• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mtama

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Maendeleo ya jamii, Jinsia na Watoto
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Ardhi na Mali Asili
      • Afya
      • Utawala na Utumishi
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Nyuki
      • Ununuzi na ugavi
  • Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • PICHA
    • MATUKIO
    • HOTUBA
    • HABARI
  • Mifumo
    • ffars
    • National Sanitation Compaign
      • E-learning
    • Sensa Elimu Msingi
    • Wajasiliamali
    • Government mail System
    • Madeni-Demo

MBILINYI ATOA WITO KWA MAAFISA ELIMU PAMOJA NA WALIMU KUWA NA UZALENDO KATIKA USIMAMIZI WA MIRADI MBALIMBALI

Posted on: October 25th, 2021

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mtama Ndg. George Emmanuel Mbilinyi ameotoa wito kwa Maafisa Elimu Kata, Wakuu wa shule za msingi pamoja na sekondari juu ya ubadhilifu wa fedha kwenye usimamizi wa miradi mbalimbali ya kimaendeleo.

Wito huo ameutoa leo Oktoba 25, 2021 wakati  wa kikao kazi na wakuu wa shule zote  shule za msingi na Sekondari ndani ya Halmashauri katika viwanja vya Ofisi za Idara ya Elimu Nang'aka - Mtama. Sambamba na wito huo, Mkurugenzi ametoa maelekezo kwa wadau hao kusimamia miradi ya ujenzi wa vyumba vya madarasa na vyoo kwa UADILIFU NA UZALENDO wa hali ya juu, kupunguza gharama za matumizi yasiyo leta tija, kuwa wabunifu katika kuleta maendeleo katika maeneo yao ya kazi. Aidha amesisitiza kuwa na mahusiano mazuri baina yao pamoja na wanaowaongoza.

Kwa upande wake Kaimu Muhandisi wa Ujenzi wa Wilaya  Eng. Abruhani Juma alipata nafasi ya kutolea ufafanuzi wa namna ya utekelezaji wa miradi hiyo ambapo amesisitiza zaidi kuwa makini kwenye manunuzi ya vifaa vya ujenzi ili kupata miradi inayoendana na thamani ya fedha zilizotolewa

Jumla ya Tshs 760,000,000/= zimetolewa kwa Elimu sekondari  za ujenzi wa vyumba vya madarasa huku Tshs 300,000,000/= ujenzi wa shule shikizi madarasa  19, 120,000,000/= madarasa 6 na  Tshs milioni 19.8 ujenzi wa matundu 18 ya vyoo kwa baadhi ya shule za msingi. Fedha hizi zimetoka Serikali kuu kupitia Mpango wa Lipa kwa Matokeo (EP4R) na COVID 19.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA KUITWA KWQENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA MIPAKA YA KATA, VIJIJI NA VITONGOJI HALMASHAURI YA WILAYA YA MTAMA. September 16, 2024
  • MATOKEO YA USAILI KWA KADA ZOTE September 09, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA WATENDAJI MTAMA DC September 09, 2023
  • Angalia yote

Habari mpya

  • KAMATI YA SIASA MKOA WA LINDI YATEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI HALMASHAURI YA MTAMA

    May 09, 2025
  • DC MWANZIVA AMEITAKA KAMATI YA AFYA HALMASHAURI YA MTAMA KUONGEZA UHAMASISHAJI KWA WANAUME KUHUSU UMUHIMU WA LISHE

    April 29, 2025
  • DC MWANZIVA ASISITIZA KUDUMISHA MUUNGANO LINDI

    April 26, 2025
  • KAMATI YA AFYA YA MSINGI YATOA ELIMU KUHUSU NYONGEZA YA DOZI YA CHANJO YA POLIO HALMASHAURI YA MTAMA

    April 24, 2025
  • Angalia yote

Video

Risala ya utii kwa Mhe. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Youtube
  • Mfumo wa Elimu Msingi na Sekondari
  • FOMU YA MAOMBI YA LESENI YA BIASHARA
  • Watumishi Portal

Tovuti Mashuhuri

  • Presidential office and Regional Secretariety
  • Electronic Goverment Agent
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Ofisi ya Raisi-UTUMISHI
  • Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya mahali

Wasiliana nasi

    Box 328 Lindi

    Sanduku la Barua: 328 Lindi Dc

    Simu ya mezani: 0222061

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@lindidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya ndani
    • Katazo
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Mtama District Council All rights reserved.