• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mtama

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Maendeleo ya jamii, Jinsia na Watoto
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Ardhi na Mali Asili
      • Afya
      • Utawala na Utumishi
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Nyuki
      • Ununuzi na ugavi
  • Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • PICHA
    • MATUKIO
    • HOTUBA
    • HABARI
  • Mifumo
    • ffars
    • National Sanitation Compaign
      • E-learning
    • Sensa Elimu Msingi
    • Wajasiliamali
    • Government mail System
    • Madeni-Demo

MTAMA YAFANYA USAFI NA KUPANDA MITI KUELEKEA MAADHIMISHO YA MIAKA 60 YA MUUNGANO.

Posted on: April 24th, 2024

Keelekea maadhimisho ya miaka 60 ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania yatakayofanyika tarehe 26 Aprili 2024, Wafanya kazi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mtama, Viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na wananchi wa Mtama  wameshiriki katika zoezi la kufanya uasfi wa mazingira na kupanda miti 1000 (miti ya matunda na miti ya mbao) kuzunguka eneo la kituo cha Afya Mtama. Zoezi hilo limefanyika leo tarehe 24 Aprili 2024.

Akiongea na wananchi waliojitokeza katika zoezi hilo Mganga mkuu wa Halmashauri Ndugu Dismas Masulubu aliishukuru Serikali kwakutoa milioni 500 kwa ujenzi kituo hiko na Shilingi milioni 450 kwa ajili ya vifaa tiba, Aidha Ndugu Selemani Livemba Katibu Mwenezi wa CCM Wilaya ya Lindi aliwashukuru wananchi kwa kujitolea kwa moyo na kufanikisha ujenzi wa kituo hiko.

Aidha Mgeni Rasmi wa tukio hilo Mzee Hongonyoko Mwenyekiti CCM Wilaya ya Lindi alimshukuru Rais Daktari Samia Suluhu Hassani kwa kujenga kituo bora cha Afya na alitumia fursa kupeleka changamoto za wananchi kama vile Ujenzi wa soko, miundombinu ya maji na barabara za Mitaa kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri.

Mzee Hongonyoko aliongeza kuwa Muungano ni urithi na umoja wetu hivyo wananchi wanapaswa kuwa wazalendo na kuutunza Muungano huo.  Mkurugenzi Mtendaji aliwashukuru wote walioshiriki hasa wananchi kwa kujitokeza kwa wingi kufanikisha zoezi hilo. Mwisho watu wote walisema kaulimbiu ya maadhimisho hayo "TUMESHIKAMANA NA TUMEIMARIKA KWA MAENDELEO YA TAIFA LETU"

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA KUITWA KWQENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA MIPAKA YA KATA, VIJIJI NA VITONGOJI HALMASHAURI YA WILAYA YA MTAMA. September 16, 2024
  • MATOKEO YA USAILI KWA KADA ZOTE September 09, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA WATENDAJI MTAMA DC September 09, 2023
  • Angalia yote

Habari mpya

  • KAMATI YA SIASA MKOA WA LINDI YATEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI HALMASHAURI YA MTAMA

    May 09, 2025
  • DC MWANZIVA AMEITAKA KAMATI YA AFYA HALMASHAURI YA MTAMA KUONGEZA UHAMASISHAJI KWA WANAUME KUHUSU UMUHIMU WA LISHE

    April 29, 2025
  • DC MWANZIVA ASISITIZA KUDUMISHA MUUNGANO LINDI

    April 26, 2025
  • KAMATI YA AFYA YA MSINGI YATOA ELIMU KUHUSU NYONGEZA YA DOZI YA CHANJO YA POLIO HALMASHAURI YA MTAMA

    April 24, 2025
  • Angalia yote

Video

Risala ya utii kwa Mhe. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Youtube
  • Mfumo wa Elimu Msingi na Sekondari
  • FOMU YA MAOMBI YA LESENI YA BIASHARA
  • Watumishi Portal

Tovuti Mashuhuri

  • Presidential office and Regional Secretariety
  • Electronic Goverment Agent
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Ofisi ya Raisi-UTUMISHI
  • Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya mahali

Wasiliana nasi

    Box 328 Lindi

    Sanduku la Barua: 328 Lindi Dc

    Simu ya mezani: 0222061

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@lindidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya ndani
    • Katazo
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Mtama District Council All rights reserved.