• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mtama

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Maendeleo ya jamii, Jinsia na Watoto
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Ardhi na Mali Asili
      • Afya
      • Utawala na Utumishi
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Nyuki
      • Ununuzi na ugavi
  • Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • PICHA
    • MATUKIO
    • HOTUBA
    • HABARI
  • Mifumo
    • ffars
    • National Sanitation Compaign
      • E-learning
    • Sensa Elimu Msingi
    • Wajasiliamali
    • Government mail System
    • Madeni-Demo

KAMATI YA SIASA CCM MKOA WA LINDI YATEMBELEA MIRADI MBALIMBALI MTAMA DC

Posted on: January 9th, 2022

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Lindi Ndg. Benignol Makwinya tarehe 9 Januari 2022 amewaongoza wajumbe wa Kamati ya Siasa ya Mkoa kwa lengo kutembelea na kukagua miradi mbalimbali ikiwemo ujenzi wa vyumba vya madarasa ya UVIKO 19 shule ya sekondari Mahiwa, Mtama na Mtua, ujenzi wa Ofisi za Halmashauri, Kituo cha afya Mtsma pamoja na Hospitali ya Wilaya iliyoko kata ya kiwalala ambapo Wajumbe na Mwenyekiti huyo wameridhishwa na maendeleo ya miradi hiyo.

Katika ziara hiyo Ndg. Makwinya ametoa shukurani kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassani kwa kupeleka fedha za ujenzi wa ofisi za Halmashauri ya Mtama huku akitoa wito kwa wananchi pamoja na viongozi kuhakikisha mali na vifaa vinavyotumika kwenye ujenzi huo vinalindwa.

Hatua ya msingi jengo la ofisi za Halmashauri Mtama

Aidha Mwenyekiti huyo alitoa rai kwa viongozi kutoa hamasa kwa wananchi wa Mtama ili waweze kushiriki zoezi la Sensa ya Watu na Makazi linalotarajiwa kufanyika mwaka huu 2022 ili kuisaidia Serikali kupata idadi itakayolingana na mgawanyo wa huduma kwa wananchi.

Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Lindi Mhe. Shaibu Ndemanga amesema kuwa ataendelea kusimamia kikamilifu Miradi inayoendelea huku akitoa ahadi kwa Kamati hiyo kuwa hadi kufikia mwezi wa Pili 2022 Kituo cha Afya cha Mtama kitakuwa kimekamilika. 

Hatua ya skimming Kituo cha Afya Mtama

Kupitia ziara hiyo Makwinya ametoa maagizo kwa viongozi wa Halmashauri ya  ya Wilaya ya Mtama kuhakikisha wanafanya ufuatiliaji wa viwanja vilivyopimwa kuwa vinamilikiwa na watu, kupanda miti eneo la hospitali ya Wilaya pamoja na kuwa na mkakati wa kuweka lami barabara inayoelekea hospitali hiyo ili kuwavutia wananchi kwenda kupata huduma za afya.


Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA KUITWA KWQENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA MIPAKA YA KATA, VIJIJI NA VITONGOJI HALMASHAURI YA WILAYA YA MTAMA. September 16, 2024
  • MATOKEO YA USAILI KWA KADA ZOTE September 09, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA WATENDAJI MTAMA DC September 09, 2023
  • Angalia yote

Habari mpya

  • KAMATI YA SIASA MKOA WA LINDI YATEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI HALMASHAURI YA MTAMA

    May 09, 2025
  • DC MWANZIVA AMEITAKA KAMATI YA AFYA HALMASHAURI YA MTAMA KUONGEZA UHAMASISHAJI KWA WANAUME KUHUSU UMUHIMU WA LISHE

    April 29, 2025
  • DC MWANZIVA ASISITIZA KUDUMISHA MUUNGANO LINDI

    April 26, 2025
  • KAMATI YA AFYA YA MSINGI YATOA ELIMU KUHUSU NYONGEZA YA DOZI YA CHANJO YA POLIO HALMASHAURI YA MTAMA

    April 24, 2025
  • Angalia yote

Video

Risala ya utii kwa Mhe. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Youtube
  • Mfumo wa Elimu Msingi na Sekondari
  • FOMU YA MAOMBI YA LESENI YA BIASHARA
  • Watumishi Portal

Tovuti Mashuhuri

  • Presidential office and Regional Secretariety
  • Electronic Goverment Agent
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Ofisi ya Raisi-UTUMISHI
  • Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya mahali

Wasiliana nasi

    Box 328 Lindi

    Sanduku la Barua: 328 Lindi Dc

    Simu ya mezani: 0222061

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@lindidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya ndani
    • Katazo
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Mtama District Council All rights reserved.