• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mtama

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Maendeleo ya jamii, Jinsia na Watoto
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Ardhi na Mali Asili
      • Afya
      • Utawala na Utumishi
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Nyuki
      • Ununuzi na ugavi
  • Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • PICHA
    • MATUKIO
    • HOTUBA
    • HABARI
  • Mifumo
    • ffars
    • National Sanitation Compaign
      • E-learning
    • Sensa Elimu Msingi
    • Wajasiliamali
    • Government mail System
    • Madeni-Demo

IDARA YA AFYA YATOA MAFUNZO YA UGAWAJI DAWA KWA MAGONJWA YALIYOKUWA HAYAPEWI KIPAUMBELE.

Posted on: July 9th, 2021

Mafunzo hayo yametolewa leo tarehe 09 Julai 2021 katika shule ya msingi Mtama ambapo walioshiriki wa Mafunzo hayo ni wakuu wa shule za msingi, maafisa elimu kata, walimu wa afya pamoja na wahudumu wa afya kutoka katika zahanati na vituo mbalimbali.

Mwezeshaji wa mafunzo hayo  mama Sophia Chinjala ambaye ni Mratibu wa afya wilaya-mashuleni amesema kuwa  lengo la serikali kuanzisha mpango huo wa kudhibiti magonjwa hayo  ni pamoja na kupunguza maambukizi kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine, kuua vimelea vya magonjwa hayo, kupunguza magonjwa ya ngozi , kufanya watoto wakue vizuri hivyo basi ni muhimu kuhakikisha ugawaji na matumizi ya dawa hizo ni sahihi. Aidha Mratibu huyo ametoa wito kwa wagawaji wa dawa hizo kuwa makini  wakati wa zoezi hilo na  kuhakikisha  wanafunzi wanawapatia chakula kabla ya zoezi la ugawaji dawa halijaanza pia amewataka washiriki wote wa mafunzo hayo kuwa mabalozi wazuri kwa jamii ili kuondoa dhana potofu miongoni mwao dhidi ya dawa hizo.

Zoezi hilo linatarajiwa kuanza tarehe 12 Julai 2021 huku walengwa wakiwa ni wanafunzi wa shule za msingi walioandikishwa na wasiosndikishwa kuanzia umri wa miaka mitano hadi 14. Jumla ya shule za msingi 79 katika halmashauri ya  Wilaya ya Mtama zitaendesha zoezi hilo.

Zoezi la ugawaji dawa hufanyika kila mwaka chini ya Mpango wa Taifa wa Kutokomeza Magonjwa Yasiyopewa Kipaumbele  (NTD).

                                                                                                                         

                                                                                                                         

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA KUITWA KWQENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA MIPAKA YA KATA, VIJIJI NA VITONGOJI HALMASHAURI YA WILAYA YA MTAMA. September 16, 2024
  • MATOKEO YA USAILI KWA KADA ZOTE September 09, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA WATENDAJI MTAMA DC September 09, 2023
  • Angalia yote

Habari mpya

  • KAMATI YA SIASA MKOA WA LINDI YATEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI HALMASHAURI YA MTAMA

    May 09, 2025
  • DC MWANZIVA AMEITAKA KAMATI YA AFYA HALMASHAURI YA MTAMA KUONGEZA UHAMASISHAJI KWA WANAUME KUHUSU UMUHIMU WA LISHE

    April 29, 2025
  • DC MWANZIVA ASISITIZA KUDUMISHA MUUNGANO LINDI

    April 26, 2025
  • KAMATI YA AFYA YA MSINGI YATOA ELIMU KUHUSU NYONGEZA YA DOZI YA CHANJO YA POLIO HALMASHAURI YA MTAMA

    April 24, 2025
  • Angalia yote

Video

Risala ya utii kwa Mhe. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Youtube
  • Mfumo wa Elimu Msingi na Sekondari
  • FOMU YA MAOMBI YA LESENI YA BIASHARA
  • Watumishi Portal

Tovuti Mashuhuri

  • Presidential office and Regional Secretariety
  • Electronic Goverment Agent
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Ofisi ya Raisi-UTUMISHI
  • Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya mahali

Wasiliana nasi

    Box 328 Lindi

    Sanduku la Barua: 328 Lindi Dc

    Simu ya mezani: 0222061

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@lindidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya ndani
    • Katazo
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Mtama District Council All rights reserved.