• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mtama

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Maendeleo ya jamii, Jinsia na Watoto
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Ardhi na Mali Asili
      • Afya
      • Utawala na Utumishi
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Nyuki
      • Ununuzi na ugavi
  • Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • PICHA
    • MATUKIO
    • HOTUBA
    • HABARI
  • Mifumo
    • ffars
    • National Sanitation Compaign
      • E-learning
    • Sensa Elimu Msingi
    • Wajasiliamali
    • Government mail System
    • Madeni-Demo

WANANCHI KIJIJI CHA CHIWERERE WAISHUKURU SERIKALI KWA KUPELEKA FEDHA ZA UMALIZIAJI WA ZAHANATI

Posted on: January 19th, 2022


Wananchi wa Kijiji cha Chiwerere Kata ya Namangale Januari 19, 2022 wameupokea kwa matumaini na furaha  Mradi wa umaliziaji wa zahanati iliyojengwa kwa nguvu na michango ya wanajamii na kutoa shukurani kwa Serikali ya awamu ya sita chini ya uongozi wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan

Wananchi hao wameahidi kuendelea kujitolea katika shughuli zote za umaliziaji ikiwa ni pamoja na kupeleka mchanga, mawe pamoja na mbao zitakazopatikana kupitia msitu wa hifadhi wa kijiji hicho. Aidha wananchi hao wamesema kuwa kukamilika kwa ujenzi huo kutarahisisha upatikanaji wa huduma za afya hususani kwa wanawake wajawazito pamoja na wazee.

Waliongeza kuwa wameamua kujitolea hadi kufikia hatua ya boma lenye kozi 11 kutokana na hadha na gharama wanazozitumia kufuata huduma za afya katika hospitali ya Nyangao na kwamba kwakua Serikali imeziona jitihada za wananchi wa Chiwerere basi wako tayari kuunga mkono kwa kuendelea kujitolea.

Awali ya hapo Kaimu Mganga Mkuu wa Wilaya Ndg.  Mfaume Hemed ambaye ni Afisa Afya aliwapongeza wananchi hao kwa ushirikiano na juhudi walizozitoa katika ujenzi huo. Sambamba na hilo Mfaume aliendelea kwa kusema kuwa Serikali imeunga mkono jitihada hizo kwa kupeleka fedha Tshs.  Milioni 50 ili kuweza kumalizia zahanati hiyo.

Aidha amewaomba viongozi wa kijiji hicho kuhakikisha wanabainisha mipaka ya eneo la mradi huo lakini pia kuangalia njia bora ya kuongeza eneo ili kuwa na nafasi ya kuongeza majengo mengine ikiwa ni pamoja na nyumba za watumishi.

Kwa upande wake Mtendaji wa Kijiji hicho Hamisi Mtioli amewasihi wananchi kuondoa dhana ya kupatikana kwa fedha hizo ndio mwisho wa kujitolea badala yake waendeleze umoja na mshikamano wakati wa umaliziaji wa mradi huo.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA KUITWA KWQENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA MIPAKA YA KATA, VIJIJI NA VITONGOJI HALMASHAURI YA WILAYA YA MTAMA. September 16, 2024
  • MATOKEO YA USAILI KWA KADA ZOTE September 09, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA WATENDAJI MTAMA DC September 09, 2023
  • Angalia yote

Habari mpya

  • KAMATI YA LISHE YAFANYA KIKAO CHA TATHMINIYA UTEKELEZAJI WA AFUA ZA LISHE KWA ROBO YA TATU HALMASHAURI YA MTAMA

    June 04, 2025
  • MIRADI 7 YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 2.7 YAPITIWA NA MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA MTAMA

    May 27, 2025
  • KAMATI YA SIASA MKOA WA LINDI YATEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI HALMASHAURI YA MTAMA

    May 09, 2025
  • DC MWANZIVA AMEITAKA KAMATI YA AFYA HALMASHAURI YA MTAMA KUONGEZA UHAMASISHAJI KWA WANAUME KUHUSU UMUHIMU WA LISHE

    April 29, 2025
  • Angalia yote

Video

Risala ya utii kwa Mhe. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Youtube
  • Mfumo wa Elimu Msingi na Sekondari
  • FOMU YA MAOMBI YA LESENI YA BIASHARA
  • Watumishi Portal

Tovuti Mashuhuri

  • Presidential office and Regional Secretariety
  • Electronic Goverment Agent
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Ofisi ya Raisi-UTUMISHI
  • Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya mahali

Wasiliana nasi

    Box 328 Lindi

    Sanduku la Barua: 328 Lindi Dc

    Simu ya mezani: 0222061

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@lindidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya ndani
    • Katazo
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Mtama District Council All rights reserved.