• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mtama

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Maendeleo ya jamii, Jinsia na Watoto
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Ardhi na Mali Asili
      • Afya
      • Utawala na Utumishi
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Nyuki
      • Ununuzi na ugavi
  • Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • PICHA
    • MATUKIO
    • HOTUBA
    • HABARI
  • Mifumo
    • ffars
    • National Sanitation Compaign
      • E-learning
    • Sensa Elimu Msingi
    • Wajasiliamali
    • Government mail System
    • Madeni-Demo

MRADI WA TUNANDOTO TANZANIA WATOA MSAADA KWA WANAFUNZI WENYE MAJITAJI MAALUMU SHULE YA MSINGI NYANGAO.

Posted on: October 8th, 2021

Katika jitihada za kutambua na kuthamini uwepo wa watoto wenye mahitaji maalumu nchini, Mradi wa TUNANDOTO TANZANIA chini ya usimamizi wa Kanisa la Pentekosti (FPCT) umekabidhi msaada wa vifaa mbalimbali kwa wanafunzi 49 wenye ulemavu waliopo katika shule ya Msingi Nyangao ili kuwawezesha, kuwapa faraja na matumaini ya kufanya vizuri kwenye masomo yao na kuweza kufikia malengo yao. Vifaa hivyo vimetolewa tarehe 8 Oktoba 2021 na Mratibu wa Mradi huo Mwl. Suleiman Mosses kutoka Ruo Seminari ambapo amekabidhi shuka 100, kofia 17, sukari kg 50, vifaa vya shule, juisi katoni 8, biskuti boksi 2 pamoja na sabuni za kunawia dazani moja.

Akitoa maelezo mafupi ya Mradi Mwl. Suleiman Mosses amesema kuwa Mradi huo unajishughulisha na masuala ya kilimo, elimu pamoja na ujasiliamali na kuongeza kuwa Mradi umetoa vifaa hivyo ili kusaidia kupunguza  changamoto zinazowakumba wanafunzi hao. Aidha ametoa shukurani kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri Ndg. George Emmanuel Mbilinyi kwa ushiriki wake katika zoezi hilo huku akiahidi kuendelea kushirikiana katika nyanja mbalimbali.

Naye Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mtama Ndg George Emmanuel Mbilinyi ameushukuru Mradi huo lakini pia ametoa wito kwa wazazi na walezi wasiwafiche majumbani watoto wenye ulemavu na badala yake watumie fursa ya uwepo wa shule hiyo kuhakikisha wanawapeleka na kupata haki yao ya msingi ya kielimu. Sambamba na hilo, Ndg. Mbilinyi amewakaribisha wadau wengine ndani na nje ya Halmashauri kujitokeza kuwapa faraja wanafunzi hao huku akiendelea kutoa msisitizo kwa walimu kubuni miradi mbalimbali itakayosaidia kujiingizia kipato na kuendesha shughuli ndogondogo za shuleni hapo.

Uongozi wa shule ya msingi Nyangao umetoa shukurani kwa msaada huo kutoka katika Mradi wa TUNANDOTO TANZANIA

Mwl. Suleiman Mosses ( kushoto), Mkurugenzi wa Halmashauri Ndg. George Mbilinyi ( kulia) wakiwavesha kofia wanafunzi wenye ulemavu wa ngozi.

Baadhi ya Wanafunzi wenye mahitaji maalumu wakiwa kwenye tukio hilo


Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA KUITWA KWQENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA MIPAKA YA KATA, VIJIJI NA VITONGOJI HALMASHAURI YA WILAYA YA MTAMA. September 16, 2024
  • MATOKEO YA USAILI KWA KADA ZOTE September 09, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA WATENDAJI MTAMA DC September 09, 2023
  • Angalia yote

Habari mpya

  • KAMATI YA SIASA MKOA WA LINDI YATEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI HALMASHAURI YA MTAMA

    May 09, 2025
  • DC MWANZIVA AMEITAKA KAMATI YA AFYA HALMASHAURI YA MTAMA KUONGEZA UHAMASISHAJI KWA WANAUME KUHUSU UMUHIMU WA LISHE

    April 29, 2025
  • DC MWANZIVA ASISITIZA KUDUMISHA MUUNGANO LINDI

    April 26, 2025
  • KAMATI YA AFYA YA MSINGI YATOA ELIMU KUHUSU NYONGEZA YA DOZI YA CHANJO YA POLIO HALMASHAURI YA MTAMA

    April 24, 2025
  • Angalia yote

Video

Risala ya utii kwa Mhe. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Youtube
  • Mfumo wa Elimu Msingi na Sekondari
  • FOMU YA MAOMBI YA LESENI YA BIASHARA
  • Watumishi Portal

Tovuti Mashuhuri

  • Presidential office and Regional Secretariety
  • Electronic Goverment Agent
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Ofisi ya Raisi-UTUMISHI
  • Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya mahali

Wasiliana nasi

    Box 328 Lindi

    Sanduku la Barua: 328 Lindi Dc

    Simu ya mezani: 0222061

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@lindidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya ndani
    • Katazo
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Mtama District Council All rights reserved.