• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mtama

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Maendeleo ya jamii, Jinsia na Watoto
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Ardhi na Mali Asili
      • Afya
      • Utawala na Utumishi
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Nyuki
      • Ununuzi na ugavi
  • Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • PICHA
    • MATUKIO
    • HOTUBA
    • HABARI
  • Mifumo
    • ffars
    • National Sanitation Compaign
      • E-learning
    • Sensa Elimu Msingi
    • Wajasiliamali
    • Government mail System
    • Madeni-Demo

BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA RASIMU YA BAJETI YA SHILINGI BILIONI 30,128, 756,500.00.

Posted on: February 28th, 2024

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Mtama Mheshimiwa Yusufu Tipu Leo tarehe 28 Febuari 2024 ameongoza Mkutano wa Baraza la Madiwani, Baraza hilo limeridhia kupitisha rasimu ya bajeti ya Shilingi Bilioni 30,128,756,500.00 kwa mwaka wa fedha 2024/2025. Mkutano huo umefanyika katika ukumbi wa Halmashauri.

Aidha Waheshimiwa Madiwani wameonesha kuwa na Imani na maono chanya katika maandalizi ya mipango na bajeti ya mwaka wa fedha 2024/2025 ikiwemo Baraza la wafanyakazi, kamati ya ukimwi, kamati ya elimu, kamati ya uchumi, ujenzi na mazingira, kamati ya fedha, Utawala na mipango.

Hata hivyo katika Baraza hilo la kupitisha rasimu ya bajeti Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mtama Ndugu George E Mbilinyi amewapongeza Waheshimiwa Madiwani wa kata zote kwa kuwa wafuatiliaji wa miradi ya maendeleo na michango yao katika kuendeleza Halmashauri, Pia ameishukuru Serikali kwa kutoa fedha za kuendeleza miradi mbalimbali ikiwemo miradi ya maji, barabara, umeme, ujenzi wa shule na vituo vya Afya.

Vilevile, katika Mkutano huo walikuwepo wawakilishi kutoka TARURA, RUWASA, na TANESCO ambapo Kila mmoja alielezea mipango ya kuongeza na kuboresha huduma wanazozitoaza kwa wananchi wa Mtama. TARURA walieleza kuwa bajeti yao ni shilingi Bilioni 3.6 kwa ajili ya kutekeleza miradi mbalimbali ya barabara ndani ya Halmashauri.

Pia Mwenyekiti wa Halmashauri aliishukuru Serikali na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa nia thabiti ya kuboresha maisha ya Watanzania, pia alimshukuru Mkurugenzi na wataalamu wa Halmashauri kwa ushirikiano wa kuleta maendeleo katika Halmashauri, Mwisho alisisitiza kwa Waheshimiwa Madiwani kuwa Serikali inafanya mambo mazuri na makubwa hivyo ni jukumu la madiwani kutangaza mambo hayo kupitia mikutano ya hadhara katika kata zao.


Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA KUITWA KWQENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA MIPAKA YA KATA, VIJIJI NA VITONGOJI HALMASHAURI YA WILAYA YA MTAMA. September 16, 2024
  • MATOKEO YA USAILI KWA KADA ZOTE September 09, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA WATENDAJI MTAMA DC September 09, 2023
  • Angalia yote

Habari mpya

  • KAMATI YA LISHE YAFANYA KIKAO CHA TATHMINIYA UTEKELEZAJI WA AFUA ZA LISHE KWA ROBO YA TATU HALMASHAURI YA MTAMA

    June 04, 2025
  • MIRADI 7 YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 2.7 YAPITIWA NA MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA MTAMA

    May 27, 2025
  • KAMATI YA SIASA MKOA WA LINDI YATEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI HALMASHAURI YA MTAMA

    May 09, 2025
  • DC MWANZIVA AMEITAKA KAMATI YA AFYA HALMASHAURI YA MTAMA KUONGEZA UHAMASISHAJI KWA WANAUME KUHUSU UMUHIMU WA LISHE

    April 29, 2025
  • Angalia yote

Video

Risala ya utii kwa Mhe. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Youtube
  • Mfumo wa Elimu Msingi na Sekondari
  • FOMU YA MAOMBI YA LESENI YA BIASHARA
  • Watumishi Portal

Tovuti Mashuhuri

  • Presidential office and Regional Secretariety
  • Electronic Goverment Agent
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Ofisi ya Raisi-UTUMISHI
  • Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya mahali

Wasiliana nasi

    Box 328 Lindi

    Sanduku la Barua: 328 Lindi Dc

    Simu ya mezani: 0222061

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@lindidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya ndani
    • Katazo
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Mtama District Council All rights reserved.