• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mtama

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Maendeleo ya jamii, Jinsia na Watoto
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Ardhi na Mali Asili
      • Afya
      • Utawala na Utumishi
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Nyuki
      • Ununuzi na ugavi
  • Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • PICHA
    • MATUKIO
    • HOTUBA
    • HABARI
  • Mifumo
    • ffars
    • National Sanitation Compaign
      • E-learning
    • Sensa Elimu Msingi
    • Wajasiliamali
    • Government mail System
    • Madeni-Demo

Je, Mtumishi anaposafili nje ya kituo chake cha kazi ni lazima awe na kibali?

Posted on: June 3rd, 2018

Ndiyo,Mtumishi unaposafili nje ya Kituo chako cha Kazi ni lazima uwe na kibali/ruhusa kutoka kwa Afisa Masuuli na kibali hicho kiwe kimesainiwa na Kuainishwa kwa siku ambazo utakuwa nje ya kituo chako cha kazi na kufanya hivi utakuwa umejiondolea wasiwasi ambao utaweza kukupata kama Safari yako itapata changamoto ikiwa ni pamoja na Uharibifu wa Gari njiani, ajali kwa gari ulilolipanda na kukupelekea kupata majeraha ama kupata matatizo yeyote ya ugonjwa njiani kupitia Ruhusa yako ulioiomba itaweza kukulinda haya yalisemwa na Ndg Abdallah Mnongane kutoka ofisi ya Uratibu wa utawala na Utumishi wa Umma Ikulu katika Kikao cha Watumishi  kutoka Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Lindi,Watumishi kutoka ofisi ya Halmashauri ya Wilaya ya Lindi na Ofisi ya Manispaa ya Lindi.

Mbali na hilo wawakilishi hawa kutoka Ofisi ya Uratibu wa Utawala na utumishi wa Umma Ikulu waliongelea majukumu ya Katibu Mkuu Kiongozi ambayo ni pamoja na

  • Kupokea Rufaa mbalimbali kutoka kwa Watumishi wa Umma na Rufaa hizi zitaletwa siku 48 mara baada ya Hukumu kutolewa na katibu Mkuu Kiongozi ambaye ni sawa na Afisa Utumishi Mkuu ataweza kuangalia Rufaa hiyo na kuweza kutoa maamuzi ambayo ni pamoja na kukataa rufaa ya Mtumishi, Mwajiri anaweza kurudia Shauri lako ama kukurudisha Kazini 
  • Anapokea malalamiko ya wananchi.
  • kufanya marekebisho ya rasimu ya Katiba kabla ya kwenda Bungeni

Pia Ndg Abdallah  Mnongane kutoka Ofisi ya Uratibu wa Utawala na Utumishi wa Umma aliwasisitizia wakuu wa Idara na Vitengo kuwa wanajukumu la kuwasimamia Watumishi waliochini yao kutekeleza majukumu yao waliojiwekea baada ya Kujaza fomu ya upimaji wa Utendaji wa kazi(OPRAS) Kwani baadhi ya Watumishi wanatumia muda wa Kazi kufanya mambo yao binafsi kama vile kuendesha pipiki maarufu kama Bodaboda na pia aliwasisitizia Maafisa Utumishi kama inatokea Mtumishi wa umma amesimamishwa kazi kwa kauli ya Mwanasiasa basi Afisa utumishi atakuwa na wajibu wa Kumwandikia Barua Mtumishi huyo juu ya suala hilo na barua hiyo aeleze ni Kupumzisha kazi ili kupisha uchunguzi na siyo kumfukuza kazi maana kama hatabainika kuwa na hatia yeyote atarudishwa kazini.

Kila Taasisi ya Umma inapaswa iwe na Dawati la Malalamiko ili mtumishi mara anapoona atendewi haki aweze kufikisha malalamiko yake kwa Afisa malalamiko na pia aliongezea kuwa Afisa Malalamiko ni Mtumishi yeyote yule mwenye uzoefu wa kuijua taasisi yake, na pia kuwe na faili maalumu la Malalamiko yote yaliyoweza kuletwa na kutolewa ufafanuzi wake na yule Mtumishi aliyeleta malamiko yake aweze kupata mrejesho wa hoja zake alizowasilisha.

Kila taasisi inapaswa iweke Ratiba ya vikao vya Idara/Vitengo kwa Watumishi waliochini yao hii itasaidia kupunguza Malalamiko yaliyopo miongoni mwa Watumishi na Wananchi kwa ujumla na itasaidia kuongeza ufanisi na hali kwa Watumishi




 


 

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA KUITWA KWQENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA MIPAKA YA KATA, VIJIJI NA VITONGOJI HALMASHAURI YA WILAYA YA MTAMA. September 16, 2024
  • MATOKEO YA USAILI KWA KADA ZOTE September 09, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA WATENDAJI MTAMA DC September 09, 2023
  • Angalia yote

Habari mpya

  • KAMATI YA LISHE YAFANYA KIKAO CHA TATHMINIYA UTEKELEZAJI WA AFUA ZA LISHE KWA ROBO YA TATU HALMASHAURI YA MTAMA

    June 04, 2025
  • MIRADI 7 YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 2.7 YAPITIWA NA MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA MTAMA

    May 27, 2025
  • KAMATI YA SIASA MKOA WA LINDI YATEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI HALMASHAURI YA MTAMA

    May 09, 2025
  • DC MWANZIVA AMEITAKA KAMATI YA AFYA HALMASHAURI YA MTAMA KUONGEZA UHAMASISHAJI KWA WANAUME KUHUSU UMUHIMU WA LISHE

    April 29, 2025
  • Angalia yote

Video

Risala ya utii kwa Mhe. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Youtube
  • Mfumo wa Elimu Msingi na Sekondari
  • FOMU YA MAOMBI YA LESENI YA BIASHARA
  • Watumishi Portal

Tovuti Mashuhuri

  • Presidential office and Regional Secretariety
  • Electronic Goverment Agent
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Ofisi ya Raisi-UTUMISHI
  • Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya mahali

Wasiliana nasi

    Box 328 Lindi

    Sanduku la Barua: 328 Lindi Dc

    Simu ya mezani: 0222061

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@lindidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya ndani
    • Katazo
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Mtama District Council All rights reserved.