• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mtama

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Maendeleo ya jamii, Jinsia na Watoto
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Ardhi na Mali Asili
      • Afya
      • Utawala na Utumishi
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Nyuki
      • Ununuzi na ugavi
  • Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • PICHA
    • MATUKIO
    • HOTUBA
    • HABARI
  • Mifumo
    • ffars
    • National Sanitation Compaign
      • E-learning
    • Sensa Elimu Msingi
    • Wajasiliamali
    • Government mail System
    • Madeni-Demo

NDUGU SAMWEL GUNZAR AKABIDHI OFISI MTAMA DC

Posted on: August 14th, 2021

Aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mtama Ndg Samwel Warioba Gunzar leo tarehe 14 Agosti 2021  amekabidhi rasmi madaraka  kwa Mkurugenzi mteule Ndg George Mbilinyi kufuatia uteuzi wa Wakurugenzi wa Halmaahauri uliofanywa na Mh. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluh Hassani tarehe 01 Agosti 2021, ambapo Ndg Samwel Gunzar amebadilishiwa kituo cha kazi na kupelekwa katika Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara huku Ndg George Mbilinyi akiteuliwa kwa mara ya kwanza katika Halmashauri ya Wilaya ya Mtama mkoani Lindi.

Hafla ya tukio la makabidhiano hayo imefanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Halmashauri na kuhudhuriwa na Mwenyekiti wa Halmashauri Mh. Yusuph Abdallah Tipu, Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi wa Wilaya ya lindi Mh. Othman Ongonyoko, Mkurugenzi wa Halmashauri Ndg George Mbilinyi na wakuu wa idara na vitengo mbalimbali.

Ndg. Samwel Gunzar alitumia fursa hiyo kutoa neno la shukurani kwa watumishi wa Mtama kwa ushirikiano waliompa katika kipindi chake chota cha uongozi na kuwaomba waendelee kuwa na moyo huo hata kwa kiongozi aliyeteuliwa sasa. Aidha amesisitiza kuwa na usimamizi nzuri wa mapato na matumizi ili kuhakikisha miradi mbalimbali ya kimaendeleo inakamilika kwa wakati. Sambamba na hilo amemtakia kila la kheri Mkurugenzi mpya katika utekelezaji wa majukumu yake na kuahidi kumpa ushirikiano wa kiutendaji.

Akipokea taarifa ya makabidhiano Ndg George Mbilinyi alipata nafasi ya kumshukuru Mkurugenzi aliyeondoka kwa kuweza kutenga muda wake na kuja kukamilisha tukio hilo. Vilevile Mkurugenzi mpya ameongezea kuwa ili kufikia malengo ya kuifanya halmashauri kuwa bora ni lazima watumishi wawe tayari kujitoa na kufanya kazi kwa bidii.

"Katika taasisi yoyote ile hakuna kitu kizuri kama kufanya kazi as a team". Mwenyekiti wa Halmashauri  Mh. Yusuph Abdallah Tipu alipopata nafasi ya kuzungumza Katika tukio hilo wakati nae Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi wilaya Mh. Othman Ongonyoko alitumia nafasi hiyo kusisitiza juu ya suala la kufuata maadili ya kazi na ushirikiano wa kisiasa ili kufikia malengo. Kwa upande wa mwakilishi wa wakuu wa idara Afisa Elimu Msingi Mwl. Dastan Ntauka alipata nafasi ya kuzungumza kwa niaba yao na kusema kuwa  wako tayari kufanya kazi kwa umoja katika nyanja zote za utendaji.


Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA KUITWA KWQENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA MIPAKA YA KATA, VIJIJI NA VITONGOJI HALMASHAURI YA WILAYA YA MTAMA. September 16, 2024
  • MATOKEO YA USAILI KWA KADA ZOTE September 09, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA WATENDAJI MTAMA DC September 09, 2023
  • Angalia yote

Habari mpya

  • KAMATI YA SIASA MKOA WA LINDI YATEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI HALMASHAURI YA MTAMA

    May 09, 2025
  • DC MWANZIVA AMEITAKA KAMATI YA AFYA HALMASHAURI YA MTAMA KUONGEZA UHAMASISHAJI KWA WANAUME KUHUSU UMUHIMU WA LISHE

    April 29, 2025
  • DC MWANZIVA ASISITIZA KUDUMISHA MUUNGANO LINDI

    April 26, 2025
  • KAMATI YA AFYA YA MSINGI YATOA ELIMU KUHUSU NYONGEZA YA DOZI YA CHANJO YA POLIO HALMASHAURI YA MTAMA

    April 24, 2025
  • Angalia yote

Video

Risala ya utii kwa Mhe. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Youtube
  • Mfumo wa Elimu Msingi na Sekondari
  • FOMU YA MAOMBI YA LESENI YA BIASHARA
  • Watumishi Portal

Tovuti Mashuhuri

  • Presidential office and Regional Secretariety
  • Electronic Goverment Agent
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Ofisi ya Raisi-UTUMISHI
  • Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya mahali

Wasiliana nasi

    Box 328 Lindi

    Sanduku la Barua: 328 Lindi Dc

    Simu ya mezani: 0222061

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@lindidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya ndani
    • Katazo
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Mtama District Council All rights reserved.