• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mtama

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Maendeleo ya jamii, Jinsia na Watoto
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Ardhi na Mali Asili
      • Afya
      • Utawala na Utumishi
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Nyuki
      • Ununuzi na ugavi
  • Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • PICHA
    • MATUKIO
    • HOTUBA
    • HABARI
  • Mifumo
    • ffars
    • National Sanitation Compaign
      • E-learning
    • Sensa Elimu Msingi
    • Wajasiliamali
    • Government mail System
    • Madeni-Demo

DC LINDI: VIFO VYA MAMA VITOKANAVYO NA UZAZI VIMEPUNGUA MKOA WA LINDI

Posted on: March 13th, 2025


Mkuu wa Wilaya ya Lindi Mhe: Victoria Mwanziva kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Lindi amewapongeza wataalamu wa afya Mkoa wa Lindi kwa jitihada za kuhakikisha vifo vya mama na watoto wachanga vinapungua, ambapo katika Mkoa wa Lindi vifo vya mama vitokanavyo na uzazi vimepungua kutoka vifo 38 mwaka 2023 hadi kufikia vifo 27 mwaka 2024 lakini pia vifo vya watoto wachanga chini ya siku 28 vimepungua kutoka 272 mwaka 2023 hadi kufikia vifo 242 mwaka 2024.

Ameyasema hayo jana tarehe 12 Machi 2025 katika ufunguzi wa kikao kazi cha kujadili vifo vya mama vitokanavyo na uzazi pamoja na watoto wachanga kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano uliopo Shule ya Sekondari Nyangao huku lengo la kikao hiko ikiwa ni kujadili mikakati ya kupunguza vifo hivyo.

Aidha DC Mwanziva amempongeza kwa dhati Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania DKT. Samia Suluhu Hassan kwa jitihada zake na uwekezaji mkubwa uliofanyika katika sekta ya afya uliosaidia mafanikio hayo ya kupunguza idadi ya vifo ndani ya mwaka mmoja, jitihada hizo ni pamoja na ujenzi wa hospitali ya Mkoa, ujenzi wa hospitali mpya za Halmashauri ikiwemo hospitali ya Wilaya ya Mtama iliyopo Kiwalala pamoja na marekebisho mbalimbali katika vituo vya afya na zahanati.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA KUITWA KWQENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA MIPAKA YA KATA, VIJIJI NA VITONGOJI HALMASHAURI YA WILAYA YA MTAMA. September 16, 2024
  • MATOKEO YA USAILI KWA KADA ZOTE September 09, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA WATENDAJI MTAMA DC September 09, 2023
  • Angalia yote

Habari mpya

  • DC MWANZIVA AMEITAKA KAMATI YA AFYA HALMASHAURI YA MTAMA KUONGEZA UHAMASISHAJI KWA WANAUME KUHUSU UMUHIMU WA LISHE

    April 29, 2025
  • DC MWANZIVA ASISITIZA KUDUMISHA MUUNGANO LINDI

    April 26, 2025
  • KAMATI YA AFYA YA MSINGI YATOA ELIMU KUHUSU NYONGEZA YA DOZI YA CHANJO YA POLIO HALMASHAURI YA MTAMA

    April 24, 2025
  • WWF NA TaTEDO-SESO (Sustainable Energy Services Organization) WATOA MAFUNZO KUHUSU MATUMIZI YA NISHATI MBADALA MTAMA

    March 26, 2025
  • Angalia yote

Video

Risala ya utii kwa Mhe. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Youtube
  • Mfumo wa Elimu Msingi na Sekondari
  • FOMU YA MAOMBI YA LESENI YA BIASHARA
  • Watumishi Portal

Tovuti Mashuhuri

  • Presidential office and Regional Secretariety
  • Electronic Goverment Agent
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Ofisi ya Raisi-UTUMISHI
  • Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya mahali

Wasiliana nasi

    Box 328 Lindi

    Sanduku la Barua: 328 Lindi Dc

    Simu ya mezani: 0222061

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@lindidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya ndani
    • Katazo
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Mtama District Council All rights reserved.