• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mtama

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Maendeleo ya jamii, Jinsia na Watoto
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Ardhi na Mali Asili
      • Afya
      • Utawala na Utumishi
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Nyuki
      • Ununuzi na ugavi
  • Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • PICHA
    • MATUKIO
    • HOTUBA
    • HABARI
  • Mifumo
    • ffars
    • National Sanitation Compaign
      • E-learning
    • Sensa Elimu Msingi
    • Wajasiliamali
    • Government mail System
    • Madeni-Demo

RC LINDI AONGOZA KILELE CHA MAADHIMISHO YA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI.

Posted on: March 8th, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Lindi Mheshimiwa Zainabu Telack leo tarehe 8 Machi 2024 ameongoza kilele cha sherehe ya maadhimisho ya siku ya wanawake duniani, maadhimisho  hayo kimkoa wa Lindi yamefanyika katika uwanja wa Ilulu uliopo manispaa ya Lindi.

Katibu tawala wa mkoa wa Lindi Mheshimiwa Zuwena Omary alisema anawashukuru wanawake wote kutoka Halmashauri mbalimbali ndani ya Mkoa kwa kufanya mambo mbalimbali kama vile kufanya usafi kwenye vituo vya kutolea huduma za afya, kuchangia damu na kurudisha shukran kwa jamii aliongeza kuwa mambo yaliyofanywa na taasisi mbalimbali kuelekea kilele ya siku hiyo yameongeza ufahamu kwa jamii kuhusu siku ya wanawake duniani.

Mheshiwa Telack alisema kuwa katika maadhimisho hayo jamii inatakiwa kuelewa umuhimu wa elimu kwa wanawake, wanawake watimize jukumu lao la msingi la kutunza familia aliongeza kuwa Tanzania kupitia Mheshiwa Rais Daktari Samia Suluhu Hassan imeondoa dhana ya kwamba wanawake hawawezi kuongoza hivyo akuwaomba wanawake kujitokeza kugombea nafasi mbalimbali katika uchaguzi ujao wa Serikali za mitaa.

Kwaniaba ya Wanaume Mstahiki meya wa Lindi alisema kuwa bila wanaume hakuna wanawake hivyo wanawake wanapaswa kushirikiana vyema na wanaume katika kufikia malengo ya familia na taifa.

Mkuu wa Mkoa wa Lindi aliwashukuru viongozi wa Serikali, Chama Cha Mapinduzi, Dini na Taasisi mbalimbali pamoja na wote walioshiriki katika maadhimisho ya siku ya wanawake duniani kwa mkoa wa Lindi. Mwisho kwa Halmashauri ya Mtama Sherehe hizo zitaendelea leo Usiku katika ukumbi wa Halmashauri ambapo Mkurugenzi Mtendaji Ndugu George E. Mbilinyi ameahidi kuunga mkono sherehe hizo.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA KUITWA KWQENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA MIPAKA YA KATA, VIJIJI NA VITONGOJI HALMASHAURI YA WILAYA YA MTAMA. September 16, 2024
  • MATOKEO YA USAILI KWA KADA ZOTE September 09, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA WATENDAJI MTAMA DC September 09, 2023
  • Angalia yote

Habari mpya

  • KAMATI YA LISHE YAFANYA KIKAO CHA TATHMINIYA UTEKELEZAJI WA AFUA ZA LISHE KWA ROBO YA TATU HALMASHAURI YA MTAMA

    June 04, 2025
  • MIRADI 7 YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 2.7 YAPITIWA NA MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA MTAMA

    May 27, 2025
  • KAMATI YA SIASA MKOA WA LINDI YATEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI HALMASHAURI YA MTAMA

    May 09, 2025
  • DC MWANZIVA AMEITAKA KAMATI YA AFYA HALMASHAURI YA MTAMA KUONGEZA UHAMASISHAJI KWA WANAUME KUHUSU UMUHIMU WA LISHE

    April 29, 2025
  • Angalia yote

Video

Risala ya utii kwa Mhe. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Youtube
  • Mfumo wa Elimu Msingi na Sekondari
  • FOMU YA MAOMBI YA LESENI YA BIASHARA
  • Watumishi Portal

Tovuti Mashuhuri

  • Presidential office and Regional Secretariety
  • Electronic Goverment Agent
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Ofisi ya Raisi-UTUMISHI
  • Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya mahali

Wasiliana nasi

    Box 328 Lindi

    Sanduku la Barua: 328 Lindi Dc

    Simu ya mezani: 0222061

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@lindidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya ndani
    • Katazo
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Mtama District Council All rights reserved.