• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mtama

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Maendeleo ya jamii, Jinsia na Watoto
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Ardhi na Mali Asili
      • Afya
      • Utawala na Utumishi
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Nyuki
      • Ununuzi na ugavi
  • Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • PICHA
    • MATUKIO
    • HOTUBA
    • HABARI
  • Mifumo
    • ffars
    • National Sanitation Compaign
      • E-learning
    • Sensa Elimu Msingi
    • Wajasiliamali
    • Government mail System
    • Madeni-Demo

WATAALAMU KUTOKA KITENGO CHA USIMAMIZI WA ARDHI WA CHUO KIKUU ARDHI WATOA MAFUNZO YA KUJENGA UFAHAMU JUU YA SHERIA YA USIMAMIZI WA ARDHI MTAMA DC..

Posted on: July 14th, 2021

Mafunzo hayo yametolewa  Julai 13, 2021 katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ya Wilaya ya Mtama na kufunguliwa na mgeni rasmi Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Halmashauri ya Wilaya ya Mtama Ndg. Samwel Gunzar .

Mafunzo hayo yamehudhuriwa na Katibu Tawala wa Wilaya ya Lindi NdG. Thomas Safari, baadhi ya wakuu wa idara wa Halmashauri ya Mtama, Maafisa  Tarafa, Watendaji wa kata na Watendaji wa serikali za vijiji, kwa lengo la kujenga uelewa zaidi juu sera na sharia za ardhi, haki za kumiliki ardhi pamaoja na namna bora ya kukabiliana na changamoto na utatuzi wa migogoro mbalimbali inayojitokeza katika jamii.

Kwa upande wake Katibu Tawala wa Wilaya ya Lindi NdG. Thomas Safari, ametoa wito kwa washiriki wa mafunzo hayo kuhakikisha wanakua mabalozi wazuri kwa kusaidia kutoa elimu hasa katika ngazi za shule za msingi na jamii kwa ujumla kuhusu athari za ubaguzi katika umilikaji wa ardhi ili kukuza kizazi kitakachokuwa na uelewa zaidi kuhusu sera na sharia za ardhi. Pia amewataka washiriki kufanya kazi kwa njia ya ushirikishwaji.

Nae Afisa Tarafa ya Nyangamara Ndugu Hezron Meshack Elias alipata nafasi ya kuchangia juu ya suala la umiliki wa ardhi kwa vijana na kusema kuwa kwa upande wa vijana wana nafasi kubwa ya umiliki wa ardhi lakini bado kuna changamoto kwa vijana kutojihusisha na kilimo hali inayopelekea kutozithamini ardhi wanazomiliki. Pia ametoa ushauri kwa washiriki kujikita zaidi katika kuhamasisha vijana kujihusisha na kilimo ili vijana hao wafahamu umuhimu wa ardhi kimaendeleo.

Mwezeshaji wa Mafunzo hayo kutoka chuo kikuu cha Ardhi Dkt. Fredrick Bwire Magina, ametoa wito kwa wasuluhishaji wa migogoro ya ardhi kutojihususha na vitendo vya Rushwa wakati wa utekelezaji wa majukumu yao na kuongeza watatuzi wa migogoro hiyo wanatakiwa kufika eneo la tukio ili wajiridhishe na ushahidi wa wahusika.

Katika mafunzo hayo, washiriki walipata nafasi ya kuuliza maswali na kujadili kwa pamoja mada zilizowasilishwa na wawezeshaji wa mafunzo hayo huku baadhi yao wakitoa changamoto mbalimbali wanazokutana nazo katika utekelezaji wa majukumu yao hususani suala la uwepo wa migogoro ya ardhi katika maeneo yao na kupatiwa ufumbuzi wa namna ya kutatua changamoto hizo.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA KUITWA KWQENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA MIPAKA YA KATA, VIJIJI NA VITONGOJI HALMASHAURI YA WILAYA YA MTAMA. September 16, 2024
  • MATOKEO YA USAILI KWA KADA ZOTE September 09, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA WATENDAJI MTAMA DC September 09, 2023
  • Angalia yote

Habari mpya

  • KAMATI YA LISHE YAFANYA KIKAO CHA TATHMINIYA UTEKELEZAJI WA AFUA ZA LISHE KWA ROBO YA TATU HALMASHAURI YA MTAMA

    June 04, 2025
  • MIRADI 7 YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 2.7 YAPITIWA NA MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA MTAMA

    May 27, 2025
  • KAMATI YA SIASA MKOA WA LINDI YATEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI HALMASHAURI YA MTAMA

    May 09, 2025
  • DC MWANZIVA AMEITAKA KAMATI YA AFYA HALMASHAURI YA MTAMA KUONGEZA UHAMASISHAJI KWA WANAUME KUHUSU UMUHIMU WA LISHE

    April 29, 2025
  • Angalia yote

Video

Risala ya utii kwa Mhe. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Youtube
  • Mfumo wa Elimu Msingi na Sekondari
  • FOMU YA MAOMBI YA LESENI YA BIASHARA
  • Watumishi Portal

Tovuti Mashuhuri

  • Presidential office and Regional Secretariety
  • Electronic Goverment Agent
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Ofisi ya Raisi-UTUMISHI
  • Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya mahali

Wasiliana nasi

    Box 328 Lindi

    Sanduku la Barua: 328 Lindi Dc

    Simu ya mezani: 0222061

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@lindidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya ndani
    • Katazo
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Mtama District Council All rights reserved.