• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mtama

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Maendeleo ya jamii, Jinsia na Watoto
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Ardhi na Mali Asili
      • Afya
      • Utawala na Utumishi
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Nyuki
      • Ununuzi na ugavi
  • Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • PICHA
    • MATUKIO
    • HOTUBA
    • HABARI
  • Mifumo
    • ffars
    • National Sanitation Compaign
      • E-learning
    • Sensa Elimu Msingi
    • Wajasiliamali
    • Government mail System
    • Madeni-Demo

DED MTAMA: " MAAGIZO HAYA MKAYAFANYIE KAZI"

Posted on: September 12th, 2021


Ni kauli ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mtama Mh. George Emmanuel Mbilinyi alipokutana na Madiwani, Watendaji wa kata pamoja na Watendaji wa vijiji kutoka katika kata za Madangwa, Mnolela, Pangatena, Sudi, Nachunyu pamoja na Navanga kwenye kikao kazi ili kujadili njia bora ya udhibiti wa utoroshwaji wa mazao  lengo likiwa ni kuhakikisha Halmashauri hiyo inainuka kimapato. Kikao hicho kimefanyika Septemba 12 2021 katika viwanja vya Shule ya sekondari ya Madangwa .

Ikiwa kipaumbele cha kwanza ni kuinua mapato ya Halmashauri, Mh. George Mbilinyi akiwa na timu yake ya kikosi kazi  ametoa maelekezo kwa wajumbe wa kikao hicho na kusema kuwa  "kila kata iunde kamati za ukusanyaji wa mapato zitakazojumuisha Maafisa Tarafa, Madiwani, Watendaji wa kata pamoja na Watendaji wa vijiji na kwamba Madiwani watakuwa wasimamizi wakuu wa kamati hizo, kila kijiji kiweke vizuizi kwenye maeneo muhimu , aidha kikosi kazi kitafuatilia mwenendo wa utekelezaji wa maagizo na endapo kutakuwa na ubabaishaji  katika ukusanyaji wa mapato viongozi wa eneo husika watawajibika ,  vilevile kila kijiji kitawekewa  malengo  ya makusanyo kwa kila mwezi na kwamba kila wiki kutakuwa na mrejesho wa namna ulivyokusanya, sambamba na hilo, kila Mtendaji wa kata atapimwa kulingana na mapato kwa kila chanzo kwa kulinganisha na malengo aliyopewa, ni vizuri kutengeneza mfumo wa ushirikishwaji kwa ngazi zote za uongozi, watendaji wa kata wanatakiwa kufanya vikao na kuandaa mpango kazi wa utekelezaji wa maagizo na kutoa ripoti kwa Mkurugenzi kila baada ya siku mbili, hivyo basi ili tufikie malengo yetu ya kuinua mapato, wakusanyaji wanatakiwa  kuweka benki fedha walizokusanya kwa wakati pamoja na  kubuni vyanzo vipya vya mapato lengo ni kuifanya Halmashauri kuwa bora na kuleta maendeleo kwa wananchi". Alisema George Mbilinyi Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mtama.

"MTAMA KWANZA KWA MAENDELEO"

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA KUITWA KWQENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA MIPAKA YA KATA, VIJIJI NA VITONGOJI HALMASHAURI YA WILAYA YA MTAMA. September 16, 2024
  • MATOKEO YA USAILI KWA KADA ZOTE September 09, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA WATENDAJI MTAMA DC September 09, 2023
  • Angalia yote

Habari mpya

  • KAMATI YA SIASA MKOA WA LINDI YATEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI HALMASHAURI YA MTAMA

    May 09, 2025
  • DC MWANZIVA AMEITAKA KAMATI YA AFYA HALMASHAURI YA MTAMA KUONGEZA UHAMASISHAJI KWA WANAUME KUHUSU UMUHIMU WA LISHE

    April 29, 2025
  • DC MWANZIVA ASISITIZA KUDUMISHA MUUNGANO LINDI

    April 26, 2025
  • KAMATI YA AFYA YA MSINGI YATOA ELIMU KUHUSU NYONGEZA YA DOZI YA CHANJO YA POLIO HALMASHAURI YA MTAMA

    April 24, 2025
  • Angalia yote

Video

Risala ya utii kwa Mhe. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Youtube
  • Mfumo wa Elimu Msingi na Sekondari
  • FOMU YA MAOMBI YA LESENI YA BIASHARA
  • Watumishi Portal

Tovuti Mashuhuri

  • Presidential office and Regional Secretariety
  • Electronic Goverment Agent
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Ofisi ya Raisi-UTUMISHI
  • Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya mahali

Wasiliana nasi

    Box 328 Lindi

    Sanduku la Barua: 328 Lindi Dc

    Simu ya mezani: 0222061

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@lindidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya ndani
    • Katazo
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Mtama District Council All rights reserved.