• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mtama

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Maendeleo ya jamii, Jinsia na Watoto
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Ardhi na Mali Asili
      • Afya
      • Utawala na Utumishi
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Nyuki
      • Ununuzi na ugavi
  • Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • PICHA
    • MATUKIO
    • HOTUBA
    • HABARI
  • Mifumo
    • ffars
    • National Sanitation Compaign
      • E-learning
    • Sensa Elimu Msingi
    • Wajasiliamali
    • Government mail System
    • Madeni-Demo

MKURUGENNZI MTENDEJI AMETEMBELEA MRADI WA MAJI KATIKA KATA YA MANDWANGA

Posted on: February 7th, 2024

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mtama Ndugu Goerge E. Mbilinyi ametembelea mradi mkubwa wa maji uliopo Kata ya Mandwanga wenye thamani ya bilioni 3.1 uliofadhiliwa na Kanisa la Angalikana Jimbo la Masasi, mradi huo utaondoa tatizo la maji katika vijiji nane ndani ya kata hiyo yenye jumla ya idadi ya watu elfu 20, mradi huo ulianza kutekelezwa 2022 na utakamilika juni 30, 2024 baada ya kumilika mradi utakabidhiwa kwa RUWASA-Lindi.

Mkandarasi wa mradi huo Mhandisi Olaph John alisema kuwa mradi umegawanywa katika miradi midogo minne ambapo vijiji viwili vimeunganishwa kwenye mradi mdogo mmoja, mgawanyo huo upo kama ifuatavyo Kijiji cha Nyundo I na Kijiji cha Nambahu ni mradi wa kwanza, Kijiji cha Chihuta na Mikongi mradi wa pili, Kjiji cha Mandwanga na Kijiji cha Lindwandwali mradi wa tatu na mradi wa mwisho ni Kijiji cha Malangu na Kijiji cha Mnazi mmoja.Aidha Mhandisi Olaph John aliongeza kuwa hadi kufikia Machi 15, 2024 miradi midogo mitatu itakua imeaza kufanya kazi isipokua mradi mdogo wanne ambao hadi kufika juni 30, 2024 mradi huo utakua umeanza kufanya kazi.

Sambamba na hilo Mkurugenzi alipongeza juhudi zinazofanywa na Serikali ya awamu ya sita chini ya Mheshimiwa Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania daktari Samia Suluhu Hassan kwa kushirikiana na mashirika mbalimbali kama Kanisa la Angalikana katika kuboresha huduma za jamii hasa maji kwa wananchi na kufikia lengo la kampeni ya kumtua mama ndoo kichwani.

Alkadhalika Ndugu Goerge Mbilinyi ameawataka wananchi wa kata hiyo kuthamini juhudi zinazofanywa na Serikali kwa kutunza miundominu hiyo na waunge mkono juhudi hizo kwa kuvutia maji majumbani kwao pindi mradi utakapo kamilika kwa sababu ghalama zitakua rahisi sana.

Pia Mkurugenzi aliwapongeza wananchi waliokubali kwa ridhaa zao kutoa maeneo yao hili kuwezesha kukamilika kwa mradi huo akisema kuwa Halmashauri itatambua uzalendo wao. Pamoja na hayo Mkurugenzi aliambatana na wajumbe wafuatao kwenye ziara hiyo kama ifuatavyo Afisa Utumishi Ndugu Kalingonji, Afisa Manunuzi Ndugu Chacha, Afisa Mipango Bi. Emma, Afisa Maendeleo ya Jamii na wawakilishi wa Kanisa la Angalikana Jimbo la Masasi.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA KUITWA KWQENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA MIPAKA YA KATA, VIJIJI NA VITONGOJI HALMASHAURI YA WILAYA YA MTAMA. September 16, 2024
  • MATOKEO YA USAILI KWA KADA ZOTE September 09, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA WATENDAJI MTAMA DC September 09, 2023
  • Angalia yote

Habari mpya

  • KAMATI YA SIASA MKOA WA LINDI YATEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI HALMASHAURI YA MTAMA

    May 09, 2025
  • DC MWANZIVA AMEITAKA KAMATI YA AFYA HALMASHAURI YA MTAMA KUONGEZA UHAMASISHAJI KWA WANAUME KUHUSU UMUHIMU WA LISHE

    April 29, 2025
  • DC MWANZIVA ASISITIZA KUDUMISHA MUUNGANO LINDI

    April 26, 2025
  • KAMATI YA AFYA YA MSINGI YATOA ELIMU KUHUSU NYONGEZA YA DOZI YA CHANJO YA POLIO HALMASHAURI YA MTAMA

    April 24, 2025
  • Angalia yote

Video

Risala ya utii kwa Mhe. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Youtube
  • Mfumo wa Elimu Msingi na Sekondari
  • FOMU YA MAOMBI YA LESENI YA BIASHARA
  • Watumishi Portal

Tovuti Mashuhuri

  • Presidential office and Regional Secretariety
  • Electronic Goverment Agent
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Ofisi ya Raisi-UTUMISHI
  • Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya mahali

Wasiliana nasi

    Box 328 Lindi

    Sanduku la Barua: 328 Lindi Dc

    Simu ya mezani: 0222061

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@lindidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya ndani
    • Katazo
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Mtama District Council All rights reserved.