• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mtama

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Maendeleo ya jamii, Jinsia na Watoto
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Ardhi na Mali Asili
      • Afya
      • Utawala na Utumishi
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Nyuki
      • Ununuzi na ugavi
  • Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • PICHA
    • MATUKIO
    • HOTUBA
    • HABARI
  • Mifumo
    • ffars
    • National Sanitation Compaign
      • E-learning
    • Sensa Elimu Msingi
    • Wajasiliamali
    • Government mail System
    • Madeni-Demo

MTAMA DC YAFIKIA ZAIDI YA 80% UGAWAJI DAWA KWA JAMII

Posted on: September 10th, 2021

Idara ya Afya Halmashauri ya Wilaya ya Mtama kupitia Mpango wa Kudhibiti Magonjwa Yaliyokuwa Hayapewi Kipaumbele (NTD) imeendeleza zoezi la ugawaji dawa (kingatiba)  kwa mwaka 2021 ili kuhakikisha jamii inaondokana na athari zitokanazo na magonjwa hayo ikiwa ni magonjwa ya Matende, Mabusha na Minyoo ya tumbo .

Kwa awamu hii zoezi la ugawaji dawa lilianza rasmi tarehe 24 Agosti 2021 kupitia watumishi  wa afya kwa kushirikiana na Viongozi mbalimbali wa ngazi ya vitongoji, vijiji, kata na Wilaya. Pia watumishi wa afya ngazi ya hospitali, vituo vya afya na zahanati wa Majimbo ya Mtama na Mchinga walitumia utaratibu  wa kupita nyumba kwa nyumba ili kuhakikisha wanajamii wote wanafikiwa na huduma hiyo. Zoezi hilo lilikamilika tarehe 27 Agosti 2021 na kufanikiwa kufikia zaidi ya asilimia 80% ya Walengwa waliokusudiwa.

Awali ya hapo, Idara ya afya iliratibu Mafunzo kwa watumishi  wa afya 112 kutoka kwenye vituo 56  pamoja na Wagawa dawa 1600 ngazi ya vitongoji  ili kuwajengea ujuzi zaidi wa namna ya utoaji wa dawa hizo kwa Walengwa pamoja na matumizi sahihi ya fimbo za kupimia urefu, rejesta na vitendea kazi vya zoezi hilo. Mafunzo hayo yalitolewa katika vituo vitano tofauti ambapo Msimamizi wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ndg. Nicholas Venance alishiriki na kusifu uratibu mzuri wa zoezi hilo.

Kingatiba zilizotolewa kwa wananchi ni dawa za kutibu Matende  na Mabusha (Mectizan) pamoja na dawa za Minyoo ya tumbo (Albendazole).   Mratibu wa NTD Wilaya Ndg. Elvan J. Limwagu anazidi kuwasisitiza wananchi  kuwa dawa hizo zipo za kutoosha katika vituo vya kutolea huduma za afya na kwamba hazina athari yoyote kwa watumiaji.

KINGA NI BORA KULIKO TIBA    

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA KUITWA KWQENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA MIPAKA YA KATA, VIJIJI NA VITONGOJI HALMASHAURI YA WILAYA YA MTAMA. September 16, 2024
  • MATOKEO YA USAILI KWA KADA ZOTE September 09, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA WATENDAJI MTAMA DC September 09, 2023
  • Angalia yote

Habari mpya

  • KAMATI YA LISHE YAFANYA KIKAO CHA TATHMINIYA UTEKELEZAJI WA AFUA ZA LISHE KWA ROBO YA TATU HALMASHAURI YA MTAMA

    June 04, 2025
  • MIRADI 7 YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 2.7 YAPITIWA NA MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA MTAMA

    May 27, 2025
  • KAMATI YA SIASA MKOA WA LINDI YATEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI HALMASHAURI YA MTAMA

    May 09, 2025
  • DC MWANZIVA AMEITAKA KAMATI YA AFYA HALMASHAURI YA MTAMA KUONGEZA UHAMASISHAJI KWA WANAUME KUHUSU UMUHIMU WA LISHE

    April 29, 2025
  • Angalia yote

Video

Risala ya utii kwa Mhe. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Youtube
  • Mfumo wa Elimu Msingi na Sekondari
  • FOMU YA MAOMBI YA LESENI YA BIASHARA
  • Watumishi Portal

Tovuti Mashuhuri

  • Presidential office and Regional Secretariety
  • Electronic Goverment Agent
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Ofisi ya Raisi-UTUMISHI
  • Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya mahali

Wasiliana nasi

    Box 328 Lindi

    Sanduku la Barua: 328 Lindi Dc

    Simu ya mezani: 0222061

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@lindidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya ndani
    • Katazo
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Mtama District Council All rights reserved.