• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mtama

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Maendeleo ya jamii, Jinsia na Watoto
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Ardhi na Mali Asili
      • Afya
      • Utawala na Utumishi
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Nyuki
      • Ununuzi na ugavi
  • Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • PICHA
    • MATUKIO
    • HOTUBA
    • HABARI
  • Mifumo
    • ffars
    • National Sanitation Compaign
      • E-learning
    • Sensa Elimu Msingi
    • Wajasiliamali
    • Government mail System
    • Madeni-Demo

NAIBU WAZIRI TAMISEMI ARIDHISHWA NA MAENDELEO YA UJENZI WA KITUO CHA AFYA MTAMA

Posted on: November 26th, 2021

Naibu Waziri Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa TAMISEMI Dkt. Festo John Dugange ameridhishwa na hatua iliyofikiwa ya upauaji wa majengo mawili katika ujenzi wa kituo cha afya cha Mtama huku akitoa pongezi kwa maendeleo mazuri ya ujenzi huo. Pengezi hizo amezitoa Leo Novemba 26, 2021 akiwa kwenye ziara yake ya kikazi na kuweza kutembelea na kukagua maendeleo ya mradi huo katika Halmashauri ya Wilaya ya Mtama.

Akitoa maelezo kuhusu ujenzi huo, Mganga Mkuu wa Wilaya Dkt. Dismas Masulubu amesema kuwa Halmaahauri ilipokea Tshs. 250,000,0000/= ambapo jumla ya Tshs. 112,000,000/= zimetumika hadi kufikia hatua ya upauaji kwa jengo la OPD pamoja na maabara na kuongezea kuwa kazi inaendelea na kwamba wakati mafundi wanasubiria bati kwa hatua ya uwezekaji jengo la maabara tayari miundombinu ya umeme na madirisha imewekwa.

Licha ya pongezi hizo, Naibu Waziri amewataka viongozi kusimamia kikamilifu kwenye hatua ya kumalizia ( finishing) ili thamani ya fedha iendane na ubora wa jengo husika huku akisisitiza kuwa kumalizika haraka ndio nafasi ya kuongezewa kwa fedha nyingine za muendelezo wa ujenzi wa majengo mengine.

Aidha Dkt. Dugange ametoa ushauri wa kuongeza eneo la akiba  litakalotumika kwa matumizi mengine ya kituo miaka kenda ijayo.

Katika hatua nyingine, Naibu Waziri alipata nafasi ya kutembelea Mradi wa ujenzi wa ofisi za Halmashauri ambapo aliridhishwa na uteuzi wa eneo lililotengwa kwa ajili ya Mradi huo kuwa mbali na makazi ya wananchi na kwamba hiyo ni hatua moja wapo ya kuufanya mji kukua kwa kasi.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA KUITWA KWQENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA MIPAKA YA KATA, VIJIJI NA VITONGOJI HALMASHAURI YA WILAYA YA MTAMA. September 16, 2024
  • MATOKEO YA USAILI KWA KADA ZOTE September 09, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA WATENDAJI MTAMA DC September 09, 2023
  • Angalia yote

Habari mpya

  • KAMATI YA SIASA MKOA WA LINDI YATEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI HALMASHAURI YA MTAMA

    May 09, 2025
  • DC MWANZIVA AMEITAKA KAMATI YA AFYA HALMASHAURI YA MTAMA KUONGEZA UHAMASISHAJI KWA WANAUME KUHUSU UMUHIMU WA LISHE

    April 29, 2025
  • DC MWANZIVA ASISITIZA KUDUMISHA MUUNGANO LINDI

    April 26, 2025
  • KAMATI YA AFYA YA MSINGI YATOA ELIMU KUHUSU NYONGEZA YA DOZI YA CHANJO YA POLIO HALMASHAURI YA MTAMA

    April 24, 2025
  • Angalia yote

Video

Risala ya utii kwa Mhe. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Youtube
  • Mfumo wa Elimu Msingi na Sekondari
  • FOMU YA MAOMBI YA LESENI YA BIASHARA
  • Watumishi Portal

Tovuti Mashuhuri

  • Presidential office and Regional Secretariety
  • Electronic Goverment Agent
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Ofisi ya Raisi-UTUMISHI
  • Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya mahali

Wasiliana nasi

    Box 328 Lindi

    Sanduku la Barua: 328 Lindi Dc

    Simu ya mezani: 0222061

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@lindidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya ndani
    • Katazo
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Mtama District Council All rights reserved.