• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mtama

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Maendeleo ya jamii, Jinsia na Watoto
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Ardhi na Mali Asili
      • Afya
      • Utawala na Utumishi
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Nyuki
      • Ununuzi na ugavi
  • Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • PICHA
    • MATUKIO
    • HOTUBA
    • HABARI
  • Mifumo
    • ffars
    • National Sanitation Compaign
      • E-learning
    • Sensa Elimu Msingi
    • Wajasiliamali
    • Government mail System
    • Madeni-Demo

DED MTAMA AKUTANA NA VIONGOZI WA VYAMA VYA MSINGI NA KUWAPA MAELEKEZO

Posted on: October 6th, 2021

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mtama Ndg. George Emmanuel Mbilinyi leo 6 Ocktoba 2021 amekutana na kuzungumza na viongozi wa Vyama vya Msingi pamoja na viongozi wa Ghala la kuu la Lindi Farmers Limited lililoko Mtama  ili kutoa mwongozo wa usimamizi mzuri wa zao la Korosho kutoka kwa Mkulima hadi kumfikia mnunuzi na kwamba kwa kufanya hivyo kutaimarisha Vyama vilivyopo ndani ya Halmashauri na kuleta ushindani nzuri katika soko. 

Kikao hicho kilifanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Halmashauri na kuhudhuriwa na Mbunge wa Jimbo la Mtama Mh. Nape Mosses Nnauye, Mwenyekiti wa Halmashauri Mh. Yusuf Abdallah Tipu, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ambae alikua Mwenyekiti wa kikao pamoja na  Mtendaji wa Bodi ya usimamizi wa Stakabadhi Ghalani Ndg. Asangye Bangu.

Miongoni mwa maelekezo aliyoyatoa Mkurugenzi wa Halmashauri kwa viongozi hao  ni pamoja na:

  1. Viongozi wa vyama vya Msingi wafikishe taarifa ya kikao kwa wakulima kuhusu uzalendo wa kupeleka mavuno yao katika ghala la Mtama ili kuinua mapato ya Halmashauri.
  2.  Kusimamia na kudhibiti kikamilifu ubora wa zao la  Korosho ili kuleta ushindani katika soko
  3. Kujiepusha na vitendo vya Rushwa hususani wakati wote  wa msimu wa Korosho.
  4. Kufanya kazi kwa uaminifu, uvumilivu, umakini na uzalendo.

Lakini pia wajumbe wa kikao walipata nafasi ya kujadili changamoto zinazowakabili katika utekelezaji wa majukumu yao ikiwa ni pamoja na udanganyifu wa Mzani mdogo wa Tani 5 huku Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri Ndg. George Mbilinyi akitoa agizo kwa Afisa Ushirika na Mwendesha Ghala la Farmers kulipatia suluhisho suala hilo.

Viongozi wa Vyama vya Msingi wakiwa kwenye kikao hicho.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA KUITWA KWQENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA MIPAKA YA KATA, VIJIJI NA VITONGOJI HALMASHAURI YA WILAYA YA MTAMA. September 16, 2024
  • MATOKEO YA USAILI KWA KADA ZOTE September 09, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA WATENDAJI MTAMA DC September 09, 2023
  • Angalia yote

Habari mpya

  • KAMATI YA LISHE YAFANYA KIKAO CHA TATHMINIYA UTEKELEZAJI WA AFUA ZA LISHE KWA ROBO YA TATU HALMASHAURI YA MTAMA

    June 04, 2025
  • MIRADI 7 YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 2.7 YAPITIWA NA MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA MTAMA

    May 27, 2025
  • KAMATI YA SIASA MKOA WA LINDI YATEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI HALMASHAURI YA MTAMA

    May 09, 2025
  • DC MWANZIVA AMEITAKA KAMATI YA AFYA HALMASHAURI YA MTAMA KUONGEZA UHAMASISHAJI KWA WANAUME KUHUSU UMUHIMU WA LISHE

    April 29, 2025
  • Angalia yote

Video

Risala ya utii kwa Mhe. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Youtube
  • Mfumo wa Elimu Msingi na Sekondari
  • FOMU YA MAOMBI YA LESENI YA BIASHARA
  • Watumishi Portal

Tovuti Mashuhuri

  • Presidential office and Regional Secretariety
  • Electronic Goverment Agent
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Ofisi ya Raisi-UTUMISHI
  • Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya mahali

Wasiliana nasi

    Box 328 Lindi

    Sanduku la Barua: 328 Lindi Dc

    Simu ya mezani: 0222061

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@lindidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya ndani
    • Katazo
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Mtama District Council All rights reserved.