• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mtama

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Maendeleo ya jamii, Jinsia na Watoto
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Ardhi na Mali Asili
      • Afya
      • Utawala na Utumishi
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Nyuki
      • Ununuzi na ugavi
  • Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • PICHA
    • MATUKIO
    • HOTUBA
    • HABARI
  • Mifumo
    • ffars
    • National Sanitation Compaign
      • E-learning
    • Sensa Elimu Msingi
    • Wajasiliamali
    • Government mail System
    • Madeni-Demo

Wafanyakazi wa Mkoa wa Lindi waazimisha Maadhimisho ya Mei Mosi kwa Shangwe

Posted on: May 1st, 2018

Maadhimisho ya Sherehe ya Wafanyakazi duniani yanafanyika kila Mwaka ifikapo Mei Mosi na ikiwa na lengo la kuwakutanisha Wafanyakazi wote kutoka taasisi zote za Serikali na za Binafsi ili kwa pamoja wazweze kutoa Changamoto zao zinazowakabili kwa Mwajiri na Serikali kwa ujumla ili ziweze kutatuliwa, Maadhimisho ya Mwaka huu kitaifa yalifanyika katika Mkoa wa Iringa na Mgeni rasmi alikuwa ni Raisi wa Jamhuri ya Tanzania

Katika Mkoa wa Lindi Maadhimisho ya Sherehe ya Wafanyakazi yalifanyika katika Wilaya ya Lindi katika Kiwanja cha Bustani ya Mkapa(Mkapa Garden) ambapo Mgeni rasmi katika Hafra hii alikuwa ni Mkuu wa Mkoa wa Lindi Mhe Godfrey Zambi ambaye alizungumza mambo mengi ya kiutumishi ikiwa ni pamoja na kuwataka watumishi kufanya kazi kiufanisi kwani Mhe Rais bado anaendeleza juhudi zake za kumfanya Mtumishi aishi Maisha mazuri ikiwa ni pamoja na Kumlipa stahiki za Uhamisho mara tu anapohama na sio kucheleweshwa, watumishi wote ambao bado wanaidai Serikali kulipwa Fedha zao mara moja na anapohama

 Mkuu wa Mkoa wa Lindi Mhe Gofrey Zambi aliwataka Maafisa Watumishi wote kuendelea kuhakiki taarifa za Watumishi mana Bado Watumishi Hewa bado wapo na pia alisisitiza, Pia aliendelea kusisitiza Maagizo yWaziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Mkuchika (Mb) kuhusiana na Uhamiso wa watumishi na kuwataka Waajiri kuwapitishia Barua watumishi wao mara wanapotaka kuhama kutokana na sababu Mbalimbali na kuwasisistiza kuwa wao siyo wa Mwisho kufanya Maamuzi mana mtu anayeandikiwa kufanya ni katibu mkuu wa Utumishi na kuwasisistiza Wakurugenzi kupitisha Barua hizo ila kama ana upungufu wa watumishi wa kada hiyo anayohama anaweza kumpitishia lakini akatoa angalizo kama kuna upungufu wa watumishi

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA KUITWA KWQENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA MIPAKA YA KATA, VIJIJI NA VITONGOJI HALMASHAURI YA WILAYA YA MTAMA. September 16, 2024
  • MATOKEO YA USAILI KWA KADA ZOTE September 09, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA WATENDAJI MTAMA DC September 09, 2023
  • Angalia yote

Habari mpya

  • KAMATI YA SIASA MKOA WA LINDI YATEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI HALMASHAURI YA MTAMA

    May 09, 2025
  • DC MWANZIVA AMEITAKA KAMATI YA AFYA HALMASHAURI YA MTAMA KUONGEZA UHAMASISHAJI KWA WANAUME KUHUSU UMUHIMU WA LISHE

    April 29, 2025
  • DC MWANZIVA ASISITIZA KUDUMISHA MUUNGANO LINDI

    April 26, 2025
  • KAMATI YA AFYA YA MSINGI YATOA ELIMU KUHUSU NYONGEZA YA DOZI YA CHANJO YA POLIO HALMASHAURI YA MTAMA

    April 24, 2025
  • Angalia yote

Video

Risala ya utii kwa Mhe. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Youtube
  • Mfumo wa Elimu Msingi na Sekondari
  • FOMU YA MAOMBI YA LESENI YA BIASHARA
  • Watumishi Portal

Tovuti Mashuhuri

  • Presidential office and Regional Secretariety
  • Electronic Goverment Agent
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Ofisi ya Raisi-UTUMISHI
  • Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya mahali

Wasiliana nasi

    Box 328 Lindi

    Sanduku la Barua: 328 Lindi Dc

    Simu ya mezani: 0222061

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@lindidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya ndani
    • Katazo
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Mtama District Council All rights reserved.