• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mtama

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Maendeleo ya jamii, Jinsia na Watoto
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Ardhi na Mali Asili
      • Afya
      • Utawala na Utumishi
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Nyuki
      • Ununuzi na ugavi
  • Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • PICHA
    • MATUKIO
    • HOTUBA
    • HABARI
  • Mifumo
    • ffars
    • National Sanitation Compaign
      • E-learning
    • Sensa Elimu Msingi
    • Wajasiliamali
    • Government mail System
    • Madeni-Demo

TIMU YA URATIBU WA MWENGE MKOA YATEMBELEA MIRADI HALMASHAURI YA MTAMA.

Posted on: April 27th, 2024

TIMU YA URATIBU WA MWENGE MKOA YATEMBELEA MIRADI HALMASHAURI YA MTAMA.

Timu hiyo ikiongozwa na Mratibu wa mwenge,katibu Tawala Wilaya ya Lindi, Afisa mipango, Afisa michezo, RUWASA na TARURA, kamati ya ulinzi na usalama Mkoa wa Lindi pamoja na wataalamu wa Halmashauri ya Mtama leo tarehe 27 Aprili 2024 wametembelea na kukagua miradi mbalimbali inayotarajiwa kutembelewa na mwenge wa uhuru mwaka huu ili kujiridhisha na maendeleo ya miradi hiyo.

Miradi iliyotembelewa na kukaguliwa ni  Eneo la kupokelea mwenge Nyangao, kaRakana ya kikundi cha vijana Nyangao, kituo cha redio Mtama, Zahanati Nahukahuka, Madarasa 3, ujenzi wa bwawa la samaki, utunzaji wa mazingira shule ya msingi Songa Mbele pamoja na muendelezo wa barabara ya Nyengedi-Rondo.

Aidha Bi Shekalage Makalage mratibu wa mwenge Mkoa wa Lindi alisema kuwa miradi yote inaridhisha kwa hatua iliyofikia hivyo basi viongozi wanapaswa kufanya marekebisho machache yaliyobakia kwa utaalamu zaidi ili kuendana na kasi ya muda uliobakia kufikia siku ya mapokezi ya mwenge, ambapo Halmashauri ya Mtama inatarajia kuupokea mwenge wa uhuru tarehe 27 Mei 2024.

Lakini pia Bwana Hudhaifa Kassim Rashid Katibu Tawala Wilaya ya Lindi amesisitiza hamasa zaidi kutolewa kwa wananchi ili kuhudhuria kwa wingi katika maeneo yatakayo pitiwa na mwenge lakini pia katika eneo la  mapokezi na eneo la mkesha wa mwenge, Mwisho timu ilifanya tathmini ya miradi yote na kuwataka wataalamu wa Halmashauri kuendelea kujiandaa vyema kuelekea kwenye mapokezi ya mwenge wa Uhuru.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA KUITWA KWQENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA MIPAKA YA KATA, VIJIJI NA VITONGOJI HALMASHAURI YA WILAYA YA MTAMA. September 16, 2024
  • MATOKEO YA USAILI KWA KADA ZOTE September 09, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA WATENDAJI MTAMA DC September 09, 2023
  • Angalia yote

Habari mpya

  • KAMATI YA LISHE YAFANYA KIKAO CHA TATHMINIYA UTEKELEZAJI WA AFUA ZA LISHE KWA ROBO YA TATU HALMASHAURI YA MTAMA

    June 04, 2025
  • MIRADI 7 YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 2.7 YAPITIWA NA MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA MTAMA

    May 27, 2025
  • KAMATI YA SIASA MKOA WA LINDI YATEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI HALMASHAURI YA MTAMA

    May 09, 2025
  • DC MWANZIVA AMEITAKA KAMATI YA AFYA HALMASHAURI YA MTAMA KUONGEZA UHAMASISHAJI KWA WANAUME KUHUSU UMUHIMU WA LISHE

    April 29, 2025
  • Angalia yote

Video

Risala ya utii kwa Mhe. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Youtube
  • Mfumo wa Elimu Msingi na Sekondari
  • FOMU YA MAOMBI YA LESENI YA BIASHARA
  • Watumishi Portal

Tovuti Mashuhuri

  • Presidential office and Regional Secretariety
  • Electronic Goverment Agent
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Ofisi ya Raisi-UTUMISHI
  • Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya mahali

Wasiliana nasi

    Box 328 Lindi

    Sanduku la Barua: 328 Lindi Dc

    Simu ya mezani: 0222061

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@lindidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya ndani
    • Katazo
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Mtama District Council All rights reserved.