• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mtama

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Maendeleo ya jamii, Jinsia na Watoto
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Ardhi na Mali Asili
      • Afya
      • Utawala na Utumishi
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Nyuki
      • Ununuzi na ugavi
  • Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • PICHA
    • MATUKIO
    • HOTUBA
    • HABARI
  • Mifumo
    • ffars
    • National Sanitation Compaign
      • E-learning
    • Sensa Elimu Msingi
    • Wajasiliamali
    • Government mail System
    • Madeni-Demo

MKUU WA MKOA AFANYA KIKAO NA WAFANYAKAZI WA HALMASHAURI YA MTAMA.

Posted on: February 17th, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Lindi Mheshimiwa Zainabu Telack leo tarehe 17, Februari 2024, amefanya kikao na wafanyakazi wa Halmshauri ya Wilaya ya Mtama ili kusikiliza Changamoto, Maoni, na Mapendekezo ya wafanyakazi kwa maslahi ya maendeleo ya Mkoa na Halmashauri, kikao kilifanyika katika ukumbi wa mikutano wa Halmsahuri.

Wafanyakazi waliwasilisha changamoto zao kama vile malipo fedha ya uhamisho, miundominu ya barabara, vyombo vya usafiri, fedha za likizo, wanasiasa kuingalia utendaji kazi, changamoto ya bima ya Afya, uhaba wa Nyumba za Walimu, upungufu wa vyoo mashuleni na umaliziaji wa miradi.

Mkuu wa Mkoa alipokea changamoto hizo nakuzijbu pia aliwataka wakuu wa idara kujibu changamoto zinazohusiana na idara yao, Mkuu wa Mkoa aliendelea kuwa ni vizuri Halmashauri ikafuata ushauri wa wafanyakazi ili kujiongezea kipato kama vile kutanganza sehemu za utalii na kujenga hoteli ya chakula kwa wasafiri.

Pamoja na hayo Katibu Tawala wa Mkoa wa Lindi Ndugu Zuwena Omary alisema kuwa changamoto za wafanyakazi zitasuluhishwa na wafanyakazi wenyewe hivyo wafanya kazi wawe na amani kwasababu changamoto zao zitatatuliwa na alimaliza kwa kushauri wafanyakazi wanapswa kuandaa pensheni yao wakiwa wapo kazini.

Alkadhalika Mkuu wa Wilaya ya Lindi Mheshimiwa Shaibu Ndemanga alimshukuru Mkuu wa Mkoa kwa kuwajali wafanyakazi, pia aliongeza kuwa utoro mashuleni ni changamoto kubwa hivyo Halmshauri, wakuu wa shule ya msingi na sekondari, watendaji, makatibu, maafisa elimu, wazazi na walezi wanapaswa kushirikiana kuondoa tatizo hilo.

Mkuu wa Mkoa alisema kuwa wafanyakazi waliopo Mkoa wa Lindi wanabahati kubwa kwasababu Lindi inafursa nyingi, pia alisisitiza wafanyakazi kuwa na uzalendo na umoja wawapo kazini na aliitaka Halmashauri kuwa na mpango mkakati katika kusimamia zao la mbao na magogo.

Mwisho Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mtama Ndugu Goerge E. Mbilinyi alimshukuru Mkuu wa Mlkoa, Katibu Tawala Mkoa, Mkuu wa Wilaya na wafanyakazi walioshiriki kikao hicho akisema kuwa Halmshauri itafanyia kazi ushauri uliotelewa, baada ya kumalizika kwa kikao hicho Mkuu wa Mkoa alifanya kikao na wakuu wa idara wa Halmshauri ya Wilaya ya Mtama.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA KUITWA KWQENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA MIPAKA YA KATA, VIJIJI NA VITONGOJI HALMASHAURI YA WILAYA YA MTAMA. September 16, 2024
  • MATOKEO YA USAILI KWA KADA ZOTE September 09, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA WATENDAJI MTAMA DC September 09, 2023
  • Angalia yote

Habari mpya

  • KAMATI YA LISHE YAFANYA KIKAO CHA TATHMINIYA UTEKELEZAJI WA AFUA ZA LISHE KWA ROBO YA TATU HALMASHAURI YA MTAMA

    June 04, 2025
  • MIRADI 7 YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 2.7 YAPITIWA NA MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA MTAMA

    May 27, 2025
  • KAMATI YA SIASA MKOA WA LINDI YATEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI HALMASHAURI YA MTAMA

    May 09, 2025
  • DC MWANZIVA AMEITAKA KAMATI YA AFYA HALMASHAURI YA MTAMA KUONGEZA UHAMASISHAJI KWA WANAUME KUHUSU UMUHIMU WA LISHE

    April 29, 2025
  • Angalia yote

Video

Risala ya utii kwa Mhe. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Youtube
  • Mfumo wa Elimu Msingi na Sekondari
  • FOMU YA MAOMBI YA LESENI YA BIASHARA
  • Watumishi Portal

Tovuti Mashuhuri

  • Presidential office and Regional Secretariety
  • Electronic Goverment Agent
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Ofisi ya Raisi-UTUMISHI
  • Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya mahali

Wasiliana nasi

    Box 328 Lindi

    Sanduku la Barua: 328 Lindi Dc

    Simu ya mezani: 0222061

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@lindidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya ndani
    • Katazo
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Mtama District Council All rights reserved.