• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mtama

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Maendeleo ya jamii, Jinsia na Watoto
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Ardhi na Mali Asili
      • Afya
      • Utawala na Utumishi
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Nyuki
      • Ununuzi na ugavi
  • Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • PICHA
    • MATUKIO
    • HOTUBA
    • HABARI
  • Mifumo
    • ffars
    • National Sanitation Compaign
      • E-learning
    • Sensa Elimu Msingi
    • Wajasiliamali
    • Government mail System
    • Madeni-Demo

RAS LINDI AAGIZA KUONGEZA KASI KWENYE UJENZI WA MADARASA YA UVIKO 19 MTAMA DC

Posted on: December 1st, 2021

Katibu Tawala Mkoa wa Lindi Mama Rehema Madenge ametoa agizo kwa mafundi, kamati pamoja na wasimamizi wa ujenzi wa madarasa ya UVIKO 19 kuhakikisha wanaongeza kasi na kutumia jitihada za ziada ili kuendana na lengo la Serikali la kukamilisha madarasa hayo ifikapo Desemba 15, 2021. Agizo hilo amelitoa Novemba 30, 2021 akiwa katika ziara yake ya kikazi Halmashauri ya Wilaya ya Mtama kukagua maendeleo ya ujenzi wa miradi hiyo katika shule mbalimbali.

Bi. Rehema amewataka Wakuu wa shule zenye miradi hiyo kuweka miundombinu ya umeme au taa katika eneo la kazi zitakazowasaidia mafundi kufanya kazi usiku na mchana. Aidha amewahimiza mafundi kuongeza nguvu kazi kwa lengo la kukamilisha kwa wakati majengo hayo.

Katika hatua nyingine akiwa kwenye shule ya sekondari Mtua, Katibu Tawala aliwapongeza mafundi, kamati pamoja na wasimamizi kwa kufikia hatua ya boma huku akiwataka kutoridhika na pongezi hizo na badala yake wanatakiwa kuongeza bidii ya kuhakikisha wanafikia hatua ya rinta hadi kufikia Ijumaa ya tarehe 3 Decemba 2021.

Hatua ya mwanzo ya boma na mafundi wakiendelea na kazi shule ya sekondari Mtua

Kwa upande wake Afisa Elimu Mkoa wa Lindi Ndg. Vicent Kayombo aliongezea kuwa ili kufikia lengo la Serikali ni lazima kazi ifanyike kwa ushirikiano wa hali ya juu na kwamba wasimamizi wote wanatakiwa kuwa kwenye vituo vyao vya kazi walivyopangiwa

Mama Rehema Mdenge ameagiza hadi kufikia Desemba 3,2021 majengo yote yanayojengwa ndani ya Halmashauri ya Mtama yawe katika hatua ya rinta huku akiongezea kuwa madarasa hayo yawe kwenye ubora unaoendana na thamani ya fedha lakini pia yanatakiwa  kukabidhiwa yakiwa na madawati.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA KUITWA KWQENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA MIPAKA YA KATA, VIJIJI NA VITONGOJI HALMASHAURI YA WILAYA YA MTAMA. September 16, 2024
  • MATOKEO YA USAILI KWA KADA ZOTE September 09, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA WATENDAJI MTAMA DC September 09, 2023
  • Angalia yote

Habari mpya

  • KAMATI YA LISHE YAFANYA KIKAO CHA TATHMINIYA UTEKELEZAJI WA AFUA ZA LISHE KWA ROBO YA TATU HALMASHAURI YA MTAMA

    June 04, 2025
  • MIRADI 7 YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 2.7 YAPITIWA NA MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA MTAMA

    May 27, 2025
  • KAMATI YA SIASA MKOA WA LINDI YATEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI HALMASHAURI YA MTAMA

    May 09, 2025
  • DC MWANZIVA AMEITAKA KAMATI YA AFYA HALMASHAURI YA MTAMA KUONGEZA UHAMASISHAJI KWA WANAUME KUHUSU UMUHIMU WA LISHE

    April 29, 2025
  • Angalia yote

Video

Risala ya utii kwa Mhe. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Youtube
  • Mfumo wa Elimu Msingi na Sekondari
  • FOMU YA MAOMBI YA LESENI YA BIASHARA
  • Watumishi Portal

Tovuti Mashuhuri

  • Presidential office and Regional Secretariety
  • Electronic Goverment Agent
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Ofisi ya Raisi-UTUMISHI
  • Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya mahali

Wasiliana nasi

    Box 328 Lindi

    Sanduku la Barua: 328 Lindi Dc

    Simu ya mezani: 0222061

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@lindidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya ndani
    • Katazo
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Mtama District Council All rights reserved.