• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mtama

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Maendeleo ya jamii, Jinsia na Watoto
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Ardhi na Mali Asili
      • Afya
      • Utawala na Utumishi
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Nyuki
      • Ununuzi na ugavi
  • Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • PICHA
    • MATUKIO
    • HOTUBA
    • HABARI
  • Mifumo
    • ffars
    • National Sanitation Compaign
      • E-learning
    • Sensa Elimu Msingi
    • Wajasiliamali
    • Government mail System
    • Madeni-Demo

KIKAO CHA BARAZA LA MADIWANI ROBO YA NNE APRIL- JUNE 2021

Posted on: July 30th, 2021

Kikao cha Baraza la Madiwani Halmashauri ya Wilaya ya Mtama robo ya nne kujadili taarifa za utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo kimefanyika leo tarehe 30 Julai 2021 katika Ukumbi wa Mikutano wa Halmashauri na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali akiwemo Mwenyekiti wa Halmashauri Mh. Yusuf  Abdallah Tipu, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri Mh. Samwel Gunzar, Mbunge wa Jimbo la Mtama Mh. Nape Moses Nnauye pamoja Katibu Tawala Wilaya Ndg. Thomas Safari na viongozi wengine.

Katika kikao hiko ziliibuka hoja na maswali mbalimbali kutoka kwa Madiwani na kutolewa ufafanuzi kutoka kwa wakuu wa idara mbalimbali.

Mganga mkuu wa wilaya ya Mtama Dkt Dismas Masulubu ametolea ufafanuzi kufuatia swali lililoulizwa na diwani viti maalumu tarafa ya Sudi mh Hawa Nameta kuhusu bima ya afya iliyoboreshwa ambapo amesema kuwa zoezi la usajili limeanza na tayari jumla ya kaya 1900 zimekamilisha usajili. Aidh Dkt Masulubu amesoma taarifa ya makusanyo ya fedha za wakulima kupitia makato ya zao la ufuta na kusema kuwa zaidi ya shilingi milioni 200 zimekusanywa,  kati ya hizo shilingi mil 34 na eflu 50 zilikatwa kimakosa na tayari zimerudishwa kwa walengwa. Vilevile amesema kwamba wanajipanga ili kuhakikisha zoezi linakamilika kwa wakati na kuomba ushirikiano na madiwani kufanya kazi kwa pamoja.

Sambamba na hilo, Mbunge wa Jimbo la Mtama Mh. Nape Moses Nnauye ametoa ushauri kwa Mganga Mkuu wa Wilaya pamoja na wataalamu wake kuendelea kutoa elimu kwa wananchi ili zoezi hilo liendelee Vizuri katika msimu wa zao la korosho.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA KUITWA KWQENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA MIPAKA YA KATA, VIJIJI NA VITONGOJI HALMASHAURI YA WILAYA YA MTAMA. September 16, 2024
  • MATOKEO YA USAILI KWA KADA ZOTE September 09, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA WATENDAJI MTAMA DC September 09, 2023
  • Angalia yote

Habari mpya

  • KAMATI YA SIASA MKOA WA LINDI YATEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI HALMASHAURI YA MTAMA

    May 09, 2025
  • DC MWANZIVA AMEITAKA KAMATI YA AFYA HALMASHAURI YA MTAMA KUONGEZA UHAMASISHAJI KWA WANAUME KUHUSU UMUHIMU WA LISHE

    April 29, 2025
  • DC MWANZIVA ASISITIZA KUDUMISHA MUUNGANO LINDI

    April 26, 2025
  • KAMATI YA AFYA YA MSINGI YATOA ELIMU KUHUSU NYONGEZA YA DOZI YA CHANJO YA POLIO HALMASHAURI YA MTAMA

    April 24, 2025
  • Angalia yote

Video

Risala ya utii kwa Mhe. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Youtube
  • Mfumo wa Elimu Msingi na Sekondari
  • FOMU YA MAOMBI YA LESENI YA BIASHARA
  • Watumishi Portal

Tovuti Mashuhuri

  • Presidential office and Regional Secretariety
  • Electronic Goverment Agent
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Ofisi ya Raisi-UTUMISHI
  • Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya mahali

Wasiliana nasi

    Box 328 Lindi

    Sanduku la Barua: 328 Lindi Dc

    Simu ya mezani: 0222061

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@lindidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya ndani
    • Katazo
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Mtama District Council All rights reserved.