• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mtama

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Maendeleo ya jamii, Jinsia na Watoto
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Ardhi na Mali Asili
      • Afya
      • Utawala na Utumishi
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Nyuki
      • Ununuzi na ugavi
  • Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • PICHA
    • MATUKIO
    • HOTUBA
    • HABARI
  • Mifumo
    • ffars
    • National Sanitation Compaign
      • E-learning
    • Sensa Elimu Msingi
    • Wajasiliamali
    • Government mail System
    • Madeni-Demo

MKUU WA WILAYA YA LINDI ATAMBULISHA MRADI WA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI KATA YA CHIPONDA

Posted on: January 21st, 2022


Mkuu wa Wilaya ya Lindi Mhe. Shaibu Ndemanga akiambatana Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mtama Mhe. Abdallah Tipu, Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Wilaya Ndg. Othmani Hongonyoko pamoja  na wataalamu wa Halmashauri ya Mtama 20/01/2022 amekutana na wananchi wa Kata ya Chiponda kwa lengo la kutambulisha mradi wa ujenzi wa shule ya sekondari ya Kata hiyo.

Amewataka wananchi hao kuondoa tofauti zao za kiitikadi za vyama na badala yake wafanye kazi kwa umoja na mshikamano.

Ametoa rai kwa wajumbe wa kamati ya ujenzi pamoja na jamii kuwa waaminifu, waadilifu lakini pia kutengeneza ulinzi shirikishi wa vifaa vitakavyotumika katika ujenzi huo.

Amewataka vijana wa Kata hiyo kutumia fursa ya ujenzi huo kufanya kazi za vibarua ili waweze kujikwamua kiuchumi.

Aidha Mhe. Ndemanga amesema mradi huo umepatiwa Tsh 470,000,000/= kwa ujenzi wa awamu ya kwanza utakaohusisha majengo yafuatayo:

- Madarasa 8

- Maabara 3 za sayansi

- Matundu 20 ya Vyoo ambayo 10 wasichana na 10 wavulana

- Miundombinu ya Kuvunia maji

- Minara 2 ya maji

- Tank moja la chini kwa ajili ya kutunzia maji

- Jengo la kisasa la utawala

- Chumba kimoja cha kompyuta.

Kwa upande wao wananchi wa Kata hiyo wametoa shukurani kwa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania chini ya uongozi wa Mama Samia Suluhu Hassan kwa kupeleka mradi huo kwani utasaidia kuwapunguzia watoto adha ya kutembea umbali mrefu kwenda shule ya Kata ya Mnara lakini pia shule hiyo itawanusuru watoto hao dhidi ya wanyama wakali kama vile tembo.

Mhe. Tipu Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Mtama akizungumza na wananchi

Wananchi Kata ya Chiponda wakiwa kwenye mkutano

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA KUITWA KWQENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA MIPAKA YA KATA, VIJIJI NA VITONGOJI HALMASHAURI YA WILAYA YA MTAMA. September 16, 2024
  • MATOKEO YA USAILI KWA KADA ZOTE September 09, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA WATENDAJI MTAMA DC September 09, 2023
  • Angalia yote

Habari mpya

  • KAMATI YA LISHE YAFANYA KIKAO CHA TATHMINIYA UTEKELEZAJI WA AFUA ZA LISHE KWA ROBO YA TATU HALMASHAURI YA MTAMA

    June 04, 2025
  • MIRADI 7 YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 2.7 YAPITIWA NA MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA MTAMA

    May 27, 2025
  • KAMATI YA SIASA MKOA WA LINDI YATEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI HALMASHAURI YA MTAMA

    May 09, 2025
  • DC MWANZIVA AMEITAKA KAMATI YA AFYA HALMASHAURI YA MTAMA KUONGEZA UHAMASISHAJI KWA WANAUME KUHUSU UMUHIMU WA LISHE

    April 29, 2025
  • Angalia yote

Video

Risala ya utii kwa Mhe. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Youtube
  • Mfumo wa Elimu Msingi na Sekondari
  • FOMU YA MAOMBI YA LESENI YA BIASHARA
  • Watumishi Portal

Tovuti Mashuhuri

  • Presidential office and Regional Secretariety
  • Electronic Goverment Agent
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Ofisi ya Raisi-UTUMISHI
  • Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya mahali

Wasiliana nasi

    Box 328 Lindi

    Sanduku la Barua: 328 Lindi Dc

    Simu ya mezani: 0222061

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@lindidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya ndani
    • Katazo
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Mtama District Council All rights reserved.