• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mtama

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Maendeleo ya jamii, Jinsia na Watoto
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Ardhi na Mali Asili
      • Afya
      • Utawala na Utumishi
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Nyuki
      • Ununuzi na ugavi
  • Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • PICHA
    • MATUKIO
    • HOTUBA
    • HABARI
  • Mifumo
    • ffars
    • National Sanitation Compaign
      • E-learning
    • Sensa Elimu Msingi
    • Wajasiliamali
    • Government mail System
    • Madeni-Demo

Mapokezi ya Vifaa vya Ofisi Halmashauri ya Wilaya ya Lindi

Posted on: April 24th, 2018

Katika uitikio wa Agizo kutoka Kwa Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe John Pombe Magufuri, Halmashauri ya Wilaya ya Lindi imeendelea kutekeleza jambo hilo kwa Vitendo mara baada ya Kupokea Vifaa vya Kutunzia na kusafirisha taka kutoka kwa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii NSSF Mkoa Lindi, Vifaa Hivyo ambavyo ni Mapipa makubwa mawili ya Kuhifadhia Taka na Toroli yaliweza kukabidhiwa hapo jana tarehe 24/04/2018 kutoka kwa Mwakilishi wa Meneja wa NSSF Mkoa wa Lindi Bi Rita Kolowa 

Afisa Mazingira wa Halmashauri ya Wilaya ya Lindi Ndg Ismaili Mbani aliweza Kupokea Vifaa hivyo vya Usafi kutoka kwa Bi Kolowa akimwakilisha Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Lindi na alimwakikishia kuwa vifaa hivi vya usafi vitatumika kwa Lengo lililokusudiwa la kuweka Halmashauri yetu katika Hali safi na Miongoni mwa Malengo tuliojiwekea ni kufanya Halmashauri hii kuwa ya Mfano wa kuigwa kwa Halmashauri zote nchini 

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Lindi Ndg Samwel W Gunzar ametoa Shukrani za dhati kwa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii ya NSSF kwa kuthamini na kuona umuhimu wa kipekee kwa kutoa vifaa hivyo vya usafi na amehakikishia kuwa vifaa hivyo vya Usafi vitatumika kwa lengo lililokusudiwa na kutoa Hamasa kwa Wananchi kujenga tabia ya kufanya Usafi kila Mwisho wa Mwezi kwani kufanya hivi tutaeza kuepukana na Magonjwa yanayosababishwa na uchafu ikwemo kipindupindu na Magonjwa ya Tumbo


Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA KUITWA KWQENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA MIPAKA YA KATA, VIJIJI NA VITONGOJI HALMASHAURI YA WILAYA YA MTAMA. September 16, 2024
  • MATOKEO YA USAILI KWA KADA ZOTE September 09, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA WATENDAJI MTAMA DC September 09, 2023
  • Angalia yote

Habari mpya

  • KAMATI YA SIASA MKOA WA LINDI YATEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI HALMASHAURI YA MTAMA

    May 09, 2025
  • DC MWANZIVA AMEITAKA KAMATI YA AFYA HALMASHAURI YA MTAMA KUONGEZA UHAMASISHAJI KWA WANAUME KUHUSU UMUHIMU WA LISHE

    April 29, 2025
  • DC MWANZIVA ASISITIZA KUDUMISHA MUUNGANO LINDI

    April 26, 2025
  • KAMATI YA AFYA YA MSINGI YATOA ELIMU KUHUSU NYONGEZA YA DOZI YA CHANJO YA POLIO HALMASHAURI YA MTAMA

    April 24, 2025
  • Angalia yote

Video

Risala ya utii kwa Mhe. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Youtube
  • Mfumo wa Elimu Msingi na Sekondari
  • FOMU YA MAOMBI YA LESENI YA BIASHARA
  • Watumishi Portal

Tovuti Mashuhuri

  • Presidential office and Regional Secretariety
  • Electronic Goverment Agent
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Ofisi ya Raisi-UTUMISHI
  • Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya mahali

Wasiliana nasi

    Box 328 Lindi

    Sanduku la Barua: 328 Lindi Dc

    Simu ya mezani: 0222061

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@lindidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya ndani
    • Katazo
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Mtama District Council All rights reserved.