• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mtama

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Maendeleo ya jamii, Jinsia na Watoto
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Ardhi na Mali Asili
      • Afya
      • Utawala na Utumishi
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Nyuki
      • Ununuzi na ugavi
  • Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • PICHA
    • MATUKIO
    • HOTUBA
    • HABARI
  • Mifumo
    • ffars
    • National Sanitation Compaign
      • E-learning
    • Sensa Elimu Msingi
    • Wajasiliamali
    • Government mail System
    • Madeni-Demo

WATUMISHI KITUO CHA AFYA NYANGAMARA WAHIMIZWA UWAJIBIKAJI

Posted on: September 23rd, 2021

Rai hiyo imetolewa tarehe 23/09/2021 na Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mtama Ndg. Mahmoud Kimbokota alipofanya Ziara ya kikazi katika kituo cha afya Nyangamara akiambatana na Wataalam wa Idara mbalimbali wa Halmashauri hiyo.

Akizungumza na watumishi wa kituo hicho Kimbokota amewataka  watumishi hao kutimiza wajibu wao kiutendaji kazi ikiwa  ni pamoja na utoaji wa huduma bora kwa Wananchi huku akisisitiza uhamasishaji kwa wananchi   juu ya uelewa kuhusu uchangiaji wa huduma za afya pamoja na  uwepo wa Mifumo ya taarifa na ukusanyaji wa Mapato (GoT-HOMIS).  Aidha Kimbokota amewataka viongozi ngazi ya Kijiji kuendelea kutoa hamasa kwa wananchi wajitokeze kwa wingi kufanya usafi katika maeneo yao pamoja na maeneo ya kituo cha afya ili kuwa na mazingira safi na salama kwa watoa huduma pamoja na wagonjwa.

Kwa pande wake Mganga Mfawidhi wa kituo hicho Dkt. Joel Msilimu akitoa taarifa fupi ya kituo amesema pamoja na mafanikio mbalimbali yaliyopo kituoni hapo bado wanakabiliwa na changamoto mbalimbali ikiwemo upungufu wa watumishi ambapo kwa sasa wana jumla ya watumishi 13 tu, huku akieleza kuwa suala  la kukatikakatika kwa umeme limekuwa ni  kikwazo kinachorudisha nyuma kasi ya utendaji kazi lakini pia hupelekea baadhi ya vifaa kuharibika na kusababisha hasara kwa kituo.

Katika ziara hiyo, wametembelea jengo la wazazi, jengo la upasuaji, jengo la maabara pamoja na jengo la kuhifadhia dawa.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA KUITWA KWQENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA MIPAKA YA KATA, VIJIJI NA VITONGOJI HALMASHAURI YA WILAYA YA MTAMA. September 16, 2024
  • MATOKEO YA USAILI KWA KADA ZOTE September 09, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA WATENDAJI MTAMA DC September 09, 2023
  • Angalia yote

Habari mpya

  • KAMATI YA SIASA MKOA WA LINDI YATEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI HALMASHAURI YA MTAMA

    May 09, 2025
  • DC MWANZIVA AMEITAKA KAMATI YA AFYA HALMASHAURI YA MTAMA KUONGEZA UHAMASISHAJI KWA WANAUME KUHUSU UMUHIMU WA LISHE

    April 29, 2025
  • DC MWANZIVA ASISITIZA KUDUMISHA MUUNGANO LINDI

    April 26, 2025
  • KAMATI YA AFYA YA MSINGI YATOA ELIMU KUHUSU NYONGEZA YA DOZI YA CHANJO YA POLIO HALMASHAURI YA MTAMA

    April 24, 2025
  • Angalia yote

Video

Risala ya utii kwa Mhe. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Youtube
  • Mfumo wa Elimu Msingi na Sekondari
  • FOMU YA MAOMBI YA LESENI YA BIASHARA
  • Watumishi Portal

Tovuti Mashuhuri

  • Presidential office and Regional Secretariety
  • Electronic Goverment Agent
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Ofisi ya Raisi-UTUMISHI
  • Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya mahali

Wasiliana nasi

    Box 328 Lindi

    Sanduku la Barua: 328 Lindi Dc

    Simu ya mezani: 0222061

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@lindidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya ndani
    • Katazo
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Mtama District Council All rights reserved.