• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mtama

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Maendeleo ya jamii, Jinsia na Watoto
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Ardhi na Mali Asili
      • Afya
      • Utawala na Utumishi
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Nyuki
      • Ununuzi na ugavi
  • Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • PICHA
    • MATUKIO
    • HOTUBA
    • HABARI
  • Mifumo
    • ffars
    • National Sanitation Compaign
      • E-learning
    • Sensa Elimu Msingi
    • Wajasiliamali
    • Government mail System
    • Madeni-Demo

TAKUKURU LINDI YAKABIDHI MWONGOZO WA USHIRIKISHWA JI WA VIJANA WA SKAUTI KUHUSU MAPAMBANO DHIDI YA RUSHWA -MTAMA

Posted on: December 7th, 2021


Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa ( TAKUKURU) Mkoa wa Lindi Disemba 07, 2021 imekabidhi Mwongozo wa Wawezeshaji wa Kufundisha vijana wa Skauti kuhusu kuzuia na kupambana na Rushwa kwa ngazi ya Wilaya- Mtama.  Mwongozo huo amekabidhiwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mtama Ndg. Georege Emmanuel Mbilinyi Ofisini kwake kutoka kwa Mkuu wa TAKUKURU Mkoa wa Lindi  Abnery Mganga na Kamishina wa Skauti Bi. Fidea Nnunduma.

Mwongozo huo unakusudia kuwaongoza wawezeshaji ili wawafundishe vijana wa Skauti kuwa waadilifu, wawajibikajina wazalendo kuanzia ngazi yao binafsi, familia, shuleni, jamii na Taifa kwa ujumla. Aidha kupitia mafunzo mbalimbali watakayopatiwa yatasaidia kubadilisha nadharia za mada za mapambano dhidi ya Rushwa watakazojifunza zitawawezesha kuziweka katika vitendo ikiwa ni pamoja na kutojihusisha na vitendo vya Rushwa, kutoa taarifa za vitendo vya Rushwa lakini pia kuhoji vitendo vinavyoashiria Rushwa kwa ngazi zote.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mtama Ndg. Mbilinyi amewapongeza TAKUKURU kwa kuwa na mkakati wa ushirikishwaji wa kuzuia Rushwa kuanzia ngazi za chini huku akiongezea kuwa kwa kufanya hivyo itasaidia kupunguza tatizo la Rushwa nakuahidi kutoa ushirikiano katika utekelezaji wa Mkakati huo.

Huu ni Mkakati wa TAKUKURU na Skauti ambao pia ni utekelezaji wa Mkakati wa Taifa Dhidi ya Rushwa na Mpango wa Utekelezaji Awamu ya Tatu ( National Anti-Corruption Strategy and Action Plan Phase III – NACSAP III) wa mwaka 2017/18-2021/22 unaosisitiza ushirikishwaji katika mapambano dhidi ya Rushwa.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA KUITWA KWQENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA MIPAKA YA KATA, VIJIJI NA VITONGOJI HALMASHAURI YA WILAYA YA MTAMA. September 16, 2024
  • MATOKEO YA USAILI KWA KADA ZOTE September 09, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA WATENDAJI MTAMA DC September 09, 2023
  • Angalia yote

Habari mpya

  • KAMATI YA SIASA MKOA WA LINDI YATEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI HALMASHAURI YA MTAMA

    May 09, 2025
  • DC MWANZIVA AMEITAKA KAMATI YA AFYA HALMASHAURI YA MTAMA KUONGEZA UHAMASISHAJI KWA WANAUME KUHUSU UMUHIMU WA LISHE

    April 29, 2025
  • DC MWANZIVA ASISITIZA KUDUMISHA MUUNGANO LINDI

    April 26, 2025
  • KAMATI YA AFYA YA MSINGI YATOA ELIMU KUHUSU NYONGEZA YA DOZI YA CHANJO YA POLIO HALMASHAURI YA MTAMA

    April 24, 2025
  • Angalia yote

Video

Risala ya utii kwa Mhe. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Youtube
  • Mfumo wa Elimu Msingi na Sekondari
  • FOMU YA MAOMBI YA LESENI YA BIASHARA
  • Watumishi Portal

Tovuti Mashuhuri

  • Presidential office and Regional Secretariety
  • Electronic Goverment Agent
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Ofisi ya Raisi-UTUMISHI
  • Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya mahali

Wasiliana nasi

    Box 328 Lindi

    Sanduku la Barua: 328 Lindi Dc

    Simu ya mezani: 0222061

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@lindidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya ndani
    • Katazo
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Mtama District Council All rights reserved.