• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mtama

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Maendeleo ya jamii, Jinsia na Watoto
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Ardhi na Mali Asili
      • Afya
      • Utawala na Utumishi
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Nyuki
      • Ununuzi na ugavi
  • Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • PICHA
    • MATUKIO
    • HOTUBA
    • HABARI
  • Mifumo
    • ffars
    • National Sanitation Compaign
      • E-learning
    • Sensa Elimu Msingi
    • Wajasiliamali
    • Government mail System
    • Madeni-Demo

UZINDUZI WA KAMPENI YA USAFI WA MAZINGIRA NA UJENZI WA VYOO BORA KATA YA MANDWANGA NA MNARA.

Posted on: April 6th, 2024

Ndugu Wenceslaus Mbilango Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mtama, jana tarehe 5 Aprili 2024 aliongoza Sherehe ya Uzinduzi wa kampeni ya usafi na mazingira na ujenzi wa vyoo bora katika kata ya Mandwanga (Vijiji 8) na kata ya Mnara (Vijiji 2), Kampeni hiyo inayofadhiliwa na Kanisa la Angalikana Dayosisi ya Masasi kupitia Shirika la World Vision Tanzania, inalenga kuwafikia wananchi wote wa vijiji 10 ili kuwezesha kujenga na kutumia vyoo bora na kunawa maji na sabuni kwa maji tiririka baada ya kutumia choo. Kampeni hiyo iliyozinduliwa katika kijiji cha Chiuta inakadiriwa kuwafikia wananchi zaidi ya 27,000.

Katika uzinduzi huo, Ndugu Elvan Limwagu Afisa Afya wa Halmashauri alielezea na kusisitiza wananchi kujenga choo bora kwa kuzingatia sifa tano ambazo ni: Sakafu inayosafishika, jengo imara lenye kuta pande zote nne, paa lililoezekwa vizuri, mlango imara unaotunza usiri na Mfuniko kwa vyoo vya shimo. Pia aliongeza kuwa lazama kila choo kiwe na kifaa cha kunawia mikono kwa maji tiririka ili kuwezesha kunawa mikono baada ya kutoka chooni.

Wakati huohuo Afisa Mradi na mwakilishi wa Kanisa la Angalikana Bwana Victor William alisema kuwa Kampeni hii inafanyika ili kusaidia juhudi za serikali katika kuleta maendeleo kwa kusambaza maji safi na salama, ujenzi wa miundombinu ya vyoo katika shule na zahati zilizopo ndani ya eneo la mradi na kubadilisha mitazamo ya jamii hasa katika kubadili tabia za usafi wa mazingira.

Mgeni Rasmi Ndugu Mbilango alieleza kuwa Serikali chini ya Mheshimiwa Rais Dakta Samia Suluhu Hassan inatumia gharama kubwa hili kupambana na magonjwa yanayotokana na jamii kutotumia choo bora, hivyo wananchi waunge mkono kampeni hiyo kwa kujenga vyoo bora na kuvitumia. Alimalizia kwa kuwakumbusha Kauli mbiu mbalimbali zinazotumika ambazo ni "MTU NI AFYA, USAFI NI USTAARABU, USICHUKULIE POA NYUMBA NI CHOO, USAFI WA MAZINGIRA NI USALAMA WA TAIFA, JENGA CHOO BORA SASA"

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA KUITWA KWQENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA MIPAKA YA KATA, VIJIJI NA VITONGOJI HALMASHAURI YA WILAYA YA MTAMA. September 16, 2024
  • MATOKEO YA USAILI KWA KADA ZOTE September 09, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA WATENDAJI MTAMA DC September 09, 2023
  • Angalia yote

Habari mpya

  • KAMATI YA LISHE YAFANYA KIKAO CHA TATHMINIYA UTEKELEZAJI WA AFUA ZA LISHE KWA ROBO YA TATU HALMASHAURI YA MTAMA

    June 04, 2025
  • MIRADI 7 YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 2.7 YAPITIWA NA MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA MTAMA

    May 27, 2025
  • KAMATI YA SIASA MKOA WA LINDI YATEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI HALMASHAURI YA MTAMA

    May 09, 2025
  • DC MWANZIVA AMEITAKA KAMATI YA AFYA HALMASHAURI YA MTAMA KUONGEZA UHAMASISHAJI KWA WANAUME KUHUSU UMUHIMU WA LISHE

    April 29, 2025
  • Angalia yote

Video

Risala ya utii kwa Mhe. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Youtube
  • Mfumo wa Elimu Msingi na Sekondari
  • FOMU YA MAOMBI YA LESENI YA BIASHARA
  • Watumishi Portal

Tovuti Mashuhuri

  • Presidential office and Regional Secretariety
  • Electronic Goverment Agent
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Ofisi ya Raisi-UTUMISHI
  • Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya mahali

Wasiliana nasi

    Box 328 Lindi

    Sanduku la Barua: 328 Lindi Dc

    Simu ya mezani: 0222061

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@lindidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya ndani
    • Katazo
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Mtama District Council All rights reserved.