• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mtama

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Maendeleo ya jamii, Jinsia na Watoto
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Ardhi na Mali Asili
      • Afya
      • Utawala na Utumishi
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Nyuki
      • Ununuzi na ugavi
  • Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • PICHA
    • MATUKIO
    • HOTUBA
    • HABARI
  • Mifumo
    • ffars
    • National Sanitation Compaign
      • E-learning
    • Sensa Elimu Msingi
    • Wajasiliamali
    • Government mail System
    • Madeni-Demo

MKURUGENZI MTAMA DC AFANYA KIKAO KAZI NA IDARA YA ELIMU

Posted on: October 8th, 2021

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mtama Ndg. George Emmanuel Mbilinyi leo Oktoba 8, 2021 amefanya kikao kazi na viongozi wa Idara ya Elimu, Maafisa Elimu Kata, walimu wakuu wa shule za msingi na sekondari kutoka katika shule zote ndani ya Halmashauri.  Kikao hicho kimefanyika katika viwanja vya Shule ya Msingi Nang'aka na kujadili mambo muhimu ya kutafuta njia bora ya kuinua na kuendelea Idara hiyo ili kufikia malengo yaliyokusudiwa.

Kupitia kikao hicho, wajumbe walipata nafasi ya kuchangia na kueleza changamoto zinazowakabili kwenye maeneo yao ya kazi huku suala la uhaba wa vyumba vya madarasa, nyumba za walimu, maji, ukosefu wa umeme pamoja na uchakavu wa miundombinu ya shule lilionekana kuwa ni tatizo kubwa kwa shule mbalimbali . Jitihada za kutafuta suluhisho la matatizo hayo, Mkurugenzi huyo alifanya mawasiliano ya papo kwa papo kwa njia ya simu na mamlaka husika ili kufahamu hatua zilizochukuliwa.

Pamoja na hayo, Ndg. Mbilinyi ametoa maagizo kwa wajumbe wa kikao hicho ambayo ni:

  • Kusimamia kikamilifu ujenzi wa miundombinu ya fedha za Serikali kwa kuzingatia thamani ya fedha na mradi husika
  • Kusimamia nidhamu ya muda, mavazi, kauli pamoja na kusimamia mahudhurio ya walimu, wanafunzi na wafanyakazi wasio walimu shuleni 
  • Kusimamia rasilimali zilizopo shuleni kama vile samani.
  • Kuwa wabunifu kwa kubuni miradi mbalimbali kwenye maeneo ya shule na kujipatia kipato.
  • Kuwa na mahusiano mazuri na jamii inayotuzunguka.
  • Kuwa washauri wazuri wa Mkurugenzi ili kutafuta njia ya kuitangaza Mtama.
  • Tuchukue tahadhari na ikiwezekana tukapate chanjo ili kujikinga na janga la UVIKO-19.

Kwa niaba ya wajumbe wa kikao hicho, Muumini Mwinjuma Afisa Elimu Sekondari Wilaya ametoa shukurani kwa nasaha, ushauri pamoja na hamasa zilizotolewa na Mgeni rasmi huku akimuhakikishia kuwa maagizo hayo yanakwenda kufanyiwa kazi.



Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA KUITWA KWQENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA MIPAKA YA KATA, VIJIJI NA VITONGOJI HALMASHAURI YA WILAYA YA MTAMA. September 16, 2024
  • MATOKEO YA USAILI KWA KADA ZOTE September 09, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA WATENDAJI MTAMA DC September 09, 2023
  • Angalia yote

Habari mpya

  • KAMATI YA LISHE YAFANYA KIKAO CHA TATHMINIYA UTEKELEZAJI WA AFUA ZA LISHE KWA ROBO YA TATU HALMASHAURI YA MTAMA

    June 04, 2025
  • MIRADI 7 YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 2.7 YAPITIWA NA MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA MTAMA

    May 27, 2025
  • KAMATI YA SIASA MKOA WA LINDI YATEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI HALMASHAURI YA MTAMA

    May 09, 2025
  • DC MWANZIVA AMEITAKA KAMATI YA AFYA HALMASHAURI YA MTAMA KUONGEZA UHAMASISHAJI KWA WANAUME KUHUSU UMUHIMU WA LISHE

    April 29, 2025
  • Angalia yote

Video

Risala ya utii kwa Mhe. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Youtube
  • Mfumo wa Elimu Msingi na Sekondari
  • FOMU YA MAOMBI YA LESENI YA BIASHARA
  • Watumishi Portal

Tovuti Mashuhuri

  • Presidential office and Regional Secretariety
  • Electronic Goverment Agent
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Ofisi ya Raisi-UTUMISHI
  • Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya mahali

Wasiliana nasi

    Box 328 Lindi

    Sanduku la Barua: 328 Lindi Dc

    Simu ya mezani: 0222061

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@lindidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya ndani
    • Katazo
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Mtama District Council All rights reserved.