• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mtama

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Maendeleo ya jamii, Jinsia na Watoto
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Ardhi na Mali Asili
      • Afya
      • Utawala na Utumishi
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Nyuki
      • Ununuzi na ugavi
  • Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • PICHA
    • MATUKIO
    • HOTUBA
    • HABARI
  • Mifumo
    • ffars
    • National Sanitation Compaign
      • E-learning
    • Sensa Elimu Msingi
    • Wajasiliamali
    • Government mail System
    • Madeni-Demo

HEART TO HEART FOUNDATION YAHITIMISHA UTEKELEZAJI WA MRADI WA WASH 2019-2021

Posted on: November 26th, 2021

Shirika lisilo la Kiserikali la HEART TO HEART FOUNDATION Novemba 25, 2021 limehitimisha utekelezaji wa Mradi wa WASH (Water Sanitation and Hygiene) uliotekelezwa ndani ya miaka 3 kuanzia 2019-2021 katika Halmashauri ya Wilaya ya Mtama na kutoa msaada wa vitu mbalimbali vilivyokuwa vinatumika kwenye usimamizi wa Mradi huo  ikiwa ni pamoja na Gari aiana ya Toyota Prado, Kompyuta mpakato 3, Printa, cabinet ndogo na projecta.

Vifaa hivyo vilitolewa kwenye hafla ya kuhitimisha Mradi huo, ambapo ulifanyika mkutano wa wadau mbalimbali kutoka ngazi ya Mkoa, Halmashauri ya Mtama na Manispaa ya Lindi pamoja na wadau wa Maendeleo Heart to Heart Foundation na Shirika la Maendeleo la Kimataifa la Korea Kusini (KOICA) katika Ukumbi wa Sea View Beach Resort uliopo Lindi Mjini ambapo taarifa mbalimbali za utekelezaji zilitolewa.

Aidha Vitendea kazi hivyo vimetolewa kwa ajili ya matumizi ya Idara kuendelea kufanya ufuatiliaji na usimamizi wa shughuli mbalimbali za afya, maji na usafi wa mazingira ili kuzuia maambukizi ya magonjwa ya kuhara kwa watoto chini ya miaka 5 na watu wazima.

Hand-over Ceremony

Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mtama Ndg. George Emanuel Mbilinyi alitoa shukurani kwa uongozi wa awamu ya sita kwa kuendelea kuruhusu mashirika mbalimbali kuendelea kutoa misaada huku akiwaomba wadau wa shirika hilo kitofunga milango ya ushirikiano katika Halmashauri ya Mtama pindi tu utakapohitajika msaada katika ufuatiliaji pamoja na uendelezaji wa miundombinu waliyoiacha. Aidha, Ndg. Mbilinyi alitumia fursa hiyo kutoa shukirani za pekee kwa shirika hilo kupitia kampuni ya KOIKA kwa kutoa gari itakayosaidia kuongeza ufanisi katika utekelezaji wa majukumu mbalimbali ndani ya Halmashauri hiyo.

DED akitoa neno la shukurani.

Naye Mganga Mkuu wa Wilaya Dkt. Dismas Masulubu, aliahidi kuwa vifaa hivyo vitatunzwa kwa umakini wa hali ya juu .

DED na DMO Mtama DC wakisaini makabidhiano

Heart to Heart Foundation Tanzania kupitia WASH ililenga kuchangia katika kupunguza magonjwa ya kawaida yanayohusiana na Maji na Usafi wa Mazingira kwa kuboresha upatikanaji wa maji, usafi wa mazingira na usafi. Hivyo basi umefanikiwa kutekeleza Miradi ya maji na ujenzi wa vyoo katika Kata ya Navanga, Nachunyu, Mnolela, Kiwalala, Longa, Mtua, Nyengedi, Majengo, Mtama, Namupa, Mandwanga, Chiponda na Nyangao. Wakati huo huo  kwa upande mwingine shule zote zimefikiwa kwa kupata vifaa vya kunawia mikono, utoaji wa elimu ya mabadiliko ya tabia kwa walimu na wanafunzi hasa kuacha kujisaidia haja kwenye maeneo ya wazi na uchafunzi wa vyanzo vya maji. Vituo vya kutolea huduma za afya waliwezeshwa kupata vifaa mbalimbali vya usafi wa vituo n.k.

Baadhi ya watumishi wa Mtama DC wakiwa kwenye mkutano huo


Washiriki wa mkutano wakiwa kwenye picha ya pamoja mara baada ya kumalizika kwa hafla hiyo

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA KUITWA KWQENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA MIPAKA YA KATA, VIJIJI NA VITONGOJI HALMASHAURI YA WILAYA YA MTAMA. September 16, 2024
  • MATOKEO YA USAILI KWA KADA ZOTE September 09, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA WATENDAJI MTAMA DC September 09, 2023
  • Angalia yote

Habari mpya

  • KAMATI YA SIASA MKOA WA LINDI YATEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI HALMASHAURI YA MTAMA

    May 09, 2025
  • DC MWANZIVA AMEITAKA KAMATI YA AFYA HALMASHAURI YA MTAMA KUONGEZA UHAMASISHAJI KWA WANAUME KUHUSU UMUHIMU WA LISHE

    April 29, 2025
  • DC MWANZIVA ASISITIZA KUDUMISHA MUUNGANO LINDI

    April 26, 2025
  • KAMATI YA AFYA YA MSINGI YATOA ELIMU KUHUSU NYONGEZA YA DOZI YA CHANJO YA POLIO HALMASHAURI YA MTAMA

    April 24, 2025
  • Angalia yote

Video

Risala ya utii kwa Mhe. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Youtube
  • Mfumo wa Elimu Msingi na Sekondari
  • FOMU YA MAOMBI YA LESENI YA BIASHARA
  • Watumishi Portal

Tovuti Mashuhuri

  • Presidential office and Regional Secretariety
  • Electronic Goverment Agent
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Ofisi ya Raisi-UTUMISHI
  • Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya mahali

Wasiliana nasi

    Box 328 Lindi

    Sanduku la Barua: 328 Lindi Dc

    Simu ya mezani: 0222061

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@lindidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya ndani
    • Katazo
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Mtama District Council All rights reserved.