• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mtama

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Maendeleo ya jamii, Jinsia na Watoto
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Ardhi na Mali Asili
      • Afya
      • Utawala na Utumishi
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Nyuki
      • Ununuzi na ugavi
  • Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • PICHA
    • MATUKIO
    • HOTUBA
    • HABARI
  • Mifumo
    • ffars
    • National Sanitation Compaign
      • E-learning
    • Sensa Elimu Msingi
    • Wajasiliamali
    • Government mail System
    • Madeni-Demo

DED MBILINYI ASISITIZA UHAMASISHAJI ZOEZI LA SENSA 2022

Posted on: February 1st, 2022

Wito huo umetolewa na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mtama Ndg. George Mbilinyi Januari 31, 2022 katika kikao cha Baraza la Wafanyakazi kilichofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano ambapo aliwataka wafanyakazi hao kwenda kutoa elimu pamoja na hamasa kwa jamii inayowazunguka ili waweze kushiriki zoezi la Sensa ya Watu na Makazi linalotarajiwa kufanyika mwaka juu 2022 nchi nzima. Aliongeza kuwa wanajamii wanatakiwa kuondoa fikra potofu juu ya zoezi hilo na badala yake waone umuhimu wa kuhesabiwa kwani kwa kufanya hivyo tutairahisishia Serikali kuandaa na kutoa huduma za kimaendeleo kulingana na mahitaji husika.

Aidha, Mbilinyi alitumia fursa hiyo kuwahimiza wajumbe wa Baraza hilo kila mmoja awajibike katika eneo lake la kiutendaji kwa kuongeza juhudi na maarifa hali itakayosaidia kuijenga na kuiendeleza Halmashauri hiyo. Sambamba na hilo, amewaomba wajumbe hao kushirikiana katika kuinua mapato kwa kuhakikisha watu wanalipa ushuru kulingana na shughuli wanazozifanya huku akiwahimiza wataalamu wa Idara ya Ardhi kuhakikisha wanapima maeneo mbalimbali yatakayouzwa kwa wananchi  ili kuongeza mapato ya Halmashauri hiyo.

Kwa hatua nyingine Mkurugenzi huyo amesikitishwa na kasi ya kuripoti kwa wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza kuwa ndogo licha ya kuwepo kwa miundombinu ya kusomea hususani madarasa yaliyojengwa hivi karibuni. Hivyo basi, ametoa wito kwa wazazi kuwapeleka watoto shule lengo ni kwenda sambamba na jitihada za Rais wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan.


Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA KUITWA KWQENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA MIPAKA YA KATA, VIJIJI NA VITONGOJI HALMASHAURI YA WILAYA YA MTAMA. September 16, 2024
  • MATOKEO YA USAILI KWA KADA ZOTE September 09, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA WATENDAJI MTAMA DC September 09, 2023
  • Angalia yote

Habari mpya

  • KAMATI YA LISHE YAFANYA KIKAO CHA TATHMINIYA UTEKELEZAJI WA AFUA ZA LISHE KWA ROBO YA TATU HALMASHAURI YA MTAMA

    June 04, 2025
  • MIRADI 7 YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 2.7 YAPITIWA NA MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA MTAMA

    May 27, 2025
  • KAMATI YA SIASA MKOA WA LINDI YATEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI HALMASHAURI YA MTAMA

    May 09, 2025
  • DC MWANZIVA AMEITAKA KAMATI YA AFYA HALMASHAURI YA MTAMA KUONGEZA UHAMASISHAJI KWA WANAUME KUHUSU UMUHIMU WA LISHE

    April 29, 2025
  • Angalia yote

Video

Risala ya utii kwa Mhe. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Youtube
  • Mfumo wa Elimu Msingi na Sekondari
  • FOMU YA MAOMBI YA LESENI YA BIASHARA
  • Watumishi Portal

Tovuti Mashuhuri

  • Presidential office and Regional Secretariety
  • Electronic Goverment Agent
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Ofisi ya Raisi-UTUMISHI
  • Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya mahali

Wasiliana nasi

    Box 328 Lindi

    Sanduku la Barua: 328 Lindi Dc

    Simu ya mezani: 0222061

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@lindidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya ndani
    • Katazo
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Mtama District Council All rights reserved.