• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mtama

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Maendeleo ya jamii, Jinsia na Watoto
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Ardhi na Mali Asili
      • Afya
      • Utawala na Utumishi
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Nyuki
      • Ununuzi na ugavi
  • Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • PICHA
    • MATUKIO
    • HOTUBA
    • HABARI
  • Mifumo
    • ffars
    • National Sanitation Compaign
      • E-learning
    • Sensa Elimu Msingi
    • Wajasiliamali
    • Government mail System
    • Madeni-Demo

KAMATI YA UCHUMI, UJENZI NA MAZINGIRA YATEMBELEA MRADI WA UCHIMBAJI MADINI NAMBOKA.

Posted on: February 13th, 2024

Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira ya Halmashauri ya Wilaya ya Mtama ikiongonzwa na mwenyekiti wake Mheshiwa Omari Mohamed Liveta leo tarehe 13, Febuari 2024 imetemetembelea mradi wa uchimbaji madini uliopo katika kitongoji cha Namboka, madini yanayo patikana ni madini ya vito yanayoitwa Green Garnet.

Mwenyekiti wa ulinzi wa mradi huo Mwalimu Alphonce Ngongi alieleza kuwa Halmashauri iliingia mkataba na wadhamini 16 hili kuendesha mradi huo, Mwalimu Ngongi aliongeza kuwa mgawanyo wa mauzo upo kama ifuatavyo wachimbaji watapata 50%, Halmashauri itapata 30%, Serikali ya kijiji ya Muungano II itapata 15% na wamiliki wa eneo la uchimbaji watapata 5%.

Mwalimu Ngongi aliendelea kuwa ni shimo moja pekee lililotoa madini kati ya mashimo kumi na sita, aidha Halmashauri iliweka utaratibu wa kufanya mnada wa mauzo ya madini kila jumamosi hivyo kutokana na upatikanaji wa madini kuwa mdogo wachimbaji waliomba mnada ufanyike baada ya upatikanaji wa madini kuongezeka hivyo madini yaliyo patikana yanatunzwa na Halmashauri hadi tarehe ya mnada itapopangwa.

Wachimbaji waliwasilisha changamoto zao kama ifuatavyo waliomba wafanye kazi masaa 24, waliomba Halmashauri iwasaidie vifaa vya uchimbaji hasa vifaa vya kutolea maji, waliomba Halmashauri iboreshe barabara na pia waliomba Halmashauri kuwapelekea umeme.

Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira ilifurahishwa na maendeleo ya mradi huo, Mwenyekiti wa Kamati Mheshiwa Liveta aliwataka wachimbaji kuwa wavumulivu kwasababu changamoto zao zitatatuliwa na kuwaasa wachimbaji watunze mazingira hili kujilinda na magonjwa.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA KUITWA KWQENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA MIPAKA YA KATA, VIJIJI NA VITONGOJI HALMASHAURI YA WILAYA YA MTAMA. September 16, 2024
  • MATOKEO YA USAILI KWA KADA ZOTE September 09, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA WATENDAJI MTAMA DC September 09, 2023
  • Angalia yote

Habari mpya

  • KAMATI YA SIASA MKOA WA LINDI YATEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI HALMASHAURI YA MTAMA

    May 09, 2025
  • DC MWANZIVA AMEITAKA KAMATI YA AFYA HALMASHAURI YA MTAMA KUONGEZA UHAMASISHAJI KWA WANAUME KUHUSU UMUHIMU WA LISHE

    April 29, 2025
  • DC MWANZIVA ASISITIZA KUDUMISHA MUUNGANO LINDI

    April 26, 2025
  • KAMATI YA AFYA YA MSINGI YATOA ELIMU KUHUSU NYONGEZA YA DOZI YA CHANJO YA POLIO HALMASHAURI YA MTAMA

    April 24, 2025
  • Angalia yote

Video

Risala ya utii kwa Mhe. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Youtube
  • Mfumo wa Elimu Msingi na Sekondari
  • FOMU YA MAOMBI YA LESENI YA BIASHARA
  • Watumishi Portal

Tovuti Mashuhuri

  • Presidential office and Regional Secretariety
  • Electronic Goverment Agent
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Ofisi ya Raisi-UTUMISHI
  • Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya mahali

Wasiliana nasi

    Box 328 Lindi

    Sanduku la Barua: 328 Lindi Dc

    Simu ya mezani: 0222061

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@lindidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya ndani
    • Katazo
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Mtama District Council All rights reserved.