• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mtama

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Maendeleo ya jamii, Jinsia na Watoto
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Ardhi na Mali Asili
      • Afya
      • Utawala na Utumishi
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Nyuki
      • Ununuzi na ugavi
  • Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • PICHA
    • MATUKIO
    • HOTUBA
    • HABARI
  • Mifumo
    • ffars
    • National Sanitation Compaign
      • E-learning
    • Sensa Elimu Msingi
    • Wajasiliamali
    • Government mail System
    • Madeni-Demo

TARURA LINDI DC YAANZA UTEKELEZAJI WA UJENZI WA BARABARA ZITAKAZOGHARIMU BIL. 1.5

Posted on: January 28th, 2022


Taarifa hiyo imetolewa Januari 28, 2022 na Kaimu Meneja wa TARURA Wilaya ya Lindi Eng. Aswile Mwasaga kwenye Mkutano wa Baraza la Madiwani  Kufuatia maswali ya baadhi ya Madiwani walipotaka kufahamu hatua waliyofikia juu ya ukarabati na ufunguaji wa barabara katika maeneo yao kupitia fedha Bil. 1.5 iliyotengwa na Serikali.

Eng. Mwasaga amesema kuwa fedha hizo zimetolewa kwa ajili ya kufanya marekebisho kwenye barabara ya Madangwa-Sudi, kufungua, kuchonga, kuweka kifusi na makaravati katika barabara ya Mnolela - Mbuta, lakini pia fedha hizo zitatumika kuweka boksi karavati katika daraja la Mtumbya. Pia, Serikali imetoa Mil 500 kwa ajili ya ujenzi wa barabara ya NAHUKAHUKA-Chiuta-Nambahu, Hingawali-Navanga pamoja na Navanga -Nachunyu.

Ameongezea kuwa utekelezaji wa mikataba ya fedha hizo umeanza mwezi Disemba na kwamba baadhi ya wakandarasi ikiwa ni pamoja na Mkandarasi wa barabara ya Mtumbya tayari ameanza kazi ya kuweka karavati na wakati huo huo Madangwa - Sudi zoezi la uchongaji kwa sehemu korofi unaendelea, aidha kwa upande wa barabara ya Mnolela - Mbuta tayari Mkandarasi amepeleka vifaa kwa ajiri ya ujenzi wa barabara hiyo.

Kwa hatua nyingine kupitia Baraza hilo, Kaimu Afisa Kilimo Ndg. Selemani Kambi alitolea ufafanuzi juu ya swali la  Diwani wa Kata ya Nachunyu Mhe. Chipatu Omary alipohoji kuhusu mikakati ya Halmashauri kupitia Idara ya kilimo kutatua tatizo la panya lililopo katika kata ya Namangale. Ndg. Kambi alisema  kuwa Idara ya Kilimo tayari imeandika barua kwa Katibu Tawala Mkoa wa Lindi ili kuomba sumu itakayosaidia kuua panya wanaoharibu mazao bila kuleta madhara yoyote kwa binadamu.  Lakini pia Kambi alitumia fursa hiyo  kuwashauriwa wakulima kutumia mbegu za muda mfupi zinazostahimili ukame kutokana na uwepo  hali ya uchache wa mvua katika maeneo mengi.

Kwa upande wake Katibu Tawala Wilaya ya Lindi Ndg. Thomas Safari ametoa msisitizo kwa uongozi wa Halmashauri  kuwatumia Maafisa Tarafa waliopo  ili kupunguza tatizo la uhaba wa watumishi kwani miongoni mwao kuna wanasheria, walimu nakadharika.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA KUITWA KWQENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA MIPAKA YA KATA, VIJIJI NA VITONGOJI HALMASHAURI YA WILAYA YA MTAMA. September 16, 2024
  • MATOKEO YA USAILI KWA KADA ZOTE September 09, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA WATENDAJI MTAMA DC September 09, 2023
  • Angalia yote

Habari mpya

  • KAMATI YA LISHE YAFANYA KIKAO CHA TATHMINIYA UTEKELEZAJI WA AFUA ZA LISHE KWA ROBO YA TATU HALMASHAURI YA MTAMA

    June 04, 2025
  • MIRADI 7 YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 2.7 YAPITIWA NA MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA MTAMA

    May 27, 2025
  • KAMATI YA SIASA MKOA WA LINDI YATEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI HALMASHAURI YA MTAMA

    May 09, 2025
  • DC MWANZIVA AMEITAKA KAMATI YA AFYA HALMASHAURI YA MTAMA KUONGEZA UHAMASISHAJI KWA WANAUME KUHUSU UMUHIMU WA LISHE

    April 29, 2025
  • Angalia yote

Video

Risala ya utii kwa Mhe. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Youtube
  • Mfumo wa Elimu Msingi na Sekondari
  • FOMU YA MAOMBI YA LESENI YA BIASHARA
  • Watumishi Portal

Tovuti Mashuhuri

  • Presidential office and Regional Secretariety
  • Electronic Goverment Agent
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Ofisi ya Raisi-UTUMISHI
  • Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya mahali

Wasiliana nasi

    Box 328 Lindi

    Sanduku la Barua: 328 Lindi Dc

    Simu ya mezani: 0222061

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@lindidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya ndani
    • Katazo
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Mtama District Council All rights reserved.