• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mtama

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Maendeleo ya jamii, Jinsia na Watoto
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Ardhi na Mali Asili
      • Afya
      • Utawala na Utumishi
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Nyuki
      • Ununuzi na ugavi
  • Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • PICHA
    • MATUKIO
    • HOTUBA
    • HABARI
  • Mifumo
    • ffars
    • National Sanitation Compaign
      • E-learning
    • Sensa Elimu Msingi
    • Wajasiliamali
    • Government mail System
    • Madeni-Demo

DC NDEMANGA AONGOZA KIKAO CHA MAANDALIZI YA CHANJO YA SURUA RUBELLA.

Posted on: February 14th, 2024

Mkuu wa Wilaya ya Lindi Mheshimiwa Shaibu Ndemanga leo tarehe 14, Febuari 2024 ameongoza kikao cha kamati ya msingi ya afya ili kujadili maandalizi katika zoezi la utoaji chanjo ya SURUA RUBELLA, chanjo hiyo itatolewa kwa watoto wenye umri chini ya miaka 5 yenye lengo la kujikinga na ugonjwa huo.

Mganga mkuu wa Halmashauri ya Mtama Daktari Dismas Masurubu alisema kuwa zoezi la utoaji wa chanjo litafanyika kwa muda wa siku nne mfululizo kuanzia kesho tarehe 15 hadi tarehe 18 Febuari 2024 na aliongeza kuwa zoezi hilo litaambatana na utoaji wa chanjo zilizopita kwa watoto hao.

Aidha Ndugu Albert Mpokwa Mratibu wa chanjo wa Halmashauri alisema kuwa zoezi hilo litawafikia walengwa 18148, chanjo hizo zitatolewa katika vituo vyote vya afya ndani ya Halmashauri pia Halmashauri imeongeza vituo vingine maalumu ili kufanikisha zoezi hilo.

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya  Mtama Ndugu George E Mbilinyi alimshukuru Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari na Mbunge wa jimbo la Mtama Mheshimiwa Nape Moses Nnauye kwa kutoa gari litakalofanya matangazo ili kufanikisha zoezi hilo.

Mwisho Ndugu Ndemanga aliipongeza Halmashauri kwa kufanya vizuri katika utoaji wa chanjo zilizopita hivyo anaamini kuwa Halmashauri itaendelea kufanya vizuri katika utoaji wa chanjo hizo  lakini pia aliwataka wakuu wa idara, viongozi wa chama cha mapinduzi, waheshimiwa madiwani, Watendaji kata na vijiji na viongozi mbalimbali kuweka juhudi ili kufanikisha zoezi hilo.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA KUITWA KWQENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA MIPAKA YA KATA, VIJIJI NA VITONGOJI HALMASHAURI YA WILAYA YA MTAMA. September 16, 2024
  • MATOKEO YA USAILI KWA KADA ZOTE September 09, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA WATENDAJI MTAMA DC September 09, 2023
  • Angalia yote

Habari mpya

  • KAMATI YA SIASA MKOA WA LINDI YATEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI HALMASHAURI YA MTAMA

    May 09, 2025
  • DC MWANZIVA AMEITAKA KAMATI YA AFYA HALMASHAURI YA MTAMA KUONGEZA UHAMASISHAJI KWA WANAUME KUHUSU UMUHIMU WA LISHE

    April 29, 2025
  • DC MWANZIVA ASISITIZA KUDUMISHA MUUNGANO LINDI

    April 26, 2025
  • KAMATI YA AFYA YA MSINGI YATOA ELIMU KUHUSU NYONGEZA YA DOZI YA CHANJO YA POLIO HALMASHAURI YA MTAMA

    April 24, 2025
  • Angalia yote

Video

Risala ya utii kwa Mhe. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Youtube
  • Mfumo wa Elimu Msingi na Sekondari
  • FOMU YA MAOMBI YA LESENI YA BIASHARA
  • Watumishi Portal

Tovuti Mashuhuri

  • Presidential office and Regional Secretariety
  • Electronic Goverment Agent
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Ofisi ya Raisi-UTUMISHI
  • Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya mahali

Wasiliana nasi

    Box 328 Lindi

    Sanduku la Barua: 328 Lindi Dc

    Simu ya mezani: 0222061

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@lindidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya ndani
    • Katazo
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Mtama District Council All rights reserved.