• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mtama

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Maendeleo ya jamii, Jinsia na Watoto
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Ardhi na Mali Asili
      • Afya
      • Utawala na Utumishi
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Nyuki
      • Ununuzi na ugavi
  • Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • PICHA
    • MATUKIO
    • HOTUBA
    • HABARI
  • Mifumo
    • ffars
    • National Sanitation Compaign
      • E-learning
    • Sensa Elimu Msingi
    • Wajasiliamali
    • Government mail System
    • Madeni-Demo

DED MTAMA AZINDUA BWENI LA WASICHANA RUO SEKONDARI

Posted on: October 17th, 2021

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mtama Ndg. George Emmanuel Mbilinyi Oktoba 16 2021 ameshiriki kwenye sherehe za mahafali ya 13 ya kidato cha nne yaliyofanyika katika shule ya sekondari Ruo. 

Sherehe hizo ziliambatana na matukio mbalimbali ikiwemo uzinduzi wa bweni la wasichana lenye uwezo wa kuchukua wanafunzi 52 pamoja na chumba maalumu cha kupumzika wagonjwa wa kike. Aidha mgeni rasmi ambaye ni Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo alipewa heshima ya kuongoza harambee ya kuchangisha fedha kwa ajili ya chumba cha kompyuta ambapo kiasi cha Tzs 797,000/= kilikusanywa papo hapo huku Tzs 1,070,000/= ikiwa ni ahadi na kufanya jumla ya Tzs 1,867,000/=.

Mbilinyi alitoa wito kwa wahitimu wa kidato cha nne kuongeza bidii, kuwa na ushirikiano, kuwa makini katika mitihani yao inayotarajiwa kufanyika Novemba 2021 na kiwaomba walimu wa shule hiyo kuendelea kutoa elimu na mafunzo bora ili kufikia malengo ya wahitimu hao. Sambamba na hilo Ndg. Mbilinyi amewataka wazazi kuhakikisha wanalipa ada za shule kwa muda muafaka  ili kuendeleza shughuli mbalimbali za taasisi hiyo.

Jumla ya wanafunzi 61 wanatarajiwa kufanya mtihani wa kidato cha nne kwa mwaka 2021 ambapo kati yao wavulana 43 na wasichana 18 pamoja na wanafunzi wa kujitegemea 9 wasichana 6 na wavulana 3 hivyo basi kufanya jumla ya wanafunzi 70.

Mkurugenzi akimlisha keki muhitimu

Mkurugenzi ( aliyeshika kipaza sauti) akiongoza harambee ya uchangiaji kwa ajili ya chumba cha kompyuta

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA KUITWA KWQENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA MIPAKA YA KATA, VIJIJI NA VITONGOJI HALMASHAURI YA WILAYA YA MTAMA. September 16, 2024
  • MATOKEO YA USAILI KWA KADA ZOTE September 09, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA WATENDAJI MTAMA DC September 09, 2023
  • Angalia yote

Habari mpya

  • KAMATI YA SIASA MKOA WA LINDI YATEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI HALMASHAURI YA MTAMA

    May 09, 2025
  • DC MWANZIVA AMEITAKA KAMATI YA AFYA HALMASHAURI YA MTAMA KUONGEZA UHAMASISHAJI KWA WANAUME KUHUSU UMUHIMU WA LISHE

    April 29, 2025
  • DC MWANZIVA ASISITIZA KUDUMISHA MUUNGANO LINDI

    April 26, 2025
  • KAMATI YA AFYA YA MSINGI YATOA ELIMU KUHUSU NYONGEZA YA DOZI YA CHANJO YA POLIO HALMASHAURI YA MTAMA

    April 24, 2025
  • Angalia yote

Video

Risala ya utii kwa Mhe. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Youtube
  • Mfumo wa Elimu Msingi na Sekondari
  • FOMU YA MAOMBI YA LESENI YA BIASHARA
  • Watumishi Portal

Tovuti Mashuhuri

  • Presidential office and Regional Secretariety
  • Electronic Goverment Agent
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Ofisi ya Raisi-UTUMISHI
  • Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya mahali

Wasiliana nasi

    Box 328 Lindi

    Sanduku la Barua: 328 Lindi Dc

    Simu ya mezani: 0222061

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@lindidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya ndani
    • Katazo
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Mtama District Council All rights reserved.