• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mtama

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Maendeleo ya jamii, Jinsia na Watoto
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Ardhi na Mali Asili
      • Afya
      • Utawala na Utumishi
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Nyuki
      • Ununuzi na ugavi
  • Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • PICHA
    • MATUKIO
    • HOTUBA
    • HABARI
  • Mifumo
    • ffars
    • National Sanitation Compaign
      • E-learning
    • Sensa Elimu Msingi
    • Wajasiliamali
    • Government mail System
    • Madeni-Demo

NAIBU WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII AFANYA ZIARA YA KIKAZI TARAFA YA RONDO.

Posted on: July 16th, 2024

Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe: Dunstan Kitandula (Mb) amefanya ziara ya kikazi leo tarehe 16/07/2024  katika kata ya Chiponda na Mnala zilizopo Tarafa ya Rondo katika Halmashauri ya Wilaya ya Mtama ikiwa ni muendelezo wa Ziara yake ya kikazi katika Mkoa wa Lindi kwa lengo la kueleza mipango ya Serikali ili kukabiliana na changamoto ya  wanyama waharibifu kama tembo.


Katika Ziara hiyo Mhe: Kitandula alipokelewa na Mkuu wa Mkoa wa Lindi Mhe: Zainabu Tellack, Mkuu wa Wilya ya Lindi Mhe: Shaibu Ndemanga, Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Mtama Ndugu Anderson D Msumba, Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mtama Mhe: Yusuf Tipu, Mwenyekiti wa chama cha Mapinduzi  Wilaya ya Lindi Mhe: Athumani S Hongonyoko, Madiwani wa kata zote mbili pamoja na Mwenyekiti wa kijiji cha Chiodya.


Akiongea na Wananchi waliojitokeza katika mkutano huo Mhe: Kitandula alisema kuwa kwa mara ya kwanza Serikali imetenga fedha nyingi katika mwaka huu wa fedha ikiwa ni pamoja na kununua Helkopta 2 na matumizi ya ndege nyuki (Drones) ili kupata urahisi wa kukabiliana na wanyama waharibifu lakini pia kuboresha mabomu baridi kwa kuyaongezea kishindo na mwanga ili kufukuza tembo kwa umbali mrefu.

Mhe: Kitandula aliongeza kuwa Serikali imepanga kutoa mabomu baridi 500 katika jimbo la Mtama na kuongeza Askari wengi Zaidi kwa kuwapatia mafunzo na vifaa lakini pia kuwapa mafunzo wananchi walio karibu na hifadhi  ili waweze kujilinda na wanyama hao waharibifu.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA KUITWA KWQENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA MIPAKA YA KATA, VIJIJI NA VITONGOJI HALMASHAURI YA WILAYA YA MTAMA. September 16, 2024
  • MATOKEO YA USAILI KWA KADA ZOTE September 09, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA WATENDAJI MTAMA DC September 09, 2023
  • Angalia yote

Habari mpya

  • KAMATI YA LISHE YAFANYA KIKAO CHA TATHMINIYA UTEKELEZAJI WA AFUA ZA LISHE KWA ROBO YA TATU HALMASHAURI YA MTAMA

    June 04, 2025
  • MIRADI 7 YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 2.7 YAPITIWA NA MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA MTAMA

    May 27, 2025
  • KAMATI YA SIASA MKOA WA LINDI YATEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI HALMASHAURI YA MTAMA

    May 09, 2025
  • DC MWANZIVA AMEITAKA KAMATI YA AFYA HALMASHAURI YA MTAMA KUONGEZA UHAMASISHAJI KWA WANAUME KUHUSU UMUHIMU WA LISHE

    April 29, 2025
  • Angalia yote

Video

Risala ya utii kwa Mhe. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Youtube
  • Mfumo wa Elimu Msingi na Sekondari
  • FOMU YA MAOMBI YA LESENI YA BIASHARA
  • Watumishi Portal

Tovuti Mashuhuri

  • Presidential office and Regional Secretariety
  • Electronic Goverment Agent
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Ofisi ya Raisi-UTUMISHI
  • Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya mahali

Wasiliana nasi

    Box 328 Lindi

    Sanduku la Barua: 328 Lindi Dc

    Simu ya mezani: 0222061

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@lindidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya ndani
    • Katazo
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Mtama District Council All rights reserved.