• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mtama

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Maendeleo ya jamii, Jinsia na Watoto
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Ardhi na Mali Asili
      • Afya
      • Utawala na Utumishi
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Nyuki
      • Ununuzi na ugavi
  • Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • PICHA
    • MATUKIO
    • HOTUBA
    • HABARI
  • Mifumo
    • ffars
    • National Sanitation Compaign
      • E-learning
    • Sensa Elimu Msingi
    • Wajasiliamali
    • Government mail System
    • Madeni-Demo

WAFANYABIASHARA MTAMA WASHAURIWA KUJISAJILI KWENYE MFUMO WA MANUNUZI YA SERIKALI.

Posted on: November 3rd, 2021

Ushauri huo wenye msisitizo umetolewa na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mtama Ndg. George Emmanuel Mbilinyi tarehe 3/11/2021 alipokutana nao katika kikao cha wafanya biashara hao kwenye Ukumbi wa mikutano wa Halmashauri kilicholenga kutambulisha miradi mbalimbali ya maendeleo na kuangalia namna ya kufanya kazi kwa pamoja.                         

Kikao hicho kilihudhuriwa na baadhi wawakilishi wa wafanya biashara ambao wanajishughulisha na uuzaji wa vifaa vya ujenzi pamoja na chakula.          

Mkurugenzi alisema kuwa Serikali ya awamu ya sita imeleta fedha kwa ajili ya miradi mbalimbali ikiwa ni pamoja na ujenzi wa vituo vya afya, nyumba za watumishi ikijumuisha nyumba ya Mkurugenzi lakini pia ujenzi wa vyumba vya madarasa pamoja na vyoo katika shule za Msingi na Sekondari. Sambamba na hilo Ndg. Mbilinyi alitoa msisitizo kwa wafanya biashara hao kujisajili katika Mfumo wa Wakala wa Manunuzi ya Serikali ili kuwa na sifa ya kufanya kazi na kutambulika sehemu yeyote yenye fursa za kibiashara pamoja na kuunda chama au umoja ili kurahisisha mawasiliao ya kibiashara kupitia viongozi wao.

Amewaomba kutopanga bei kwa maslahi yao binafsi na badala yake wanatakiwa kuwa na bei rafiki katika huduma zao ili kuishawishi Halmashauri kutoa kipaumbele kwa wafanya biashara hao kwani kwa kufanya hivyo kutasaidia hali ya mzunguko wa fedha kubaki ndani ya mji wa Mtama lakini pia watakuwa ni sehemu ya watu walioijenga Halmashauri hiyo. Aidha, Mkurugenzi huyo hakusita kuendelea kuhamasisha uchangiaji wa mapato kwa kulipa ushuru kulingana na ukubwa na aina ya biashara zao. Aliwasisitizia kuwa wao kama wafanya biashara wanatakiwa kuchangia mapato ya Halmashauri na kwamba namna bora ya kuiendeleza ni ulipaji ushuru.

Kwa upande wake Mfanya biashara ya usambazaji wa vifaa vya ujenzi Bw. Mchora Selemani alipata nafasi ya kutoa changamoto wanazokutana nazo pindi wanapofanya kazi na Halmashauri ikiwa ni pamoja na ucheleweshwaji wa malipo hali inayopelekea malimbikizo makubwa ya madeni. Kufuatia hoja hiyo, Mkurugenzi amewaahidi kuwa watalifanyia kazi na kuanzia sasa mdau yeyote atakayefanya kazi na Halmashauri malipo yake yatafanyika kwa wakati kulingana na makubaliano yaliyofikiwa. Mwisho aliomba kuwa na ushirikiano wa pamoja.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA KUITWA KWQENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA MIPAKA YA KATA, VIJIJI NA VITONGOJI HALMASHAURI YA WILAYA YA MTAMA. September 16, 2024
  • MATOKEO YA USAILI KWA KADA ZOTE September 09, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA WATENDAJI MTAMA DC September 09, 2023
  • Angalia yote

Habari mpya

  • KAMATI YA SIASA MKOA WA LINDI YATEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI HALMASHAURI YA MTAMA

    May 09, 2025
  • DC MWANZIVA AMEITAKA KAMATI YA AFYA HALMASHAURI YA MTAMA KUONGEZA UHAMASISHAJI KWA WANAUME KUHUSU UMUHIMU WA LISHE

    April 29, 2025
  • DC MWANZIVA ASISITIZA KUDUMISHA MUUNGANO LINDI

    April 26, 2025
  • KAMATI YA AFYA YA MSINGI YATOA ELIMU KUHUSU NYONGEZA YA DOZI YA CHANJO YA POLIO HALMASHAURI YA MTAMA

    April 24, 2025
  • Angalia yote

Video

Risala ya utii kwa Mhe. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Youtube
  • Mfumo wa Elimu Msingi na Sekondari
  • FOMU YA MAOMBI YA LESENI YA BIASHARA
  • Watumishi Portal

Tovuti Mashuhuri

  • Presidential office and Regional Secretariety
  • Electronic Goverment Agent
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Ofisi ya Raisi-UTUMISHI
  • Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya mahali

Wasiliana nasi

    Box 328 Lindi

    Sanduku la Barua: 328 Lindi Dc

    Simu ya mezani: 0222061

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@lindidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya ndani
    • Katazo
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Mtama District Council All rights reserved.