• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mtama

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Maendeleo ya jamii, Jinsia na Watoto
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Ardhi na Mali Asili
      • Afya
      • Utawala na Utumishi
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Nyuki
      • Ununuzi na ugavi
  • Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • PICHA
    • MATUKIO
    • HOTUBA
    • HABARI
  • Mifumo
    • ffars
    • National Sanitation Compaign
      • E-learning
    • Sensa Elimu Msingi
    • Wajasiliamali
    • Government mail System
    • Madeni-Demo

SALAMU ZA MWAKA MPYA 2022

Posted on: January 1st, 2022

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mtama Ndg. George Emmanuel Mbilinyi Disemba 31, 2021 ametoa salamu za mwaka mpya 2022 kwa watumishi wa Halmashauri, wananchi wa Mtama pamoja na Watanzania wote kwa ujumla

Katika salamu zake Mbilinyi ameishukuru Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan kwa kupeleka fedha katika Halmashauri hiyo Tsh. Bil 19.4 kwa ajili ya utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo kwenye sekta ya Elimu, Maji, afya na barabara.

Amesema kwenye sekta ya afya Mhe. Samia amepeleka shilingi million 500 kwa ajili ya ujenzi wa wodi tatu ambazo ni wodi ya wanawake, wanaume na watoto, million 800 ujenzi wa miundombinu mingine katika hospitali ya Wilaya iliyoko Kata ya Kiwalala 250 kwa ajili ya ujenzi wa kituo cha afya cha Mtama na kwamba ujenzi unaendelea ukiwa kwenye hatua mbalimbali.

Katika hatua nyingine Mhe Rais amepeleka billion 1.8 ujenzi wa madarasa kwa shule za msingi na sekondari lakini pia umaliziaji wa madarasa yaliyojengwa kwa nguvu za wananchi. Vilevile Serikali imetenga billion 13.7 kukamilisha miundombinu ya maji huku billion 1.4 kwa ajili ya ukarabati na kufungua barabara ambazo zikisahaulika ndani ya Halmashauri.

Aidha Mbilinyi ametoa wito kwa wananchi kushiriki kikamilifu kwenye zoezi la Sensa ya Watu na Makazi itakayofanyika mwaka 2022 ili kuirahisishia Serikali kutoa huduma kwa wananchi wake. Sambamba na hilo amewahimiza wazazi kuwaandikisha watoto wao shuleni kwani madarasa yapo yakutosha.

"Nawatakia heri ya mwaka mpya watumishi wa halmashauri, wananchi wa MTAMA na watanzania kwa ujumla. 2022 kazi iendelee" George Mbilinyi Mkurugenzi Halmashauri ya Mtama.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA KUITWA KWQENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA MIPAKA YA KATA, VIJIJI NA VITONGOJI HALMASHAURI YA WILAYA YA MTAMA. September 16, 2024
  • MATOKEO YA USAILI KWA KADA ZOTE September 09, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA WATENDAJI MTAMA DC September 09, 2023
  • Angalia yote

Habari mpya

  • KAMATI YA LISHE YAFANYA KIKAO CHA TATHMINIYA UTEKELEZAJI WA AFUA ZA LISHE KWA ROBO YA TATU HALMASHAURI YA MTAMA

    June 04, 2025
  • MIRADI 7 YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 2.7 YAPITIWA NA MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA MTAMA

    May 27, 2025
  • KAMATI YA SIASA MKOA WA LINDI YATEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI HALMASHAURI YA MTAMA

    May 09, 2025
  • DC MWANZIVA AMEITAKA KAMATI YA AFYA HALMASHAURI YA MTAMA KUONGEZA UHAMASISHAJI KWA WANAUME KUHUSU UMUHIMU WA LISHE

    April 29, 2025
  • Angalia yote

Video

Risala ya utii kwa Mhe. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Youtube
  • Mfumo wa Elimu Msingi na Sekondari
  • FOMU YA MAOMBI YA LESENI YA BIASHARA
  • Watumishi Portal

Tovuti Mashuhuri

  • Presidential office and Regional Secretariety
  • Electronic Goverment Agent
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Ofisi ya Raisi-UTUMISHI
  • Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya mahali

Wasiliana nasi

    Box 328 Lindi

    Sanduku la Barua: 328 Lindi Dc

    Simu ya mezani: 0222061

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@lindidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya ndani
    • Katazo
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Mtama District Council All rights reserved.