• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mtama

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Maendeleo ya jamii, Jinsia na Watoto
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Ardhi na Mali Asili
      • Afya
      • Utawala na Utumishi
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Nyuki
      • Ununuzi na ugavi
  • Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • PICHA
    • MATUKIO
    • HOTUBA
    • HABARI
  • Mifumo
    • ffars
    • National Sanitation Compaign
      • E-learning
    • Sensa Elimu Msingi
    • Wajasiliamali
    • Government mail System
    • Madeni-Demo

Walimu Lindi DC ziarani Jijini Mwanza

Posted on: January 8th, 2019

'Elimu haina Mwisho',   'Elimu ni ufunguo wa Maisha' ni miongoni mwa Misemo iliyopo katika maisha yetu ya kawaida yote ikiwa na lengo kuu la kutafuta elimu mahali popote na sehemu yeyote haya yamedhihilika mara baada ya Walimu kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Lindi kuamua kwa ridhaa yao wenyewe kwenda kufanya ziara ya kujifunza Mkoani Mwanza na kutembelea Halmashauri ya Jiji la Mwanza la Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela. Lengo kuu ni kujua hasa siri iliyopo katika Halmashauri hizi ni kwanini zinafanya vizuri Kitaaluma katika ufaulishaji wa Wanafunzi, kwani kwa Upande wa Halmashauri ya jiji la Mwanza  Mwaka 2017 ilifaulisha kwa asilimia 88.7 na 2018 kwa asilimia 92..3 na Mwaka 2019 imejiwekea lengo la kufaulisha kwa asilimia 100 ikiwa na mana hakuna mwanafunzi atakayshindwa kuingia kidato cha kwanza, na katika upande wa Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela Mwaka 2017  asilimia 87.5 na mwaka 2018 ni asilimia 94.8  na mwaka 2019 wana lengo la kufikisha asilimia 100 wakati Halmashauri ya Wilaya ya Lindi kwa Mwaka 2017 ilifaulisha kwa asilimia 65.1 na mwaka 2018 ilifaulisha kwa asilimia 61.

Hapo ndiyo utaona kwa nini Halmashauri ya wilaya ya Lindi ikaenda kufanya ziara hii ya Kikazi na kuamua kuzitembelea Halmashauri hizi mbili lakini mara baada ya kujifunza kutoka katika Halmashauri hizi mbili Walimu wa Halmashauri ya Lindi walifanikiwa kutoka na mambo haya Mosi,Wana walimu wa kutosha na uwiano mzuri kwa mwalimu na Wanafunzi Pili,Wanamiundombinu mizuri hususani  Vyumba vya Madarasa Tatu,Ushirikiano wa kutosha kwa ngazi zote za utawala Nne,Walimu kuwa na Moyo wa Uzalendo wa kufundisha hata kwa muda wa ziada na Likizo bila malipo yeyote Tano,Walimu Kutatuliwa kero zao za likizo na uhamisho kwa wakati na kurekebishiwa madaraja yao Sita,kuwa na mpango kazi unaotekelezeka Saba,Walimu kumaliza mada husika kwa mujibu wa mtaala(syllabus) Saba,Wanasiaasa kuwa ni sehemu ya wasimamizi wa wa mipango ya Elimu Nane,Kudhibiti utoro wa walimu na wanafunzi Tisa,Ufuatiliaji wa karibu wa Hali ya ufundishaji na ujifunzaji mashuleni kumi,Kuwahusisha wadau changamoto zote za kielimu na kutafuta ufumbuzi kwa pamoja.

Baada ya kujifunza mazuri haya kutoka kwa wenzetu walimu wa Halmashauri ya Wilaya ya Lindi walipata fursa ya kwenda kuona vivutio mbalimbali vilivyopo jiji la mwanza  kama visiwa vya saa 8,jengo la Rock city na Bandari kuu ya Mwanza

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA KUITWA KWQENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA MIPAKA YA KATA, VIJIJI NA VITONGOJI HALMASHAURI YA WILAYA YA MTAMA. September 16, 2024
  • MATOKEO YA USAILI KWA KADA ZOTE September 09, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA WATENDAJI MTAMA DC September 09, 2023
  • Angalia yote

Habari mpya

  • KAMATI YA SIASA MKOA WA LINDI YATEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI HALMASHAURI YA MTAMA

    May 09, 2025
  • DC MWANZIVA AMEITAKA KAMATI YA AFYA HALMASHAURI YA MTAMA KUONGEZA UHAMASISHAJI KWA WANAUME KUHUSU UMUHIMU WA LISHE

    April 29, 2025
  • DC MWANZIVA ASISITIZA KUDUMISHA MUUNGANO LINDI

    April 26, 2025
  • KAMATI YA AFYA YA MSINGI YATOA ELIMU KUHUSU NYONGEZA YA DOZI YA CHANJO YA POLIO HALMASHAURI YA MTAMA

    April 24, 2025
  • Angalia yote

Video

Risala ya utii kwa Mhe. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Youtube
  • Mfumo wa Elimu Msingi na Sekondari
  • FOMU YA MAOMBI YA LESENI YA BIASHARA
  • Watumishi Portal

Tovuti Mashuhuri

  • Presidential office and Regional Secretariety
  • Electronic Goverment Agent
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Ofisi ya Raisi-UTUMISHI
  • Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya mahali

Wasiliana nasi

    Box 328 Lindi

    Sanduku la Barua: 328 Lindi Dc

    Simu ya mezani: 0222061

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@lindidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya ndani
    • Katazo
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Mtama District Council All rights reserved.