• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mtama

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Maendeleo ya jamii, Jinsia na Watoto
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Ardhi na Mali Asili
      • Afya
      • Utawala na Utumishi
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Nyuki
      • Ununuzi na ugavi
  • Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • PICHA
    • MATUKIO
    • HOTUBA
    • HABARI
  • Mifumo
    • ffars
    • National Sanitation Compaign
      • E-learning
    • Sensa Elimu Msingi
    • Wajasiliamali
    • Government mail System
    • Madeni-Demo

DED MTAMA DC ACHANGIA MIFUKO 11 YA SARUJI MSIKITINI

Posted on: November 24th, 2021


Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mtama Ndg. George Emanuel Mbilinyi Novemba 23, 2021 amekabidhi mifuko 11 ya saruji kwa uongozi wa  Msikiti wa Kijiji cha Pangatena ikiwa ni utekelezaji wa ahadi yake aliyoitoa kwenye mkutano wa kijiji a lipotembelea kusikiliza na kutatua kero mbalimbali za wananchi wa kijiji hicho, ambapo changamoto moja wapo ilikuwa ni kusuasua kwa ujenzi wa msikiti na kumuomba Mkurugenzi kutoa mchango wa hali na mali ili kuchagiza ujenzi huo.

Akikabidhi mifuko hiyo ya saruji, Ndg. Mbilinyi alisema kuwa yeye ni kiongozi wa madhehebu yote ya Kikristo na Kiislamu na kwamba atawaongoza wananchi wake kulingana na sheria na kanuni za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, huku akiwasisitiza viongozi hao kudumisha mahusiano mazuri katika jamii bila kujali tofauti zao za kiimani.

Kwa upande wake Shekhe Salumu Hamisi Namiundu kwa niaba ya waumini wa msitiki huo alimshukuru Mkurugenzi huyo huku akiahidi kuwa saruji hiyo itaenda kutumika kikamilifu kwa malengo yaliyopangwa .

Katika hatua nyingine, Mkurugenzi huyo pia alichangia mifuko 7 ya saruiji katika  ujenzi wa ofisi ya Kijiji cha Hingawali iliyofikia hatua ya boma kupitia nguvu na michango ya wananchi.

Aidha, alitumia nafasi hiyo kutoa wito  kwa jamii kuendelea kushiriki kwenye ujenzi wa miradi mbalimbali ya maendeleo inayotekeleza na Serikali ya awamu ya 6 pamoja na kuhimiza kudumisha  amani ikiwa ni tunu ya Taifa na kuwaombea viongozi kwani wanapitia mitihani mingi wakati wa utekelezaji wa majukumu yao.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA KUITWA KWQENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA MIPAKA YA KATA, VIJIJI NA VITONGOJI HALMASHAURI YA WILAYA YA MTAMA. September 16, 2024
  • MATOKEO YA USAILI KWA KADA ZOTE September 09, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA WATENDAJI MTAMA DC September 09, 2023
  • Angalia yote

Habari mpya

  • KAMATI YA LISHE YAFANYA KIKAO CHA TATHMINIYA UTEKELEZAJI WA AFUA ZA LISHE KWA ROBO YA TATU HALMASHAURI YA MTAMA

    June 04, 2025
  • MIRADI 7 YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 2.7 YAPITIWA NA MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA MTAMA

    May 27, 2025
  • KAMATI YA SIASA MKOA WA LINDI YATEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI HALMASHAURI YA MTAMA

    May 09, 2025
  • DC MWANZIVA AMEITAKA KAMATI YA AFYA HALMASHAURI YA MTAMA KUONGEZA UHAMASISHAJI KWA WANAUME KUHUSU UMUHIMU WA LISHE

    April 29, 2025
  • Angalia yote

Video

Risala ya utii kwa Mhe. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Youtube
  • Mfumo wa Elimu Msingi na Sekondari
  • FOMU YA MAOMBI YA LESENI YA BIASHARA
  • Watumishi Portal

Tovuti Mashuhuri

  • Presidential office and Regional Secretariety
  • Electronic Goverment Agent
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Ofisi ya Raisi-UTUMISHI
  • Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya mahali

Wasiliana nasi

    Box 328 Lindi

    Sanduku la Barua: 328 Lindi Dc

    Simu ya mezani: 0222061

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@lindidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya ndani
    • Katazo
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Mtama District Council All rights reserved.