• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mtama

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Maendeleo ya jamii, Jinsia na Watoto
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Ardhi na Mali Asili
      • Afya
      • Utawala na Utumishi
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Nyuki
      • Ununuzi na ugavi
  • Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • PICHA
    • MATUKIO
    • HOTUBA
    • HABARI
  • Mifumo
    • ffars
    • National Sanitation Compaign
      • E-learning
    • Sensa Elimu Msingi
    • Wajasiliamali
    • Government mail System
    • Madeni-Demo

MAADHIMISHO YA UPANDAJI MITI KIMKOA YAMEFANYIKA KATIKA HALMASHAURI YA MTAMA.

Posted on: March 20th, 2024

Maandhimisho ya upandaji miti kimkoa yamefanyika leo tarehe 20 machi 2024 katika jengo la Halmashauri lililopo katika kata ya Majengo ambapo viongozi mbalimbali kutoka ngazi ya Wilaya na mkoa wamehudhuria zoezi hilo, Viongozi hao ni pamoja na Katibu Tawala mkoa, Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mtama, Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mtama, Mwenyekiti wa chama cha Mapinduzi Wilaya ya Lindi na wakuu wa idara mbalimbali.

Kaimu Mkurugenzi Halmashauri ya Mtama Ndugu Rashidi Makujunga aliwasisitiza wananchi pamoja na viongozi mbalimbali kuisimamia miti iliyopandwa leo ili iweze kukua vizuri na kuhakikisha nia ya Serikali inafikia malengo yake kwa maendeleo ya Taifa kwa ujumla.

Mgeni Rasmi wa zoezi hilo Mheshimiwa Majid Myao kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya alisema kuwa miti ina umuhimu na matumizi makubwa kwani miti ni biashara, miti ni uchumi lakini pia miti inalinda ardhi yetu dhidi ya majanga kama vile upepo mkali hivyo watu wanaweza kujiajiri kwa kupanda miti hasa ya mbao.

Akiongea na wananchi Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Lindi Mheshimiwa Athumani Sefu Hongonyoko alisema  kuwa tunatakiwa kupanda miti kwa ajili ya maisha yetu kwani miti inalinda maisha ya watu ya Kila siku pia Mwenyekiti alikabidhiwa miti 250 na kuahidi kuitunza miti hiyo.

Lakini pia Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mtama Ndugu Yusufu Tipu alisisitiza kuwa tahasisi zote zihakikishe zoezi la upandaji miti linaendelea na kuwa kama utaratibu wa maisha yetu na ameahidi kuitunza miti iliyopandwa leo katika jengo la Halmashauri, Mwisho viongozi pamoja na wananchi walipanda miti katika mashimo maalumu yaliyo andaliwa kwa ajili ya zoezi hilo lakini pia Viongozi waligawa miti kwa Wananchi na kuwashukuru kwa kujitokeza kushiriki zoezi hilo maalumu.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA KUITWA KWQENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA MIPAKA YA KATA, VIJIJI NA VITONGOJI HALMASHAURI YA WILAYA YA MTAMA. September 16, 2024
  • MATOKEO YA USAILI KWA KADA ZOTE September 09, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA WATENDAJI MTAMA DC September 09, 2023
  • Angalia yote

Habari mpya

  • KAMATI YA SIASA MKOA WA LINDI YATEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI HALMASHAURI YA MTAMA

    May 09, 2025
  • DC MWANZIVA AMEITAKA KAMATI YA AFYA HALMASHAURI YA MTAMA KUONGEZA UHAMASISHAJI KWA WANAUME KUHUSU UMUHIMU WA LISHE

    April 29, 2025
  • DC MWANZIVA ASISITIZA KUDUMISHA MUUNGANO LINDI

    April 26, 2025
  • KAMATI YA AFYA YA MSINGI YATOA ELIMU KUHUSU NYONGEZA YA DOZI YA CHANJO YA POLIO HALMASHAURI YA MTAMA

    April 24, 2025
  • Angalia yote

Video

Risala ya utii kwa Mhe. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Youtube
  • Mfumo wa Elimu Msingi na Sekondari
  • FOMU YA MAOMBI YA LESENI YA BIASHARA
  • Watumishi Portal

Tovuti Mashuhuri

  • Presidential office and Regional Secretariety
  • Electronic Goverment Agent
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Ofisi ya Raisi-UTUMISHI
  • Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya mahali

Wasiliana nasi

    Box 328 Lindi

    Sanduku la Barua: 328 Lindi Dc

    Simu ya mezani: 0222061

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@lindidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya ndani
    • Katazo
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Mtama District Council All rights reserved.