• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mtama

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Maendeleo ya jamii, Jinsia na Watoto
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Ardhi na Mali Asili
      • Afya
      • Utawala na Utumishi
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Nyuki
      • Ununuzi na ugavi
  • Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • PICHA
    • MATUKIO
    • HOTUBA
    • HABARI
  • Mifumo
    • ffars
    • National Sanitation Compaign
      • E-learning
    • Sensa Elimu Msingi
    • Wajasiliamali
    • Government mail System
    • Madeni-Demo

Athari ya Mifuko ya rambo kubebea vyakula

Posted on: June 8th, 2018

Watu wengi wamekuwa na mazoea ya kutumia mifuko ya plastic maarufu kama rambo kwa ajiri ya kubebea vyakula vya moto kama vile ugali,supu,chips mayai bila ya kujua athari ambazo wanaweza kupata walaji wanaofunga vyakula vyao kwa vifungashio hivi, na pia kuna athari za Mazingira zinazotokana na matumizi ya Mifuko hii ya plastic yalibainishwa na ndugu Lewis Nzali. Mratibu wa Mazingira wa kanda ya Kusini 

Mifuko hii ya plastic haifai kuwa vifungashio vya chakula kwani ikipata joto kwa muda mrefu hutoa kemikali ambazo hujulikana kwa jina la Polyvinly chloride na stylene ambazo huingia kwenye chakula na hivyo huingia mwilini kwa njia ya mtu unapokula na kama mtu huyu atakuwa na mazoea ya kula kwa vyakula hivi kwa kutumia vifungashio hivi vya plastic basi kemikali hizi huendelea kujrundikana mwilini na hivyo humpelekea mtu kupata saratani..

Mbali na uwezekano wa kuugua ugonjwa huo wa saratani pia kuna madhara mengine ambayo mtu utaweza kuyapata ni kubadili mfumo wa jeni za mwili ambayo hupelekea  matatizo ya uzazi Moya na matatizo ya kushindwa kuweka katika msawazo,vichochea vya mwili kutokuwa sawa,kizunguzungu nk

madhara haya hayatokei haraka haraka bali hutokea baada ya muda fulani ndipo huanza kujionesha kidogo kidogo kwa hivyo ni heri kupunguza matumizi haya ya mifuko ya plastic ili tuweze kujiokoa sisi wenyewe na vizazi vyetu kama unataka chakula cha moto ni heri kwenda na Hot pot ndogo ya kuhifadhia chakula hicho, Mazingira ni wajibu katika kila mmoja wetu kama kila mtu atatekeleza wajibu wake ipasavyo tuyalinde



Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA KUITWA KWQENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA MIPAKA YA KATA, VIJIJI NA VITONGOJI HALMASHAURI YA WILAYA YA MTAMA. September 16, 2024
  • MATOKEO YA USAILI KWA KADA ZOTE September 09, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA WATENDAJI MTAMA DC September 09, 2023
  • Angalia yote

Habari mpya

  • KAMATI YA SIASA MKOA WA LINDI YATEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI HALMASHAURI YA MTAMA

    May 09, 2025
  • DC MWANZIVA AMEITAKA KAMATI YA AFYA HALMASHAURI YA MTAMA KUONGEZA UHAMASISHAJI KWA WANAUME KUHUSU UMUHIMU WA LISHE

    April 29, 2025
  • DC MWANZIVA ASISITIZA KUDUMISHA MUUNGANO LINDI

    April 26, 2025
  • KAMATI YA AFYA YA MSINGI YATOA ELIMU KUHUSU NYONGEZA YA DOZI YA CHANJO YA POLIO HALMASHAURI YA MTAMA

    April 24, 2025
  • Angalia yote

Video

Risala ya utii kwa Mhe. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Youtube
  • Mfumo wa Elimu Msingi na Sekondari
  • FOMU YA MAOMBI YA LESENI YA BIASHARA
  • Watumishi Portal

Tovuti Mashuhuri

  • Presidential office and Regional Secretariety
  • Electronic Goverment Agent
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Ofisi ya Raisi-UTUMISHI
  • Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya mahali

Wasiliana nasi

    Box 328 Lindi

    Sanduku la Barua: 328 Lindi Dc

    Simu ya mezani: 0222061

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@lindidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya ndani
    • Katazo
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Mtama District Council All rights reserved.