelezaji wa majukumu yao.

Aidha Ndemanga amewataka Madiwani kufanya kazi kwa ushirikiano kwenye Kata zao huku akiwaomba Wakurugenzi kutoka Wilaya nyingine walioalikwa kwenye sherehe hiyo kufanya kazi kwa pamoja ikiwa ni pamoja na kubadilishana uzoefu wa kiutendaji na kwamba kwa kufanya hivyo kutasaidia kuinua kiwango cha maendeleo Mkoa wa Lindi.    

Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mtama Ndg. George Mbilinyi alimshukuru Mungu kwa kuvuka salama 2021 lakini pia amemshukuru Rais wa awamu ya sita Mhe. Samia Suluhu Hassani kwa kupeleka fedha Tsh Bill.19 kwa ajili ya ujenzi wa miradi mbalimbali ikiwemo sekta ya afya, elimu, maji pamoja na barabara. Aidha alichukua fursa hiyo kumpongeza Waziri wa Habari Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhe. Nape Nnauye kwa kupata uteuzi huo lakini pia amekuwa chachu ya kusukuma maendeleo katika Halmashauri hiyo.

Naye Mkuu wa Wilaya ya Ruangwa Mhe. Hassani Ngoma alipata nafasi ya kutoa salamu za mwaka mpya ambapo alimpongeza Mkurugenzi Mtendaji wa Mtama kwa kuandaa tukio hilo huku akiahidi kutoa ushirikiano na Wilaya ya Lindi katika nyanja mbalimbali za kimaendeleo.

Sherehe hiyo ilihudhuriwa na Mkuu wa Wilaya ya Lindi ambaye alikuwa Mgeni rasmi, Mkuu wa Wilaya na Mkurugenzi wa Nachingwea, Ruangwa, pamoja na Manispaa ya Lindi. Lakini pia wawakilishi kutoka taasisi mbalimbali ikiwemo za Benki ikiwemo NMB, CRDB.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA KUITWA KWQENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA MIPAKA YA KATA, VIJIJI NA VITONGOJI HALMASHAURI YA WILAYA YA MTAMA. September 16, 2024
  • MATOKEO YA USAILI KWA KADA ZOTE September 09, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA WATENDAJI MTAMA DC September 09, 2023
  • Angalia yote

Habari mpya

  • KAMATI YA LISHE YAFANYA KIKAO CHA TATHMINIYA UTEKELEZAJI WA AFUA ZA LISHE KWA ROBO YA TATU HALMASHAURI YA MTAMA

    June 04, 2025
  • MIRADI 7 YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 2.7 YAPITIWA NA MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA MTAMA

    May 27, 2025
  • KAMATI YA SIASA MKOA WA LINDI YATEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI HALMASHAURI YA MTAMA

    May 09, 2025
  • DC MWANZIVA AMEITAKA KAMATI YA AFYA HALMASHAURI YA MTAMA KUONGEZA UHAMASISHAJI KWA WANAUME KUHUSU UMUHIMU WA LISHE

    April 29, 2025
  • Angalia yote

Video

Risala ya utii kwa Mhe. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Youtube
  • Mfumo wa Elimu Msingi na Sekondari
  • FOMU YA MAOMBI YA LESENI YA BIASHARA
  • Watumishi Portal

Tovuti Mashuhuri

  • Presidential office and Regional Secretariety
  • Electronic Goverment Agent
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Ofisi ya Raisi-UTUMISHI
  • Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya mahali

Wasiliana nasi

    Box 328 Lindi

    Sanduku la Barua: 328 Lindi Dc

    Simu ya mezani: 0222061

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@lindidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya ndani
    • Katazo
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Mtama District Council All rights reserved.