• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mtama

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Maendeleo ya jamii, Jinsia na Watoto
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Ardhi na Mali Asili
      • Afya
      • Utawala na Utumishi
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Nyuki
      • Ununuzi na ugavi
  • Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • PICHA
    • MATUKIO
    • HOTUBA
    • HABARI
  • Mifumo
    • ffars
    • National Sanitation Compaign
      • E-learning
    • Sensa Elimu Msingi
    • Wajasiliamali
    • Government mail System
    • Madeni-Demo

Wakazi wa wilayani Lindi wavamiwa maeneo yao na kuchomewa moto vitu vyao

Posted on: June 12th, 2018

Wakazi wa kijiji cha Mikongi iliyopo kata ya Mandwanga,Halmashauri ya wilaya ya Lindi wamekutwa na butwaa baada ya kuvamiwa na watu zaidi ya 50 kutoka kijiji cha Nambau wilaya ya Tandahimba  mkoani Mtwara kutokana na imani za kishirikina, kwa mujibu wa Mwenyekiti wa  Kamati ya ulinzi ya wilaya ya Lindi ambaye ni Mkuu wa Wilaya Ndg Shaibu Ndemanga alisema kwamba uharifu huo uliofanywa na watu takribani ya 50 ambao walitoka katika katika kijiji cha Nambahu,Wilaya ya Tandahimba mkoani Mtwara waliokwenda Mikongi kwa lengo la kusaidia kumtafuta mtoto wa miaka tisa Farida Hasani aliyekuwa anasoma darasa la Tatu katika shule ya Msingi ya Nambahu iliyopo Tandahimba na akapotea katika kijiji cha Mikongi  alipokwenda kumtembelea bibi yake.

Ndemanga alisema mtoto huyo aliweza kupatikana akiwa hai alitoweka tarehe 08/06/2018 asubuhi kutoka nyumbani kwa bibi yake ambapo juhudi za kumtafuta hazikuweza kuzaa matunda kuanzia tarehe hiyo hadi tarehe 10 mwezi huu alipoonekana, naye Mwenyekiti wa Serikali ya kijiji cha Mikongi ndg Juma Likomboleka aliema tarehe 09.06.2018 watu zaidi ya 50 waliweza kuvamia kijiji chake kwa kutumia usafili wa gari na pikipiki za tairi tatu maarufu kama Guta kwa lengo la kusaidia kumtafuta mtoto huyo ambaye ni mkazi mwezao wa kijiji cha Nambahu.

Mwenyekiti huyo wa kijiji alieleza kuwa ilipofika majira ya saa nane usiku vijana watano kati yao waliondoka na kuelekea madukani wakiwa wamebeba mapanga,hata hivyo waliweza kutiwa nguvuni na migambo na kufungiwa ofisini hata hivyo kaimu Mtendaji Kata aliwafungulia vijana hao usiku huo huo, kwa upande wa Farida Muanya ambaye ndiye bibi wa mtoto huyo alisema siku ya Tarehe 10/06/2018 mchana watu hao wakiwa wameongozana na Baba wa mtoto huyo walimtishia maisha Mume wake Shaibu Kazumari kwa kumtuhumu kuwa ndiye aliyemficha mtoto huyo ili amfanye msukule na kwamba asipoonekana basi wangemzuru ndipo mzee huyo akaamua kutoloka kijijini hapo.

Bi Maunya aliendelea kueleza kuwa Mzee Shaibu baada ya kukimbia kutoka nyumbani kwake kwa kuhofia  uhai wake ndipo vijana hao walianza kufanya vurugu na uharibifu wa mali ikiwemo kubomoa nyumba mbiliza bati  na kucoma moto nyumba moja ya nyasi,jiko na kuchoma moto Pikipiki na kuharibu vibaya kisima cha maji,kwa upande wake Kamanda wa polisi mkoa wa lindi Kamishina msaidizi wa jeshi la polisi(ACP) pudesiana Protaz  amethibisha kuwepo kwa tukio hilo na kusema kuwa watu watano akiwemo Kaimu afisa mtendaji wa kata ya Mandwanga,Abdallah Mkondela wamekamatwa na polisi kuhusiana na tukio hilo. pia lisema jeshi la polisi linamshikilia mwatu mmoja ambaye alipatikana na mtoto huyo na ambaye ametambulika kwa jina la Hamis Mmalunda pia jeshi la polisi linaendeleza kuwatafuta wazazi wa mtoto baada ya kutekeleza uharifu huo walipotea kusikojulikana.

kamanda prostas alisema kuwa uchunguzi wa awali hauoneshi kutoweka kwa mtoto huyo hakukuwa na mazingira yeyote ya ushirikina na Mwishowe aliwaasa  wananchi kutojichukulia sheria mikononi na huku akiahidi kuwakamata wahusika wote waliofanya uhalifu huo.



Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA KUITWA KWQENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA MIPAKA YA KATA, VIJIJI NA VITONGOJI HALMASHAURI YA WILAYA YA MTAMA. September 16, 2024
  • MATOKEO YA USAILI KWA KADA ZOTE September 09, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA WATENDAJI MTAMA DC September 09, 2023
  • Angalia yote

Habari mpya

  • KAMATI YA LISHE YAFANYA KIKAO CHA TATHMINIYA UTEKELEZAJI WA AFUA ZA LISHE KWA ROBO YA TATU HALMASHAURI YA MTAMA

    June 04, 2025
  • MIRADI 7 YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 2.7 YAPITIWA NA MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA MTAMA

    May 27, 2025
  • KAMATI YA SIASA MKOA WA LINDI YATEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI HALMASHAURI YA MTAMA

    May 09, 2025
  • DC MWANZIVA AMEITAKA KAMATI YA AFYA HALMASHAURI YA MTAMA KUONGEZA UHAMASISHAJI KWA WANAUME KUHUSU UMUHIMU WA LISHE

    April 29, 2025
  • Angalia yote

Video

Risala ya utii kwa Mhe. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Youtube
  • Mfumo wa Elimu Msingi na Sekondari
  • FOMU YA MAOMBI YA LESENI YA BIASHARA
  • Watumishi Portal

Tovuti Mashuhuri

  • Presidential office and Regional Secretariety
  • Electronic Goverment Agent
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Ofisi ya Raisi-UTUMISHI
  • Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya mahali

Wasiliana nasi

    Box 328 Lindi

    Sanduku la Barua: 328 Lindi Dc

    Simu ya mezani: 0222061

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@lindidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya ndani
    • Katazo
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Mtama District Council All rights reserved.